CHADEMA kama wapinzani tumekosa future plans na uwekezaji. Tuna viongozi ambao hawana uwezo wala maono

CHADEMA kama wapinzani tumekosa future plans na uwekezaji. Tuna viongozi ambao hawana uwezo wala maono

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.
 
CHADEMA wengi ni wapuuzi wapuuzi tu... Yaani wanategemea akili zilizotufikisha hapa tulipo ndo zitutoe hapa tulipo...!!

Yaani wengi wao wanasubiria ccm na serikali yao ikosee then wajitokeze kulaumu na kujadili nini kitokee... Hawana sera mbadala na endelevu na si kuibuka kimatukio matukio!

Wengi wanaingizwa mkenge kirahisi kwenye propaganda za ccm.

Hawana maono wala hawajui nini wanataka zaidi ya kucheza amapiano za ccm.

Na hili si kosa lao wao peke yao! Hata wananchi wengi nao wapo hivyo... Wanategemea miungu na watawala zaidi kuliko uwezo wa akili zao binafsi!

Wanasubiria ccm ikosea au watu ndani ya ccm wavurunde then wagawanyike kuona wengine bora wengine hovyo...

Wanasahau kuwa ccm ni injini isiyoweza tena safari inahitaji kupumzishwa na si kubadilishiwa kipuri!

Injini ya ccm ni chakavu imechoka sana!

Haiwezi kupumzishwa bila injini mbadala kuwepo...

#Shame!
 
Mambo makubwa CHADEMA waliyofanya for the past 9 months, yamekuwa ni kujadili mitandaoni yafuatayo;

Mama kuupiga mwingi
Sabaya
Kesi ya Mbowe
Vita ya Gwajima Pastor na Gwajima waziri
Kumtukana, kumjadili na kumunfollow Kigogo
Polepole na wahuni wake and viroboto
January Makamba
Sukuma Gang
Ndugai na mikopo yake
Samia kuwaambia wale mabinti wa timu ya taifa hawana matiti
Then wanamalizia na #KatibaMpya #MboweSiyoGaidi #TumeHuruyaUchaguzi

Walitakiwa kuwa na Mkutano wa Baraza kuu July, moja ya hoja ilikuwa ni kujadili rufaa ya wabunge wa COVID, but limeyeyuka na Mbowe, Hii ina maana bila Mbowe chama hakiwezi kufanya shughuli zake za kila siku, sasa sidhani kama chama kinachomtegemea mtu mmoja ili kufanya shughuli za kila siku kina uwezo wa kuongoza watanzania mil. 60
 
Ajiandaaye kubisha katika kila jambo hawezi ongeza busara.
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa...
Umeanzia angani umeishia angani, nimejaribu kuangalia ulichonitaka niangalie lakini sikukiona cha kuangalia.

Weka hapa unachotaka tukijadili badala ya kutaka tujadili kilichomo kichwani mwako.
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa...
Wewe unayelaumu wenzako umeshatoa mchango gani kwenye chama? Wewe mwenyewe unashinda humu JF kutwa kucha kuwakejeli viongozi wa Chadema na Chadema yenyewe,yaani nyani haoni kundule. Na kwa maandishi yako wewe ni uvccm.
 
Usilazimishe kuwa CHADEMA wakati CHADEMA hawakutaki na huipendi. Wewe endelea kubakia CCM na ukiona vipi hamia vyama vingine kama UDP, CUF, ACT, TADEA etc.

Pilipili iko shambani, wewe huku mtaani inakuwashia nini?
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.
Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi haviwagusi raia ila vinawagusa ccm sio?
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.
Kwa hiyo kamanda mchovu tukueleweje , popo au ndege, mara ni kamanda mara mwanachukua chako mapema(ccm).Tuambie ulipo au mzee wa michongo.
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.
Hamia CHAUMA kwani shida iko wapi?
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.
Chadema imezaa akina Mwita na viongozi wengine wengi tu ambao CCM ilibidi iwanunue kwa gharama kubwa,you are here talking rubbish!
 
Mtoa hoja hii wewe umetoa mchango gani katika nchi yetu kuhusu issue ya utawala bora?middle class uliye kwenye ghorofa refu lenye AC!umekalia lawama za kwenye key board,sisi vijana wa 1995 wakati mfumo wa vyama vingi tulitungisha nchi mpaka rais msataafu akarudi kwenye siasa,tulikuwa front sio kwenye key boards!
 
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.

Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.

Wao ni kuishi kisiasa kulingana na matukio bila kuwa na uwezo wa kudadavua mambo ambayo yanamgusa raia wa kawaida.

Uwezo wa viongozi wa taasisi zetu ni mdogo sana.

Hiyo mipango ungeiutumia huko ccm leo hii nchi hizi isingekuwa masikini kama hivi.
 
Back
Top Bottom