CHADEMA inapinga uwekezaji wakati wao wanafundishwa kila kitu na KAS ya Ujerumani

CHADEMA inapinga uwekezaji wakati wao wanafundishwa kila kitu na KAS ya Ujerumani

Hivi tuwe na chama watu wake wanafundishwa hata namana ya kuongea hadharani kuna tofauti gani na nchi kuomba kusaidiwa uendeshaji wa bandari na kufundisha watu wetu pale bandarini. Ukifundishwa na mfundishaji anabaki pale pale ni sawa na kutokuwa na ukomo. Hii hapa picha ya mwalimu wao mkuu .

Yaani huyu akisema neno Mbowe anaenda anakimbiaView attachment 2651492
Kadri unavozidi kuandika ninapata mashaka sana na uwezo wako wa akili mkuu.
Public speaking ni skill inafundishwa kabisa kwa hiyo sioni cha ajabu kwa hao Chadema.
Lakini huu mkataba ambao serikali inataka kuingia ndio unanitatiza, kwanza watacontrol bandari zote nchini,pili mkataba hauna kikomo,na tatu serikali haitaweza kuvunja mkataba hata kama masharti ya mkataba yasipotimizwa.
Hivi wewe unaona hili swala la mkataba linahusiana na mfano uliotoa kuhusu Chadema???
Muda mwingine jaribu kuficha ujinga wako Mkuu.
 
Samahani kwa kukuweka huko. Ila ujue hakuna mtu asiye na maslahi
Exactly ✔️!! But Taifa mbele kwanza. Lkn kwa CCM wanasema chama kwanza, huoni hili ni tatizo ndilo linaleta haya yote?
 

Leaders’ Capacity Building: Workshop in cooperation with CHADEMA​

CHADEMA: 2011/2016 Strategic Plan​

From 01/09 until 05/09/2011, KAS Tanzania will hold a workshop for national trainers in order to prepare the implementation of CHADEMA's training programme.
Bandilisha mada, si uwekezaji ni UUZWAJI wa Bandari
 
Back
Top Bottom