Zanzibar 2020 CHADEMA inawaona Wazanzibar ni wajinga?

Zanzibar 2020 CHADEMA inawaona Wazanzibar ni wajinga?

Hii ni porojo!Kwa taarifa yako ni kwamba ninavyoandika hapa chadema hawana mgombea urais Zanzibar
 
Tatizo huna akili!! Umesikia maamuzi ya kamati kuu ya chadema yaliyotangazwa leo???
Kuwa mgombea wa Zanzibar kupitia Chadema ni boya tu,ndio maana mnawahadaa watanzania Zanzibar.
 
Mgombea wa chadema Zanzibar akijitoa itakuwa safi sana, ili ule utaratibu wa ccm kuiba kura kwa % utakuwa umekwama.
Ajitoe mapema, ili pia tume ya uchaguzi wamtoe na kwenye ballot paper kabisa.
 
Mgombea wa chadema Zanzibar akijitoa itakuwa safi sana, ili ule utaratibu wa ccm kuiba kura kwa % utakuwa umekwama.
Ajitoe mapema, ili pia tume ya uchaguzi wamtoe na kwenye ballot paper kabisa.
Hapa hakuna makubaliano kama ya ukawa 2015. Ccm imeshinda inasubiri kutangazwa tu.
 
..Mrema alisema chama cha TLP kinamuunga mkono Jpm ktk nafasi ya Uraisi wa muungano.

..tena alitangaza msimamo huo ktk mkutano mkuu wa ccm na Shisty Nahodha alikuwa pembeni ya Mzee Mrema wakati akitoa tamko hilo.


Lakin Tlp hawajaweka mgombea urais wa JMT. Mgombea wao ni JPM.
 
Kwa maelezo yaliyotolewa na wachangiaji na bado hujaelewa basi wewe jamaa una uelewa mdogo sana.

Nawapongeza walimu wako kwa tabu waliopitia kukuelimisha.
 
Lakin Tlp hawajaweka mgombea urais wa JMT. Mgombea wao ni JPM.

..Tlp walijipima kabla ya kampeni kuanza.

..Act na Cdm wamejipa wakati wa kampeni na wamechukua maamuzi sahihi.
 
Wewe kama wewe unapata tabu gani wakimuunga mkono Seif au hiyo inawapa shida kwenye kuwapora Act ushindi.

Halafu ni bora ufahamu kuwa hakuna nchi inayoitwa Tanzania Bara hizo ni porojo za kijinga tu, kuna Tanganyika tu.
 
Walimu wana kazi sana, ukiwa na wanafunzi kama hawa darasani lazima uzeeke au ufundishe hadi nawe uwe mjinga
 
...
1601629527-picsay.jpg
 
Mgombea urais wa Chadema kwa ngazi ya urais JMT alienda Zanzibar akafanya mkutano,na katika mkutano alioufanya aliongea mambo mengi,ikiwemo kutaka kuwe na muungano wa Serikali tatu. Lakini alienda mbele na kutoa kauli za kuonyesha hatambui kitu kinachoitwa Tanzania bara, bali anatambua uwepo wa Tanganyika.Na ndio maana alikazia maneno kuwa Tanganyika inaikalia kimabavu Zanzibar.

Mbali ya hayo alimalizia kwa kusema yeye anamuunga mkono mgombea wa Act wazalendo. Jambo la kushangaza ni kuwa CHADEMA wameweka mgombea Zanzibar.

Je, kama mgombea urais wa CHADEMA anamuunga mkono maalim Seif, je ni kwa nini waweke mgombea Zanzibar? Je huku sio kuwadharau wazanzibar na kuwaona wajinga? Kwanini CHADEMA wasingeacha kuweka mgombea kama wanamuunga mkono Maalim Seif.

Je, hizo kampeni wanaenda kufanya za nini huko Zanzibar kama wanamuunga mkono maalim Seif?

CHADEMA inawaona Wazanzibar ni wajinga? maneno haya kasema nani ?? WEWE ??

Labda wewe ndiye mjinga
 
Back
Top Bottom