CHADEMA inapinga uwekezaji wakati wao wanafundishwa kila kitu na KAS ya Ujerumani

CHADEMA inapinga uwekezaji wakati wao wanafundishwa kila kitu na KAS ya Ujerumani

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825

Leaders’ Capacity Building: Workshop in cooperation with CHADEMA​

CHADEMA: 2011/2016 Strategic Plan​

From 01/09 until 05/09/2011, KAS Tanzania will hold a workshop for national trainers in order to prepare the implementation of CHADEMA's training programme.
 
Jiheshimu basi bro! 😪 sasa hili ni bandiko?

Details​

One of the core activities under the Party's 2011/2016 Strategic Plan is capacity building for its leadership through focused training. The main focus of this workshops lies on the trainers' acquaintance with the training documents. This cooperation will be implemented by interactive presentations, group work and plenary discussions.
 

Leaders’ Capacity Building: Workshop in cooperation with CHADEMA​

CHADEMA: 2011/2016 Strategic Plan​

From 01/09 until 05/09/2011, KAS Tanzania will hold a workshop for national trainers in order to prepare the implementation of CHADEMA's training programme.
Hivi ni upi mchango wa Chawa's kwenye hili kumbukumbu mbaya kwa taifa😂😂😂
 
Wewe ni fala Mkuu, sasa uwekezaji ambao mkataba wake hauna mwisho na kufundishwa vinafanana.
Hivi tuwe na chama watu wake wanafundishwa hata namana ya kuongea hadharani kuna tofauti gani na nchi kuomba kusaidiwa uendeshaji wa bandari na kufundisha watu wetu pale bandarini. Ukifundishwa na mfundishaji anabaki pale pale ni sawa na kutokuwa na ukomo. Hii hapa picha ya mwalimu wao mkuu .

Yaani huyu akisema neno Mbowe anaenda anakimbia
1686328103768.png
 

Leaders’ Capacity Building: Workshop in cooperation with CHADEMA​

CHADEMA: 2011/2016 Strategic Plan​

From 01/09 until 05/09/2011, KAS Tanzania will hold a workshop for national trainers in order to prepare the implementation of CHADEMA's training programme.
Kwa hii concept yako unataka ku justify nn? Kwamba banda bora liuzwe ama?
 
Kwa hii concept yako unataka ku justify nn? Kwamba banda bora liuzwe ama?
Kama chama kama CHADEMA kimekodishwa kwa na kuendeshwa na NGO KAS, halafu CHADEMA hao hao wanapinga uwekezaji wa kuendeleza na kuongeza ufanisi wa bandari, this is a justifiable cause of course
 
hakuna aliekataa mkataba ila tumekataa upumbavu wa ma CCM kuuza nchi
 
Kama chama kama CHADEMA kimekodishwa kwa na kuendeshwa na NGO KAS, halafu CHADEMA hao hao wanapinga uwekezaji wa kuendeleza na kuongeza ufanisi wa bandari, this is a justifiable cause of course
Kwa mantiki hii CDM hawapaswi kutetea maslahi ya Taifa bora bandari liuzwe tuu?
 
hakuna aliekataa mkataba ila tumekataa upumbavu wa ma CCM kuuza nchi
Kama nyie CHADEMA hajashituka chama chenu kuuatamiwa, kutotolewa, kuelelewa na kufundishwa kila kitu na NGO ya KAS where do you get the moral to question agreement of improving the service of the bandari ambayo wote tunaona yafanyi vizuri? Basi mngekuwa mnahoji kwa fact ila inaudhi sana mnapoweka uzushi na chumvi
 
Kwa mantiki hii CDM hawapaswi kutetea maslahi ya Taifa bora bandari liuzwe tuu?
Kama nyie CHADEMA haMjashituka chama chenu kuuatamiwa, kutotolewa, kuelelewa na kufundishwa kila kitu na NGO ya KAS where do you get the moral to question agreement of improving the service of the bandari ambayo wote tunaona yaIfanyi vizuri? Basi mngekuwa mnahoji kwa fact ila inaudhi sana mnapoweka uzushi na chumvi. JIBU LANGU NI NDIYO
 
Kama nyie CHADEMA hajashituka chama chenu kuuatamiwa, kutotolewa, kuelelewa na kufundishwa kila kitu na NGO ya KAS where do you get the moral to question agreement of improving the service of the bandari ambayo wote tunaona yafanyi vizuri? Basi mngekuwa mnahoji kwa fact ila inaudhi sana mnapoweka uzushi na chumvi. JIBU LANGU NI NDIYO
Nyie CDM ❌ Hao CDM ✔️!! Usinijumuishe huko ila CDM kuna mamb meng sana bungeni walisaidia kuyafunua na kupinga miswada kama hii ambayo ni hasara kwa Taifa!! Ila sikulaum maan mwanaccm yoyote hawez pinga muswada wowote.. kwasaab za kimaslahi ✔️
 
Kwa andiko lako hili la kipimbi unafikiri kuna anayekujari ??? Zaidi zaidi unajitia kidole cha matako bila kujua
 
Nyie CDM ❌ Hao CDM ✔️!! Usinijumuishe huko ila CDM kuna mamb meng sana bungeni walisaidia kuyafunua na kupinga miswada kama hii ambayo ni hasara kwa Taifa!! Ila sikulaum maan mwanaccm yoyote hawez pinga muswada wowote.. kwasaab za kimaslahi ✔️
Samahani kwa kukuweka huko. Ila ujue hakuna mtu asiye na maslahi
 
Kwa andiko lako hili la kipimbi unafikiri kuna anayekujari ??? Zaidi zaidi unajitia kidole cha matako bila kujua
1. UMESHAJALI KWA KUCHANGIA
2. MUNGU HASIMAMI NA WANAFIKI KAMA CHADEMA NA WEWE.
3. HUWEZI MHUKUMU MTU KWA DHAMBI AMBAYO NA WEWE UNAIFANYA HALAFU UKABAKI SALAMA
 
1. UMESHAJALI KWA KUCHANGIA
2. MUNGU HASIMAMI NA WANAFIKI KAMA CHADEMA NA WEWE.
3. HUWEZI MHUKUMU MTU KWA DHAMBI AMBAYO NA WEWE UNAIFANYA HALAFU UKABAKI SALAMA
Chadema imehusikaje na mikataba ya kimangungo ?? Ni mkataba upi chadema wamehusika??
 

Leaders’ Capacity Building: Workshop in cooperation with CHADEMA​

CHADEMA: 2011/2016 Strategic Plan​

From 01/09 until 05/09/2011, KAS Tanzania will hold a workshop for national trainers in order to prepare the implementation of CHADEMA's training programme.
Na wewe ni k kama k
 
Back
Top Bottom