kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kwani uchaguzi utafanyika?Uchaguzi ukifika masalia yote yatamalizwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uchaguzi utafanyika?Uchaguzi ukifika masalia yote yatamalizwa.
Hicho walichozungumza sasa ndiyo story tu, kuanza ni mpaka 2030 hapa katikati lolote linaweza kutokea akaja mwenyekiti mwingine na mtazamo tofauti na kwa CCM mwenyekiti ambaye ndiye Rais kwao ni Mungu hata akitaka kuwatia vidole watabong'oa huku wanashangilia tu.Muhimu ni kuwa wameshaanza. Na dunia itawakumbuka kwa kuanza. Zingine story tu
Uchaguzi wa cdm sio huo wa majizi boss.Kwani uchaguzi utafanyika?