Uchaguzi 2020 CHADEMA karata wamezichanga vizuri

Uchaguzi 2020 CHADEMA karata wamezichanga vizuri

Remain as you are. Nina hakika hata wewe unajua hayo mambo.
Natumia BIMA ya Afya for 5 years now,,nachopata hospital mara nyingi ni mseto,,ila inapokuja issue tofauti na hapo ,,Duka la dawa na Pesa mkononi!.. WEE PIGA KELELE ila ukweli u ajulikana
 
Nasikia wale wote walioondolewa makazini kwasababu ya vyeti fake kihalali na kiuonevu wameanza kujipanga kumpinga Jiwe kwa nguvu zote kwenye box la kura
 
[emoji3][emoji3][emoji3]ufipa kaipinga ufipa
Tunashukuru kwa hili bandiko, ila kilichotokea kwa mgombea mwingine wa ccm 2015 ndani ya cdm kimetutosha. Cdm kama chama wanaweza kumpitisha Nyalandu, lakini mimi na mke wangu hatuko tayari kurudia kosa la Lowassa ndani ya cdm.
 
Chadema katika Uchaguzi Mkuu ,,mnatafuta kura za Watanzania sio kura za wana Chadema,,ambazo kwa asilimia kubwa kutokana na mahaba yao watawapatia tu hata kama mtaweka zombie,,ila Watanzania wengine walio njia panda wasiokua Ccm wa Act wnasubiri Chama kitakacho simamisha Mgombea Chuma,,wakiunge mkono!.. Sasa nyinyi Wekeni Nyalandu ,,,Mtanyanduliwa Mapemaa mgawane mbao,,,,,TWENDE NA LISSU HATA WAO WANAMUOGOPA
 
Mfipa kaipinga ufipa[emoji3][emoji3][emoji3]
Chadema katika Uchaguzi Mkuu ,,mnatafuta kura za Watanzania sio kura za wana Chadema,,ambazo kwa asilimia kubwa kutokana na mahaba yao watawapatia tu hata kama mtaweka zombie,,ila Watanzania wengine walio njia panda wasiokua Ccm wa Act wnasubiri Chama kitakacho simamisha Mgombea Chuma,,wakiunge mkono!.. Sasa nyinyi Wekeni Nyalandu ,,,Mtanyanduliwa Mapemaa mgawane mbao,,,,,TWENDE NA LISSU HATA WAO WANAMUOGOPA
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?

Inawezekana kweli Chadema watacheza karata hiyo kwasababu nyuma ya Nyalandu kuna Marekani na Wamarekani hawapendi mambo anayofanya Magufuli ya kujenga uchumi wa kujitegemea wanataka siku zote wawe kama remote control na sisi tuwe kama TV wanabadilisha mambo na tufuate wanayotaka kama walivyoleta SYMBION ambao ulikuwa mradi wankinyonyaji kabisa na Magufuli akasimamisha.

Ila Chadema inabidi itambue Tanzania ya sasa sio ya zamani ya kufuata mikumbo Watanzania sasa wana mizani ambayo inawaongoza katika machaguo yao watapima uwezo wa Magufuli kwa aliyoyafanya ndani ya miaka 5 na wataangalia anayeshindana nae alifanya nini akiwa kwenye serikali au nje ya serikali nawahakikishia Watanzania ushindi wa Magufuli utakuwa kati ya asilimia 85-90 na Si chini ya hapo tukutane October.
 
Inawezekana kweli Chadema watacheza karata hiyo kwasababu nyuma ya Nyalandu kuna Marekani na Wamarekani hawapendi mambo anayofanya Magufuli ya kujenga uchumi wa kujitegemea wanataka siku zote wawe kama remote control na sisi tuwe kama TV wanabadilisha mambo na tufuate wanayotaka kama walivyoleta SYMBION ambao ulikuwa mradi wankinyonyaji kabisa na Magufuli akasimamisha.

Ila Chadema inabidi itambue Tanzania ya sasa sio ya zamani ya kufuata mikumbo Watanzania sasa wana mizani ambayo inawaongoza katika machaguo yao watapima uwezo wa Magufuli kwa aliyoyafanya ndani ya miaka 5 na wataangalia anayeshindana nae alifanya nini akiwa kwenye serikali au nje ya serikali nawahakikishia Watanzania ushindi wa Magufuli utakuwa kati ya asilimia 85-90 na Si chini ya hapo tukutane October.
Tatizo sio marekani tatizo ni sisi wenyewe mafisadi ni watanzania mambo ya simbioni na IPTL tusilaumu marekani
 
Ukiweka free and fair election Magu atateseka sana kt uchaguzi, na ilo analijua na kuliogopa sana ndo maana tume huru anaiogopa
Hakubaliki kwa masikini wa nchi hii labda hao wanasiasa wenzake wanaomtukuza ili kesho awape vyeo.
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?

Inawezekana ni mtazamo wako...

Lakini inawezekana pia ni mbinu yako kumpigia debe Nyalandu....

Lakini ukweli ni huu:

Tundu A.M. Lissu is the best Magufuli's opponent among all 11 aspirants...

CHADEMA hawapaswi kufanya kosa litakalowagharimu. Sijui Tundu Lissu kama ana pingamizi lolote la kufanya asigombee. Lakini kama hakuna, HAKIKA HUYU NDIYE AMEKUJA WAKATI MWAFAKA KABISA....!!!

Akisimama Lissu, kwa hakika ataamusha watu wengi kwenda kupiga kura wakiwemo wale ambao walishaapa kutopiga kura uchaguzi wa mwaka huu......

Tundu Lissu ataleta mwamko mpya wa siasa za Tanzania....

Atatukumbusha uchaguzi wa mwaka 1995 (Mkapa - CCM vs Mrema - NCCR MAGEUZI )....

Wakati huo CCM walikuwa na hayati Mwl. J. K. Nyerere akaokoa jahazi CCM kuangukia pua na kupotea kabisa.....

Mwaka atakuwa nani? Kikwete? Mkapa? Mwinyi? Au Bulembo?
 
Wakati huo CCM walikuwa na hayati Mwl. J. K. Nyerere akaokoa jahazi CCM kuangukia pua na kupotea kabisa.....

Mwaka atakuwa nani? Kikwete? Mkapa? Mwinyi? Au Bulembo?

Musiba na Chakubanga!
 
Back
Top Bottom