Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mpuuzi wewe amka ukale kabla ya bwashe hajarudiAcha ukuwadi utaolewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpuuzi wewe amka ukale kabla ya bwashe hajarudiAcha ukuwadi utaolewa.
Kweli kabisa MshanaHiki chama walahi kimeshindikana.. Kila uchao huja na jipya lenye matokeo chanya.. Huu ujenzi unaoendelea una maono ya mbali sana na matokeo yake yataonekana 2025
Sent using Jamii Forums mobile app
Boma ya nani?Mii shemeji yako tayari.
🤣🤣🤣
Tetete, kijiji?Margwe.
🤣🤣🤣
Tetete, kijiji?
Muongo wewe yaani hupajui ukweni?Wilaya ya Mbulu, ila kijiji sikuambii. Usije ikawa wee ni shem au baba mkwe ikawa shida. Maana humu JF unaweza ukakuta unabishana au kumtukana baba yako au baba mkwe.
🤣🤣🤣
Teh teh tihii
Kamanda uliyechoka,wenzako wanamaanisha wanachosema,wewe baki na porojo na kukata kwako tamaa.Tuacheni akili za kusadiki mambo yasiyowezekana.
Miaka kibao tupo kwenye game la siasa. Hatujaweza kujenga ofisi. Itawezekana vipi kukenga chuo cha uongozi?
Tumezoea siasa za kubwabwaja tu.
Muongo wewe yaani hupajui ukweni?
Teteete Margwe kijiji kimoja unaweza kuta wapo kama 20Nimesema sikuambii. Nisijue ukweni!!? 🤣🤣🤣
Mama D,atakule kijani ulisha jitolea nini kuijenga kijani yenu,kwani ule mtaa wenu umegeuka jangwa sasa.Umri wa chama miaka30 ila jengo kama chama chenye miezi3 tangu kuzaliwa
Atisti wameshtuka lakini
Nionyeshe jengo hata moja la CCM lililojengwa na wanachama wake kwa kujitolea.Umri wa chama miaka30 ila jengo kama chama chenye miezi3 tangu kuzaliwa
Atilisti wameshtuka lakini
Mama D,atakule kijani ulisha jitolea nini kuijenga kijani yenu,kwani ule mtaa wenu umegeuka jangwa sasa.
Vile utakavyoona inafaa.Unataka tushindane kwa mapungufu au mafanikio?
Nionyeshe jengo hata moja la CCM lililojengwa na wanachama wake kwa kujitolea.