we bado mtoto mdogo muulize baba yako alivyokua akichangishwa kwenye mshahara wake miaka hiyo mchango wa kuimarisha chamaChadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we bado mtoto mdogo muulize baba yako alivyokua akichangishwa kwenye mshahara wake miaka hiyo mchango wa kuimarisha chamaChadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Hamasa ni ndogo snHapo ndo tunaanza kupata wasiwasi,kama kweli ina wanachama 1M waliojitoa kisawasawa.
CAG alikagua matumizi ya ruzuku ya Chadema akatoa hati safi, ujenzi huu ni michango ya wanachama sio ruzuku.hazinihusu? kwan hujui ruzuku ni kodi za wananchi ama ulidhan ni mradi wa mbowe
Kwani CCM wamejenga ofisi ngapi.kazi zake ni nini sasa? apo bado na michango ya wanachama kifupi unaongelea atleast 40+ billion in a span of 8 years! mmehindwa kujenga ofisi?
Umasikini wako wa akili na mali hauwezi kuondoka kwa kuichukia Chadema na pia kuichukia kwako Chadema hakuwezi kukupa uteuzi kama ilivyokuwa enzi za yule dhalim anayeteketea motoni hivi sasa. Utaendelea kutoa comments zako za kipumbavu humu zisizokuwa na mantiki na mwishowe utaendelea kulawitiwa tu kwa hela ya mboga.Chadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Mtazamo wa kimasikini huo.Ingekuwa watu wanashirikiana hivi kujenga maisha yao, mbona tungekuwa mbali.
Hizo ofisi watakuja kuporana kama ACT walivyporana ofisi na CUF huko Zanzibar.
Wewe kwani unatakaje? Achaneni na Chadema hangaikeni na hilo genge lenu la kigaidi.CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Kubali kushauriwa mkuuWewe kwani unatakaje? Achaneni na Chadema hangaikeni na hilo genge lenu la kigaidi.
Kwani hadi sasa hizo structures zinazooeneka hapa thamani yake ni Tsh. ngapi?Hujanielewa mkuu, mpaka sasa sijui wamekusanya laki 6 kati ya milioni 30 upo hapo? maanake hamasa ni ndogo sn
Soma uelewe acha hasiraKwani hadi sasa hizo structures zinazooeneka hapa thamani yake ni Tsh. ngapi?
Vimada wa mwendazake wote kawahonga vyeoChadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Hii ndio maana halisi ya CDM, sio wale wengine wanaotegemea bajeti kutoka uarabuni. Hongereni makamanda!KARATU
BUNDA MJINI
View attachment 1795982
SERENGETI
View attachment 1795983
NJOMBE
View attachment 1795984
MAKAMBAKO
View attachment 1795999
Nimeuliza swali wala sina hasiraSoma uelewe acha hasira
Kumbuka waliwalilipa mamilioni kwa siku chache katika ile kesi ya viongoziCHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
SawaNimeuliza swali wala sina hasira
Hiyo hata mimi ambaye siyo mwanachama nilichangia maana ulikuwa uonevu wa kipumbavu snKumbuka waliwalilipa mamilioni kwa siku chache katika ile kesi ya viongozi
Wakina nani walikuwa wanakaa na mbowe leo kabaki peke yake?Hakuna biashara isiyo na hasara. Siasa ni dynamics.
Hata waliokuwa wanakaa na Mbowe meza kuu kwenye vikao vya chama, leo amebaki Mbowe peke yake.
Huwezi kukwepa kuzungumza hasara kwa kujidanganya kuwa haitakuwepo.
Majengo ya CCM yalijengwa na Wananchi Wana-CCMMbona CCM hawajaporwa majengo yaliyojengwa na wananchi.
Kwani Dola ni njni?CCM sasa hivi inawekwa pamoja na Dola. Siku ikiondoka madarakani ndio utajua kipi ni kipi na cha nani.