Pre GE2025 CHADEMA itaingia Uchaguzi wa 2025 ikiwa Imesambaratika na kupasuka vipande vipande kama kioo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wewe na mintunga wenzio mtangoja na kuhudhuria gambosh hadi mujitoe kafara mkingojea upumbavu wako utimie!
 
Nimebubujikwa na machozi na masikitiko Njoo nisaide ephen_ mtu wako ataniua kwa kububujikwa.
 
Dua la Kuku halimpati Mwewe!
Ni kweli wanachama wa Chama pendwa wanasali usiku kucha kuomba CDM isambaratike. Chawa hawalali.
Hakuna Chama kinachoitesa CCM kisaikolojia kama CHADEMA.
Ilivyo CHADEMA ni Jinamizi kwa CCM.
 
Kama JIWE hakuweza,mdogo wangu tuliza kijambio chako kula mihogo na ujambe kwa raha zako na mwenza wako.
Unaweza kufa na kusambaratika wewe kabla ya kufika hiyo 2025.
 
Binafsi nilishapoteza tumaini kabisa na hiki chama. Ccm itatutawala sanaaa, hakuna chama pinzani ambacho kipo serious kuitoa Ccm madarakani. Hapa tusidanganyane wandugu. Ccm ata haiwez kupata presha ya uchaguzi kabisa. Tutatalalamika sanaa. Saizi n kuombea tu kupata viongozi walio na uchungu na hii nchi basi. Suala la kuitoa Ccm madarakan litabaki kuwa ndoto ya muotaji mwenye shida ya kusahau sahau!
 
Dua la Kuku halimpati Mwewe!
Ni kweli wanachama wa Chama pendwa wanasali usiku kucha kuomba CDM isambaratike. Chawa hawalali.
Hakuna Chama kinachoitesa CCM kisaikolojia kama CHADEMA.
Ilivyo CHADEMA ni Jinamizi kwa CCM.
CHADEMA hii dhaifu itawezaje kuwa tishio kwa CCM?
 
Kama JIWE hakuweza,mdogo wangu tuliza kijambio chako kula mihogo na ujambe kwa raha zako na mwenza wako.
Unaweza kufa na kusambaratika wewe kabla ya kufika hiyo 2025.
Kwa hiyo mimi ndio nimewatuma CHADEMA kushambuliana hadharani?
 
Chama kilichofukuza majembe yake 19 ya BAWACHA kisitegemee chochote kwenye uchaguzi. Eti kwa sasa Mdude na Martine Maranja ndo wanategemewa kueneza itikadi ya CHADEMA....!! Yaani watu wanaoporomosha matusi kwa yeyote yule ndo wamekuwa tegemeo la chama
 
Umeona wapi pandisha ushshidi tuone
 
Ndio maana kwa sasa chama kinakwenda kama kipofu gizani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…