Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Maigizo ya kuwatumia wanachama "mazwazwa"....Wameshindwa kujenga office miaka 28 tena wakiwa na ruzuku nzuri kabisa sasa wanakuja na ulaghai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo ya kuwatumia wanachama "mazwazwa"....Wameshindwa kujenga office miaka 28 tena wakiwa na ruzuku nzuri kabisa sasa wanakuja na ulaghai
Rudi MirembeKaa kimya kama huna point
Hivi chuo cha uongozi ndio tutaweza?Chadema jengeni ofisi kulingana na hadhi yenu
Acheni excuse ndio maana mnakimbiwa na wasiasa kila siku
Kama hako serious na Mambo madogo hamtoweza kuwa serious naa Mambo makubwa mkipewa nchi
Jengeni ofisi acheni kelele
Ofisi pia sehemu ya maendeleo
Pitisheni hata harambee !!! Kale la ofis kenu kapo Kama nyumba ya urithi
Chuo kikikamilika nitakulipia adaRudi Mirembe
Mpuuzi wewe, mwenyewe unaishi kwa shemeji yako mume wa dada akoChuo kikikamilika nitakulipia ada
Chuo ni shs ngapi? wahindi wana biashara kubwa lakini wanaishi nyumba za kupanga tena room 2? ruhusu akili yako ifanye kazi kdg
Tetetee BashiteKwa hiyo nyie ni wahindi, wee mtu wa Babati a.k.a Margwe.
Waache huo ufala wajenge ofisi na ukumbi wao wa mikutano Kama CCM ndio wahamie huko kwenye chuoHivi chuo cha uongozi ndio tutaweza?
Makamanda wananiangusha sana
Maigizo ya kuwatumia wanachama "mazwazwa"....
Kwa hiyo maisha unayaona mazuri kwa ni wahindi. Kweli ujinga ni mzigoChuo ni shs ngapi? wahindi wana biashara kubwa lakini wanaishi nyumba za kupanga tena room 2? ruhusu akili yako ifanye kazi kdg
Kajifunze kuandika kwanza wewe mpuuziKwa hiyo maisha unayaona mazuri kwa ni wahindi. Kweli ujinga ni mzigo
Jibu swali wewe mburulaKajifunze kuandika kwanza wewe mpuuzi
Hizi shem na dada ako wakiachana utaishi wapi?Jibu swali wewe mburula
MkHizi shem na dada ako wakiachana utaishi wapi?
CCM chama kikongwe chenye wanachama zaidi ya (Polepole) 12,000,000.CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Mkuu nikutafutie demu wa ki-iraqw?Garma bana.
Teh teh tihii
Acha ukuwadi utaolewa.Mkuu nikutafutie demu wa ki-iraqw?
CCM= Chama cha MajangiliCCM chama kikongwe chenye wanachama zaidi ya (Polepole) 12,000,000.
Hawana ofisi ya chama waliyojenga.
Wanapora majengo ya serikali na viwanja vilivyojengwa na wananchi.
Hivi wanafeli wapi?