Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM
Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo
Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi
Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena
Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu
Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike
Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........
Nawatakia kila la kheri wotee
Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo
Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi
Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena
Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu
Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike
Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........
Nawatakia kila la kheri wotee