Pre GE2025 CHADEMA itaingia Uchaguzi wa 2025 ikiwa Imesambaratika na kupasuka vipande vipande kama kioo

Pre GE2025 CHADEMA itaingia Uchaguzi wa 2025 ikiwa Imesambaratika na kupasuka vipande vipande kama kioo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema ipi tena! Miaka kumi na miwili iliyopita mlisema Chadema imekufa leo unasema mpasuko kwa aliyekwisha kufa! Unataka kutuaminisha kuwa Chadema ni kama Yesu, ilikufa na ikafufuka! Uchawi na ramli si kazi nzuri ya kufanya.
CCM ni wajinga sn
 
Back
Top Bottom