CHADEMA jifunzeni maamuzi ya Leo CCM kwa viti maalum hivi sio viti vya familia ama ukoo flani ama kabila flan tu

CHADEMA jifunzeni maamuzi ya Leo CCM kwa viti maalum hivi sio viti vya familia ama ukoo flani ama kabila flan tu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee
 
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee
Ccm wamebeba sera za Tundu Lissu kwenye uchaguzi against MBOWE
 
Mbona hata mtoto wa chekechea anajua kua CCM INATEMBELEA AKILI ZA TUNDU LISSU.

hata wee mtoa mada mpuuzi Mmoja unaelewa Hilo ila unajitoa ufaham.


CCM wanavyopenda madaraka , Kuna ambaye angelikubali hilo liwe kichwan mwake??.


Mpenzi TUNDU LISSU Maua yake
 
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee
CCM ndio walio nakiri wazo la mwenyekiti mpya wa CHADEMA, Wakili Msomi Tundu Lissu.
 
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee
Wewe umechelewa ,chadema ndo ilianza na msimo huu na ccm wameufyata ,sasa kelele za nini?

Ccm ikisema viwepo viti mahalum vya wanaume , utakuja shangilia pia na machwa wenzako , kamati ya siasa ya ccm ipo Icu
 
Kama ndugu yako , rafiki yako, mpenzi ,mke wako yupo ccm , kuwa makini naye uhongo ccm ni kama Pete na kidole ,
 
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee

Wanachokifanya ndicho Chadema wamesema watakifanya? CCM hawana uwezo wa kufikiri zaidi ya copy and paste.
 
January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM

Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo

Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi

Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena

Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu

Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike

Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........

Nawatakia kila la kheri wotee
Wakati wa kampeni Tundu Lisu alisema hilo, ccm wamewahi ili ionekane wao ndio wa kwanza kutekeleza. Kubalini tu nyie ni akili ndio mnaoongoza akili kubwa.
 
Chadema hawawezi badili Mahawara wa viongozi ndio wanapewa viti maalumu hilda Newton tangu aanze kuangalia dari miaka inapita mpaka kazeeka sasa hajawahi pata!
Kwa hili imeonyesha cdm wako mile nyingi mbele ya chama la majizi. Lisu aliahidi sana kwenye ahadi zake kuhitimisha huu upuuzi wa viti maalumu kufia madarakani. Chama la wazee limevamia haraka hilo ili ionekane wao ndio wameanza🤣🤣
 
Back
Top Bottom