CHADEMA inapokea Ruzuku ya Tsh. Millioni 107 kwa mwezi sawa na Tsh. Billion 1 na Millioni 284 Kwa mwaka!

..kama Ccm ina vyanzo vyote hivyo vya mapato kwanini inatukamua BILLIONI 3 kila mwezi?
Hata ingekuwa inapokea Ruzuku ya Billion kumi ingeendelea kuchukua maana wanayoipatia ni wananchi kwa upendo wao mkubwa kwa CCM,.
 
mradi pekee mkubwa sana na wa kutegemewa wa Chadema ni ule wa aibu na fedheha wa kuomba kuchangiwa pesa , basi!🐒
 
mradi pekee mkubwa sana na wa kutegemewa wa Chadema ni ule wa aibu na fedheha wa kuomba kuchangiwa pesa , basi!🐒
Akipata gari ataanza kuomba tena achangiwe mafuta. Maana CHADEMA wanapenda sana mserereko na walishawaona wafuasi wao hawajitambui.
 
CCM wanapokea sh ngapi? Act wanapokea sh ngapi? Hebu niwekee data kwanza na kazi yake ni Nini kama siyo kulipana posho. Au unadhani hatuwaoni au hatuishi nao? Unapotoa hoja watu wachangie use your common sense.
CCM wanategemea zaidi kwenye kuiba fedha za umma
 
Acha kuichafua CCM Chama imara na kiongozi barani Afrika.
Chama cha matapeli tupu, Mkapa alikiri kuiba bilioni 130 ajili ya uchaguzi wa 2005 tena kwenye kitabu chake, wewe huna akili huwezi kuelewa upo upo tu sababu ya njaa zako na kukosa akili hujui kinachoendelea. Hata Makonda juzi kakiri kuwa wafanyabiashara wanaichangia CCM siyo kwa kupenda kwa lazima. Mjinga sn wewe
 
Akipata gari ataanza kuomba tena achangiwe mafuta. Maana CHADEMA wanapenda sana mserereko na walishawaona wafuasi wao hawajitambui.
yaani jamaa ni watu wa ajabu sana,

hivi kweli kuna mtu anaweza kuchagua kiongozi mwenye tabia na mazoea mabaya ya kuombaomba tu mara kwa mara eti aje kua kiongozi wake kweli?🐒

Labda sio Tanzania...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…