Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Mmegeuza nchi kuwa Islamic stateMbona hapo Ufipa st ni Upendo Kwaya Kijitonyama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmegeuza nchi kuwa Islamic stateMbona hapo Ufipa st ni Upendo Kwaya Kijitonyama!
Umechanganyikiwa, alafu bado unatoto mwingiChadema wamekuwa wakiitolea mfano Tume ya Chebukati (IEBC) kama mfano wa Tume Huru ya Uchaguzi bora kabisa barani Africa
Chebukati na baadhi ya makamisha Muda wao umekwisha hivyo Rais Ruto ameunda timu ya Watu 7 kuanzisha Mchakato wa kupata Watendaji wapya wa IEBC
Kikosi Kazi hicho kitapendekeza majina yatakayofikishwa mbele ya Rais Ruto kwa Uteuzi
Chadema tumeni wataalamu wenu Nairobi wakajifunze ili mpate hoja za Katiba mpya
Kwaresma Njema!
Mungu ni yuleyule!Mmegeuza nchi kuwa Islamic state
kama huijui tanganyika basi rudi tena kwenye historia kaperuzi ujue tanganyika ilikuwa nini.Mtanganyika ndio nani?
Ilikuwakama huijui tanganyika basi rudi tena kwenye historia kaperuzi ujue tanganyika ilikuwa nini.
Hakuna kitu kama hichoMungu ni yuleyule!
Hapo Ufipa st ni kama Luteri Kijitonyama!Hakuna kitu kama hicho
Wazimu umepanda tena kichwani, maana unaeleweka akili zako huwa hazichelewi kujirudia kwenye hali hiyo inapopata changamoto ndogo ndogo kama hizi.Baki hapo hapo kwenye kibanda cha mlinzi!
Bila kuficha, hilo litakuwa jambo jema sana kwa Tanzania.Na kitatokea humo humo CCM na wala sio muda mrefu kuanzia sasa! Utabiri wa Mwalimu unanukia sana sana
John, huwa unakimbilia kuanzisha nyuzi nyingi ambazo baadhi zake zanakosa maudhui yenye kuonyesha upo makini katika kuakisi uhalisia wa jambo ama hata kufikirisha na kuchokoza mijadala yenye kuvutia. Ni lazima utofautishe kuhusu muundo wa tume huru ya uchaguzi, utaratibu unaotumika kuteua timu ya makamishina, na pia maadili na weledi wa utendaji wa makamishina ni vitu vitatu ambavyo vipo tofauti kabisa.CHADEMA wamekuwa wakiitolea mfano Tume ya Chebukati (IEBC) kama mfano wa Tume Huru ya Uchaguzi bora kabisa barani Africa.
Chebukati na baadhi ya makamisha muda wao umekwisha hivyo Rais Ruto ameunda timu ya watu 7 kuanzisha Mchakato wa kupata Watendaji wapya wa IEBC.
Kikosi Kazi hicho kitapendekeza majina yatakayofikishwa mbele ya Rais Ruto kwa Uteuzi.
CHADEMA tumeni wataalamu wenu Nairobi wakajifunze ili mpate hoja za Katiba mpya.
Kwaresma Njema!
Kabisa !!Bila kuficha, hilo litakuwa jambo jema sana kwa Tanzania.
Katiba mpya si kwa ajili ya CD tu.Tubadili mtazamo.CHADEMA wamekuwa wakiitolea mfano Tume ya Chebukati (IEBC) kama mfano wa Tume Huru ya Uchaguzi bora kabisa barani Africa.
Chebukati na baadhi ya makamisha muda wao umekwisha hivyo Rais Ruto ameunda timu ya watu 7 kuanzisha Mchakato wa kupata Watendaji wapya wa IEBC.
Kikosi Kazi hicho kitapendekeza majina yatakayofikishwa mbele ya Rais Ruto kwa Uteuzi.
CHADEMA tumeni wataalamu wenu Nairobi wakajifunze ili mpate hoja za Katiba mpya.
Kwaresma Njema!
Kwakweli !Hapa anasubiri mapendekezo hajateua
Wanaopendekeza kawateua yeye mwenyewe!Kwakweli !
Wenzetu anghalau wana hatua fulani hivi, kwetu ni giza tupuKwakweli !
Hatua gani?Wenzetu anghalau wana hatua fulani hivi, kwetu ni giza tupu
Tulia kama akina mama wenzako wanaume tunajadiliHatua gani?
Mkiendelea na uwoga wenu hakuna Tume yoyote itakayowafaa
Mwanaume unauza mbege kilabuni!Tulia kama akina mama wenzako wanaume tunajadili
Jinga, ni biashara kama biashara zingineMwanaume unauza mbege kilabuni!
Tume huru ya uchaguzi ya Kenya ya Chebukati ilimtangaza Ruto kuwa Mshindi wa kiti cha URais japo Rais aliyekuwa madarakani Kenyatta alikuwa anamuunga mkono Raila Odinga. !! Hapo utaona ni kwa kiasi gani tume ipo huru !! Pamoja na mapungufu yake lakini ipo huru !!Hatua gani?
Mkiendelea na uwoga wenu hakuna Tume yoyote itakayowafaa