Hicho walichozungumza sasa ndiyo story tu, kuanza ni mpaka 2030 hapa katikati lolote linaweza kutokea akaja mwenyekiti mwingine na mtazamo tofauti na kwa CCM mwenyekiti ambaye ndiye Rais kwao ni Mungu hata akitaka kuwatia vidole watabong'oa huku wanashangilia tu.