kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kusema mbali na kutenda mbali ..tekelezeni kama mnaweza kuwatoa hao mahawara wa viongozi!Kwa hili imeonyesha cdm wako mile nyingi mbele ya chama la majizi. Lisu aliahidi sana kwenye ahadi zake kuhitimisha huu upuuzi wa viti maalumu kufia madarakani. Chama la wazee limevamia haraka hilo ili ionekane wao ndio wameanza🤣🤣