Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
StateKwani Dola ni njni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
StateKwani Dola ni njni?
Safiiii. Tutachangia.KARATU
View attachment 1795981
BUNDA MJINI
View attachment 1795982
SERENGETI
View attachment 1795983
NJOMBE
View attachment 1795984
MAKAMBAKO
View attachment 1795999
Uko sahihi, hayo ndio matamanio lakini uhalisia ni tofauti. Kumbuka kutoa ni moyo, na sio wote wanamudu kutoa.CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Hatari na nusuUko sahihi, hayo ndio matamanio lakini uhalisia ni tofauti. Kumbuka kutoa ni moyo, na sio wote wanamudu kutoa.
Kwani CCM wamejenga ofisi ngapi.
Mimba inakutesa mama ...Chadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
CAG alikagua matumizi ya ruzuku ya Chadema akatoa hati safi, ujenzi huu ni michango ya wanachama sio ruzuku.
Afu kuna mtu alikuwa anasema eti atahakikisha kufikia 2020 CDM haitakuwepo nchini.....cha ajabu yeye ndo hayupo na CDM inachanga mbuga.... dunia hii aisee!!
Umasikini wako wa akili na mali hauwezi kuondoka kwa kuichukia Chadema na pia kuichukia kwako Chadema hakuwezi kukupa uteuzi kama ilivyokuwa enzi za yule dhalim anayeteketea motoni hivi sasa. Utaendelea kutoa comments zako za kipumbavu humu zisizokuwa na mantiki na mwishowe utaendelea kulawitiwa tu kwa hela ya mboga.
Na wewe mpuuzi tu kama huyo shost wako etwegekwan wewe ukiipenda chadema ndo ataachia uenyekiti akupe?
Na wewe mpuuzi tu kama huyo shost wako etwege
Mpuuzi tu wewewapuuzi si ndo nyie sasa, ivi mlipata wapi moyo wa kumepnda lowasa mliemchafua miaka 10?
Mpuuzi tu wewe
Very interesting.Itaondoka ila siyo kuondolewa na vyama. Itaondolewa na wananchi wenyewe.
Hao wanasiasa wenyewe ni wale wale. Wazee wa fursa.
Hata leo ikiingia madarakani CHAUMA watahamia huko huko. Ikiingia CHADEMA hao hao CCM watahamia huko huko.
Naamini kwenye vyama vingi ila siamini kwa wanasiasa kwasababu wanasiasa lao moja.Very interesting.
Mkuu kwa mawazo haya unadhihirisha kuwa wewe ni mmoja ya watu wasioamini kuwa mfumo wa vyama vingi vya siasa (multiparty democracy) unawezekana Tanzania. Bila shaka "wanasiasa" tulio nao - hao unaowaita "wazee wa fursa" - ni kioo cha jamii yetu. Ndivyo sisi tulivyo. Hivyo, usitarajie wananchi waiondoe CCM madarakani. Wananchi na wanasiasa ni dugu moja.
Kama sijakosea basi, nakupa rai kwamba badala ya kutoa kasoro "ndogondogo" za vyama ni bora zaidi, UKIWEZA, utoe elimu kuhusu vipi tunaweza kutengeneza mazingira ya kuwa na wanasiasa makini wanaoelewa, wenye msimamo na wenye uwezo wa kushindanisha itikadi, sera na mifumo mbadala makini kwa ajili ya maendeleo na ustawi wa Taifa? Demokrasia ya vyama vingi haina maana kama Watanzania wengi hasa wanasiasa hawaelewi maana wala hawawezi kupigania, itikadi, sera, na mifumo mbadala kwa ajili ya mustakbali wa taifa. Kama kweli wote ni watu wa tamaa ya ukwasi tu.
Mimi binafsi, baada ya kuusoma kwa undani mwenendo mzima nchini na katika nchi mbalimbali hasa za Afrika, naamini kwa kiasi kikubwa multiparty democracy HAIWEZEKANI Tanzania. Nilivyoona ni kuwa uelewa wa mambo haya uko chini mno; umasikini na uroho viko juu sana. Wengi wanadhani nchi inatakiwa kuongozwa na mtu (mmoja) maalum "atakayelikomboa au kulivusha taifa". Mtu atakayeabudiwa kama MASIHI! Lakini kwa vile kivuli cha multiparty democracy ni kete muhimu ya dola katika diplomasia ya kimataifa na pia ni "sekta" muhimu ya ajira/ulaji kwa wajanja wengi, basi "uongo" huo utakaoendelea kuwepo mapaka wengi wanyoshe mikono juu.
Kwa upande mwingine kuna "kafaida" kadogo tunapata. Pamoja na ubabaishaji wote unaofanywa na dola, tumeshuhudia jinsi vyama vya upinzani hasa CHADEMA, vilivyoitikisa dola na kutunusuru na maanguko kadhaa. (pulling the nation back from the abyss). Bila hivyo, kuna wakati viongozi walielekea kuvuka mstari katika ufisadi na ukiukaji haki za binadamu wakajikuta wakivutwa shati na upinzani na kujirudi kiasi - pamoja na kuendelea kubisha! Hata ndani ya chama tawala ukiwaambia kusiwe na upinzani kabisa wako wengi watakuwa mashakani. Lakini gharama ya multiparty system ni kubwa mno.
Chadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya