CHADEMA inawezaje kuwa na wastaafu wa Jeshi au viongozi waliowahi kuwa karibu sana na Usalama wa Taifa?

CHADEMA inawezaje kuwa na wastaafu wa Jeshi au viongozi waliowahi kuwa karibu sana na Usalama wa Taifa?

Watu wajinga wajinga kama hawa ndo wanarudisha Taifa hili nyuma!

Mimi ni CCM lakini ni ujinga kuwa na mawazo kama haya!

Kwani CHADEMA kujua siri za Nchi hii Kuna shida gani?

Wana CHADEMA na Wana CCM sote tu Watanzania na cha msingi ni kuwa Wazalendo kwa Taifa letu.

Hakuna tatizo lolote kwa Afisa wa Jeshi au Usalama wa Taifa kuwa CHADEMA baada ya kustaafu kwa watu wenye akili.

Tatizo hapa Tanzania ni wajinga kuwa wengi kiasi ambacho hawawezi kutofautisha maslahi ya Taifa na maslahi ya CCM!!!

Na wajinga hawa ndo wamejazana kwenye vyombo vyetu vya ulinzi na usalama!

Leo Marekani Tim Walz alitumikia Jeshi la Marekani ni mgombea mwenza wa Kamala Harris kwa tiketi ya Democrats na JD Vance alitumikia Jeshi la Marekani ni mgombea mwenza wa Trump kwa tiketi ya Republican na constant kwao ni maslahi ya Taifa lao la Marekani.

Hapa kwetu constant ni Ujinga wa viongozi wetu na vyombo vya ulinzi na usalama wa kudhani ukiwa upinzani basi wewe ni adui wa Taifa.

Tushughulike na kuwapa elimu ya uraia Watanzania na hasa hawa wajinga waliojazwa kwenye vyombo vya ulinzi na usalama.
Kalimanzila Amemaliza kila kitu 🙌🙏🙏
 
Kumbe askari wastaafu hawatakiwi kuwa na uanachama wa chama cha siasa?
 
CCM ni Chama tawala cha Muda mrefu , usalama kuwepo CCM siri nyigi zinahusu nchi na Wao
Siri za nini..dunia ya leo unaweza kuwa na siri? siri za aina ya silaha mlizo nazo km nchi, au siri gani hasa unazodhani zipo na ni wajibu zilindwe..! toa mfano..
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Kuna miongozo na taratibu za kufanya shughuli mbali mbali hapa nchini. Mf. Kufungua Shile, hospitali, kampuni mbalimbali, kulima, kuvua,...........
Miongozo hiyo izingatiwe.
Marehemu angejipambanua kama mwana ccm asingeuliwa!?., pamoja na nafasi alokuwanayo.
Kama mfumo wa vyama vingi tulilazimishwa kwanini tuendelee kuwa wanafaki kwa gharama ya uhai wa baadhi ya wenzetu?, Tena kikatili namna hii!. Tunashindwa nini kujitangaza kuwa sisi ni wajamaa na dunia ituelewe hivyo kama wachina?
Kwa mwenendo huu tumeamuwa kuwa jamii ya watu wa hovyoooo.
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Kwa akili yako huwezi kujua hata unayoyaandika.
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Kuwa Upinzani Sio Dhambi
 
Huwa nawashangaa sana wanasema wanatoa Siri.Hivi Nchi masikini hivi ya Tanzania inasiri Gani ya maana ambayo haitakiwi kutolewa?Kila kitu Nchi ni tegemezi kwa Nchi matajiri na unadai unasiri
Ni mambo ya kushangaza sana, uko nchi maskini km Tanzania unadai kuna siri, wewe omba omba uwe na siri, siri gani?? labda siri za kuua raia wema watanzania wasio na kosa km Mzee Kibao, na hizohuwezi kufanya ziwe siri za nchi!
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
Watu kama wewe inabidi Kwenda shule tena, lazima una elimu ya chini sana! CCM na Chadema vyote ni vyama vya siasa, tofauti iliyopo ni kuwa CCM ipo madarakani na Chadema haipo kwa hiyo inabaki opposition. Chadema kama inatatawala CCM itakuwa opposition. Wanajeshi wako NEUTRAL; wakistaafu anaweza kuchagua chama atakacho.
 
mbona hata ccm wametajwa hapo au
Ukiwa na kadi ya chama cha mapinduzi au ukiwa chama cha mapinduzi hakuna tatizo lolote..

Nikuulize tu unahisi wakuu wa Mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Kisiasa, mawaziri na viongozi wa vyama unaowasikia wa CCM ambao walikuwa wanajeshi au ni wanajeshi ni wangapi????
kama kikwete na wengine kibao (Sina haja ya kuwataja) Kina capt John komba na wengineo wengi Hwakuwa CCM?

MImi ni mtu mzima na naelewa ulikuwa umelenga Kundi gani??
 
Ukiwa na kadi ya chama cha mapinduzi au ukiwa chama cha mapinduzi hakuna tatizo lolote..

Nikuulize tu unahisi wakuu wa Mikoa, wakuu wa wilaya na viongozi wengine wa Kisiasa, mawaziri na viongozi wa vyama unaowasikia wa CCM ambao walikuwa wanajeshi au ni wanajeshi ni wangapi????
kama kikwete na wengine kibao (Sina haja ya kuwataja) Kina capt John komba na wengineo wengi Hwakuwa CCM?

MImi ni mtu mzima na naelewa ulikuwa umelenga Kundi gani??
nimesema vyema hapo mwishoni kwamba nadhani ni vyema baadhi ya watu wakistaafu wasiingie kwenye siasa
 
basi tuseme kuwa na mipaka kati ya idara ya usalama na siasa .
Mkuu Unafahamu Kuwa Jeshi lilikuwa Chini ya CCM kabla ya Vyama Vingi??

Na hata katiba tulio nayo bado ina ukakasi na haijabadilika kuhusu hilo na ndo maana Watu wanataka katiba mpya ili hayo yote yawekwe wazi kwenye katiba...

Unahisi kwanini kenya ina nguvu sasa baada ya kupata katiba mpya??

Mambo kama haya yalikuwa mengi sana..

Katiba iliyopo ni katiba ya Chama kimoja
 
Hata maiti haiwezi kuwaza kama unavyowaza.
Kwani Chadema ni chama cha magaidi ila Ccm ndo chama cha siasa.
Elimu mbovu tunayopewa ndo matokeo ya wananchi kama Hawa.
Si mruhusu Katiba mpya,mbona mmeganda na Katiba iliyopitwana wakati.😡😡
 
Hivi hawa watu wenye siri nyingi sana za Nchi wamewezaje kuingia CHADEMA?

Marehemu Mzee Ally kibao, Mabele marando , Mzee Sumaye, Marehemu Mzee Lowassa, Makomando wa Mbowe.

CCM kuna wastaafu pia , hawa watu kwanini wakistaafu wakatulia tu .

Nadhani kuna baadhi watu wakistaafu hawatakiwi kuingia kwenye siasa.



........Nadhani sijaeleweka , mwishoni hapo nimeweka vizuri kabisa kwamba baadhi ya watu hawakutakiwa wakistaafu waingie kwenye Siasa .



Hivi ni nani anaweza kuamini kama kina lowassa , sumaye walikwenda CDM na kuwa wapinzani?



Je hawa watu huku Chadema wanakuja kwa mipango yao/CCM au ya CHADEMA ?



Mzee Ally alikuwa jeshini mpaka kifo kimemkuta alikuwa na impact gani na ushawishi gani mpaka awindwe ?



Wenye akili wachache mnaweza elewa



Tuna chama cha Upinzani hapa ?
We bumunda
! Nadhani chama tawala dhaifu wemechoka sana hawajui pa kushika Kila mtu wanamhisi ni mpinzani

Wameanzisha kitengo Cha mauaji ili kuleta hofu na kuwatisha wapinzani na kuua demokrasia ili waendele kula bila bugdha huku nchi ikizidi kufidia kiuchumi na kisiasa
 
Back
Top Bottom