kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kusema mbali na kutenda mbali ..tekelezeni kama mnaweza kuwatoa hao mahawara wa viongozi!Kwa hili imeonyesha cdm wako mile nyingi mbele ya chama la majizi. Lisu aliahidi sana kwenye ahadi zake kuhitimisha huu upuuzi wa viti maalumu kufia madarakani. Chama la wazee limevamia haraka hilo ili ionekane wao ndio wameanza🤣🤣
Lisu ameahidi, lakini hakutekeleza.Kwa hili imeonyesha cdm wako mile nyingi mbele ya chama la majizi. Lisu aliahidi sana kwenye ahadi zake kuhitimisha huu upuuzi wa viti maalumu kufia madarakani. Chama la wazee limevamia haraka hilo ili ionekane wao ndio wameanza🤣🤣
Uhongo? 😳Kama ndugu yako , rafiki yako, mpenzi ,mke wako yupo ccm , kuwa makini naye uhongo ccm ni kama Pete na kidole ,
Tuliza akili hao siyo viti maalum wana majimbo yaoRidhiwan na mama yake wote ni Wabunge, walipita bila kupingwa.
Mkuu uko nchi gani wewe? Mbona CCM ndiyo wame C&P aliyosema Lissu siku anatangaza nia kugombea uenyekiti.January niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM
Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo
Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi
Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena
Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu
Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike
Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........
Nawatakia kila la kheri wotee
Hiyo wamesema itaanza 2030 kwa nini wasianzie uchaguzi huu 2025?Dunia haiwakumbuki wawazaji, inawakumbuka watekelezaji. Jamaa wametekeleza and give them due respect.
Kwani uchaguzi tayari? Na hayo majizi ya kura yamesema hiyo ni mpaka 2030.Lisu ameahidi, lakini hakutekeleza.
Viti maalum "KE" viondolewe pawe na viti vitatu tu kila kundi kwa kura yaani Wazee, Wastaafu, Wakulima, Wavuvi, Wachimbaji, Wafugaji nk Yaani yaanishwe walau makundi hata KUMI tu kwa kuanzia na wapite kwa kura !Unamfahamu Munde Tambwe?
Tofautisha Kati ya chama dola na chama Cha upinzaniJanuary niliandika sana hapa nkalia sana na haya mambo ya VITI MAALUM
Nkaelezewa sana madhara yake kuna watu wako vijana wanazeekea voti MAALUM kiasi cha kwamba WAKIFIKA kule HATA akili aziwazo kusaidia wananchi WANAJUA watachsguliwa Tena wakipitidha mambo yaooo
Sio hivyo iliwafanya HATA baadhi ya ukoo ndio unasikia wako kwenye VITI MAALUM tu wao kila miaka waooo eg kule CHADEMA mbowe alisema amepokea malalamiko kuna ukoo MMOJA wako watu watatu kule Moshi AKAOMBA atalifanyia kazi
Hawa watu ukiangalia wako bungen Toka UJANA wao wengine wamekuwa mamama wakiwa bungeni na bado wanataka Tena
Leo nimefurahi kusikia ccm wameweza kufanya kile nilimwombea Mungu haya mambo YAISHE ya Mm NDIE VITI MAALUM nenda Rudi hakuna zaidi yanguu
Binafsi NAWAASA CHADEMA MJIFUNZE Toka chama changu cha ccm mbadilike
Muweke kikomo cha vitimaalum....na sio kila ukoo huohuoo mnapishana tu ujinga........
Nawatakia kila la kheri wotee
Vifutwe, kwani kazi ya mbunge ni kumwakilisha nani?Viti maalum "KE" viondolewe pawe na viti vitatu tu kila kundi kwa kura yaani Wazee, Wastaafu, Wakulima, Wavuvi, Wachimbaji, Wafugaji nk Yaani yaanishwe walau makundi hata KUMI tu kwa kuanzia na wapite kwa kura !
Nadhani ndo anakwenda Mirembe hajafika.Umetoka Mirembe?
Huyo hata Mirembe hawamuwezi. Keshakuwa kichaa wa kiwango cha kuokota makopo majalalani.Umetoka Mirembe?
Muhimu ni kuwa wameshaanza. Na dunia itawakumbuka kwa kuanza. Zingine story tuHiyo wamesema itaanza 2030 kwa nini wasianzie uchaguzi huu 2025?
Mahawara wakati boss wao kashapigwa chini?Kusema mbali na kutenda mbali ..tekelezeni kama mnaweza kuwatoa hao mahawara wa viongozi!
Wameshakaa kurekebisha katiba yao, ama hujui yeye ni uongozi mpya?Lisu ameahidi, lakini hakutekeleza.
Inawezekana mzee alikua nje ya nchi hajasikia lecture ya simba kabla ya uchaguziCcm wamebeba sera za Tundu Lissu kwenye uchaguzi against MBOWE
Una hakika hakuna mabaki ya wengine hapo!Mahawara wakati boss wao kashapigwa chini?
sasa huoni kuwa lissu yeye ni debe tupu la kuongea vitu ambavyo yeye hafanyi sasa ataendelea kuongea watu wanafanyia kazi yeye anaendelea kuwa mpinzani milele mwandishi nawe mjinga mmoja unaona kabisa lissu ana feli unakuja kujamba humuMbona hata mtoto wa chekechea anajua kua CCM INATEMBELEA AKILI ZA TUNDU LISSU.
hata wee mtoa mada mpuuzi Mmoja unaelewa Hilo ila unajitoa ufaham.
CCM wanavyopenda madaraka , Kuna ambaye angelikubali hilo liwe kichwan mwake??.
Mpenzi TUNDU LISSU Maua yake
Uchaguzi ukifika masalia yote yatamalizwa.Una hakika hakuna mabaki ya wengine hapo!