Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Hakuna biashara isiyo na hasara. Siasa ni dynamics.Tatizo akili yako inawaza negative
Ni sawa na wewe unajenga nyumba kubwa lakini utakufa na utaiacha
Funzo
Kwenye maisha usiwaze negative
Hata waliokuwa wanakaa na Mbowe meza kuu kwenye vikao vya chama, leo amebaki Mbowe peke yake.
Huwezi kukwepa kuzungumza hasara kwa kujidanganya kuwa haitakuwepo.