CHADEMA inaweza kufanya vizuri bila ruzuku kwa sababu ada za Wanyonge (2500/=) zitawaingizia zaidi ya Tsh 5 Bilioni kwa mwaka

CHADEMA inaweza kufanya vizuri bila ruzuku kwa sababu ada za Wanyonge (2500/=) zitawaingizia zaidi ya Tsh 5 Bilioni kwa mwaka

Tunalipa mishahara minono ya watumishi wetu wote na viongozi wetu tunawanunulia mavieite na kupata clean certificate kutoka kwa CAG! Nyie mnanunua majumba ya kifahari Dubai na Ubeligiji na mikutano ya chama chenu mnafanyia Mlimani City, Serena Hotel na Bahari Beach.
Ndiyo matumizi ya pesa ni kipaombele gani unataka?
 
Ninachukia sana ushenzi wa kuwaita watu timamu wanyonge...huku wakiibiwa

Jiwe aliita watu wanyonge wakati wanaibiwa na akijiita mnyonge ili wasiamke kuhoji wakidhani wana mtetezi..
 
Tunalipa mishahara minono ya watumishi wetu wote na viongozi wetu tunawanunulia mavieite na kupata clean certificate kutoka kwa CAG! Nyie mnanunua majumba ya kifahari Dubai na Ubeligiji na mikutano ya chama chenu mnafanyia Mlimani City, Serena Hotel na Bahari Beach.
Jibu SWALI ccm ina ofis ngapi zilizojengwa KWA mikono ya chama, ?
 
Back
Top Bottom