CHADEMA inaweza kufanya vizuri bila ruzuku kwa sababu ada za Wanyonge (2500/=) zitawaingizia zaidi ya Tsh 5 Bilioni kwa mwaka

CHADEMA inaweza kufanya vizuri bila ruzuku kwa sababu ada za Wanyonge (2500/=) zitawaingizia zaidi ya Tsh 5 Bilioni kwa mwaka

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kiukweli CHADEMA kwa utaratibu wao mpya wa mfumo wa ada za uanachama wanaweza kufanya vizuri zaidi hata kama hawatapata ruzuku ya Serikali.

Kama wanachama milioni mbili wa CHADEMA watalipa tsh 2500 ambayo ni ada ya chini kabisa basi chama kitaingiza Tsh 5 bilioni kwa mwaka.

Hapo hujatuingiza sisi Platnum wa tsh 100,000 na wale wanene wengine wa Tsh 200,000

Hongereni CHADEMA kwa ubunifu.

Peoples........power!

Kazi Iendelee.
 
Achana na chadema wewe, inakuhusu nini? Wewe waambie wenzako ccm waache kuwateka chadema, kuwaua, kuwabambikia kesi , kuwapoteza, kukataza mikutano yao na mengine unayoyaratibu wewe hapo utakuwa umeisaidia chadema na si porojo zako hizi mfu za pesa
 
Bora hao wanaoomba! Kuliko wale wanaoiba!
 
Achana na chadema wewe, inakuhusu nini? Wewe waambie wenzako ccm waache kuwateka chadema, kuwaua, kuwabambikia kesi , kuwapoteza, kukataza mikutano yao na mengine unayoyaratibu wewe hapo utakuwa umeisaidia chadema na si porojo zako hizi mfu za pesa
Hongereni kwa ubunifu!
 
Mleta mada mi naona kama anademka tu. Chadema walikuwa wanapokea milioni 300 na ushee kila mwezi lakini hata ofisi ya maana hawana, pamojana kuwa walikuwa wanapata milioni 300 lakini hata buku alikufika katiaka wilata wala kata ndo useme kwa ada ya 2500 mtatoboa, ni kijilisha upepo, labda mbadilishe gia angani muanze kuchukuwa ada za akina Halima mdee sawa.

Alafu wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja, Chadema inaitwa SACCOS. Ni kituo cha makusanyo ya sadaka kama kanisani sisi huku kanisani utakiwi kuuliza pesa inaenda kwa Mungu unauliza nini. Ndiyo maana ata Chadema nako ukiuliza tu jibu linajulikana. Kanisani tunakutenga na nyinyi ndiyo mnamaliza kabisa, tofauti yetu ndogo sana.
 
Mleta mada mi naona kama anademka tu. Chadema walikuwa wanapokea milioni 300 na ushee kila mwezi lakini hata ofisi ya maana hawana, pamojana kuwa walikuwa wanapata milioni 300 lakini hata buku alikufika katiaka wilata wala kata ndo useme kwa ada ya 2500 mtatoboa, ni kijilisha upepo, labda mbadilishe gia angani muanze kuchukuwa ada za akina Halima mdee sawa.

Alafu wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja, Chadema inaitwa SACCOS. Ni kituo cha makusanyo ya sadaka kama kanisani sisi huku kanisani utakiwi kuuliza pesa inaenda kwa Mungu unauliza nini. Ndiyo maana ata Chadema nako ukiuliza tu jibu linajulikana. Kanisani tunakutenga na nyinyi ndiyo mnamaliza kabisa, tofauti yetu ndogo sana.
Hizo Ada za uanachama ni HISA kabisa. Haiwezekani mtu alipe ada ya Tsh 200,000 halafu akatwe, apitishwe John Mrema au Joyce Minja.

Na uthibitisho wa upigaji, possibly huo mfumo utakuwa SIRI.

Haitajulikana nani mwenye kadi ipi na mnyonge ana kadi ipi.
 
Hizo Ada za uanachama ni HISA kabisa. Haiwezekani mtu alipe ada ya Tsh 200,000 halafu akatwe, apitishwe John Mrema au Joyce Minja.

Na uthibitisho wa upigaji, possibly huo mfumo utakuwa SIRI.

Haitajulikana nani mwenye kadi ipi na mnyonge ana kadi ipi.
Mfumo siyo siri bwashee!

Platnum members kwa mfano tunajuana!
 
Kujenga taasisi imara kunahitaji ubunifu wa hali ya juu mno !! Hongera sana CDM, kwa kawaida ninyi hutangulia na wengine hufuata.

Nitalipia kadi yangu online !! wengine tuliona mbali toka 2011


 
Kiukweli CHADEMA kwa utaratibu wao mpya wa mfumo wa ada za uanachama wanaweza kufanya vizuri zaidi hata kama hawatapata ruzuku ya Serikali.

Kama wanachama milioni mbili wa CHADEMA watalipa tsh 2500 ambayo ni ada ya chini kabisa basi chama kitaingiza Tsh 5 bilioni kwa mwaka.

Hapo hujatuingiza sisi Platnum wa tsh 100,000 na wale wanene wengine wa Tsh 200,000

Hongereni CHADEMA kwa ubunifu.

Peoples........power!

Kazi Iendelee.
Hivi kumbe wewe ni Platinum?
 
Mleta mada mi naona kama anademka tu. Chadema walikuwa wanapokea milioni 300 na ushee kila mwezi lakini hata ofisi ya maana hawana, pamojana kuwa walikuwa wanapata milioni 300 lakini hata buku alikufika katiaka wilata wala kata ndo useme kwa ada ya 2500 mtatoboa, ni kijilisha upepo, labda mbadilishe gia angani muanze kuchukuwa ada za akina Halima mdee sawa.

Alafu wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja, Chadema inaitwa SACCOS. Ni kituo cha makusanyo ya sadaka kama kanisani sisi huku kanisani utakiwi kuuliza pesa inaenda kwa Mungu unauliza nini. Ndiyo maana ata Chadema nako ukiuliza tu jibu linajulikana. Kanisani tunakutenga na nyinyi ndiyo mnamaliza kabisa, tofauti yetu ndogo sana.
Wewe kachunge ng'ombe haya yamekuzidi umri
 
Mleta mada mi naona kama anademka tu. Chadema walikuwa wanapokea milioni 300 na ushee kila mwezi lakini hata ofisi ya maana hawana, pamojana kuwa walikuwa wanapata milioni 300 lakini hata buku alikufika katiaka wilata wala kata ndo useme kwa ada ya 2500 mtatoboa, ni kijilisha upepo, labda mbadilishe gia angani muanze kuchukuwa ada za akina Halima mdee sawa.

Alafu wahenga walisema lisemwalo lipo na kama halipo linakuja, Chadema inaitwa SACCOS. Ni kituo cha makusanyo ya sadaka kama kanisani sisi huku kanisani utakiwi kuuliza pesa inaenda kwa Mungu unauliza nini. Ndiyo maana ata Chadema nako ukiuliza tu jibu linajulikana. Kanisani tunakutenga na nyinyi ndiyo mnamaliza kabisa, tofauti yetu ndogo sana.
Huwa najiuliza hili swali sipati jibu, hivi zile mil 300 na michango ya wabunge kila mwezi zilikuwa zinaenda wapi? Leo hii washindwe hata kulipa mishahara? Ukiongeza kipindi cha miaka 5 iliyopita matumizi yalikuwa madogo sana, mikutano ya hadhara haikuwepo (ambayo inaweza kuwa kisingizio cha matumizi ya hela), chaguzi nyingi hawakushiriki (ikiwepo serikali za mitaa na za marudio) na hata hela za uchaguzi mkuu walioshiriki Lissu alikuwa anachangisha kwa njia mbalimbali, waliogombea ubunge pia hawakupelekewa hela kutoka makao makuu. Hizo hela zote zimeenda wapi?
 
Huwa najiuliza hili swali sipati jibu, hivi zile mil 300 na michango ya wabunge kila mwezi zilikuwa zinaenda wapi? Leo hii washindwe hata kulipa mishahara? Ukiongeza kipindi cha miaka 5 iliyopita matumizi yalikuwa madogo sana, mikutano ya hadhara haikuwepo (ambayo inaweza kuwa kisingizio cha matumizi ya hela), chaguzi nyingi hawakushiriki (ikiwepo serikali za mitaa na za marudio) na hata hela za uchaguzi mkuu walioshiriki Lissu alikuwa anachangisha kwa njia mbalimbali, waliogombea ubunge pia hawakupelekewa hela kutoka makao makuu. Hizo hela zote zimeenda wapi?
Wewe unadhani kampeni za 2020 timu mbili ya Tundu Lisu na Salumu Mwalimu walikuwa wanakula mawe?

CAG kapita na hakuona tatizo lolote!
 
Huwa najiuliza hili swali sipati jibu, hivi zile mil 300 na michango ya wabunge kila mwezi zilikuwa zinaenda wapi? Leo hii washindwe hata kulipa mishahara? Ukiongeza kipindi cha miaka 5 iliyopita matumizi yalikuwa madogo sana, mikutano ya hadhara haikuwepo (ambayo inaweza kuwa kisingizio cha matumizi ya hela), chaguzi nyingi hawakushiriki (ikiwepo serikali za mitaa na za marudio) na hata hela za uchaguzi mkuu walioshiriki Lissu alikuwa anachangisha kwa njia mbalimbali, waliogombea ubunge pia hawakupelekewa hela kutoka makao makuu. Hizo hela zote zimeenda wapi?
Hilo swali halijawahi kupata JIBU na hakuna mwanaCHADEMA mwenye uwezo wa kuuliza akabaki SALAMA.
 
Achana na chadema wewe, inakuhusu nini? Wewe waambie wenzako ccm waache kuwateka chadema, kuwaua, kuwabambikia kesi , kuwapoteza, kukataza mikutano yao na mengine unayoyaratibu wewe hapo utakuwa umeisaidia chadema na si porojo zako hizi mfu za pesa
Linasokoro kwinyo na roho yake mbaya, si ndio hili kenge linaota ruzuku, linajiongeresha kuwa chadema tunachukua ruzuku silipendi Mjaa laana hilo natamani ligongwe na gari lifie polini. LiCCM laana.
 
Kabla walikuwa wakipata Sh 450 million kila mwezi sawa na Sh 5.4 billion kwa mwaka. Hapo hujajumulisha makato ya Sh 1.5 million kila mwezi kutoka kwa wabunge wao 75 na michango ya mamillion ya USD toka kwa ndugu zao wa Ubeligiji na Ujerumani. Lakini kazi ilishindwa kuendelea! Watu walikihama chama na ilipofika 2020 chama kiliangukia pua na kupoteza fahamu.
 
Back
Top Bottom