Uchaguzi 2020 CHADEMA karata wamezichanga vizuri

Uchaguzi 2020 CHADEMA karata wamezichanga vizuri

Tunashukuru kwa hili bandiko, ila kilichotokea kwa mgombea mwingine wa ccm 2015 ndani ya cdm kimetutosha. Cdm kama chama wanaweza kumpitisha Nyalandu, lakini mimi na mke wangu hatuko tayari kurudia kosa la Lowassa ndani ya cdm.

we jamaa ingawa unateteaga sana chadema lakini kuna mda point zako nazielewa sana kama ya leo
 
we jamaa ingawa unateteaga sana chadema lakini kuna mda point zako nazielewa sana kama ya leo

Siku zote pointi zangu ziko hivi hivi, lakini una upande, hivyo ikiwa ukweli niliousema haukufurahishi huwa unauweka kwenye point usizozielewa. Sasa hilo sio kosa langu, bali ni kosa lako.
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?
komesha ya ccm ni tundu lissu
 
nyala
we jamaa ingawa unateteaga sana chadema lakini kuna mda point zako nazielewa sana kama ya leo
nyalandu tofauti yake na lowasa ni hamna mtu sahihi ni lisuu ambaye watapekana puta kwa kiwango cha ccm hii
 
Hakubaliki kwa masikini wa nchi hii labda hao wanasiasa wenzake wanaomtukuza ili kesho awape vyeo.
Anything, something unexpected may happen. Kama watanzania wapiga kura watatoka wote linaweza kutokea jambo la ajabu.
Mambo yatakuwa rahisi sana wapiga kura wakipindukia uchache ambalo pia ni possible
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?
Kaka tena chini ili uandae maadishi mapya, maana hakuna muunganiko wa mawazo na kichwa cha habari. Maana hii ni ya ovyo kabisa, na ni uchafu wa kutupilia mbali. Kwamba maovyo haya ndio yameakisi akili zako za ovyo.
 
Natumia BIMA ya Afya for 5 years now,,nachopata hospital mara nyingi ni mseto,,ila inapokuja issue tofauti na hapo ,,Duka la dawa na Pesa mkononi!.. WEE PIGA KELELE ila ukweli u ajulikana

Nina uhakika hata wewe unaona mambo makubwa na ambayo hayakutarajiwa yanavyofanyika
 
Hahahha.. Tatizo umejifungia hapo ufipa sasa ukiona maafisa wa chadema wanavyomponda basi unaona hiyo ndio tz!
Njoo field mkuu, nakwambia tena njoo field ccm inakopatia kura.
huko field ndo kule mlikocheza faulo ucaguzi wa serikali za mitaa
 
Wananchi wanamchagua wanayemjua sio surprise unless nguvu za ziada zianhitajika . Siasa za bongo Ni ngumu Sana , some time focus kwenye public known than unknown
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?
Waneni hunena la kuvunda ubani halina. Hii safari imeshakwiva tunasubiri Oktoba 2020 watu wachomoe mashine moakutane na mola wenu.
 
Hakuna wa kusimama na magufuli akamtingisha kati hao wote, watagaragazwa vibaya sana.kifupi chadema hakuna mshindani wa magufuli Ni wasindikizaji tu
Mtu wako atabebwa na wakurugenzi na mapolisi na NEC kuiba kura, lakini kwa kura halali hana kitu!!
Nani achague njaa , vifo na umasikini??
 
Kwa jinsi nilivyomsikiliza mh Nyalandu Leo ni dhahiri kuwa ndiyo mgombea rasmi Kwa tiketi ya CHADEMA.

Hawa jamaa wametumia mbinu hatari za kijasusi sijui kama hapa hakuna mkono wa Yerico Nyerere na kama yupo basi hii strategy ni hatari sana!Achana na mbwembwe za Mh Lissu kuchangisha fedha hii bado ni mbinu kisha nisikize Mimi.

CHADEMA walishajua mbinu za CCM za kutumia propaganda kumchafua mgombea wa upinzani basi wakajidhatiti kwa kuficha dume Mh Nyalandu Kwa kipindi chote amekua kimya kama vile hayupo!

Upande wa pili ukijua Lissu ndiye na wao wakimpamba kwa Kwa sifa kedekede kama mbeba maono hafi! Mungu bado anakazi naye! Vijana wa Lumumba wakakomaa kuleta propaganda za anatumiwa na mabeberu;ana support ushoga na anapinga kila kitu sasa tutarajie kusikia huyu aliuza Twiga wetu!

Swali litakua ni je mahakama ya mafisadi ilishindwa kumfunga muda wote huo? Alishirikiana na Nani?

Kama zilivyo propaganda za faru John zilivyozimwa na kumfananisha mtu na Yesu tutalajie nini?
Umetumwa ww....nyalandu hawezi chukua nafac ya lissu...maana lissu ndie kijana pekee aliwahi kutikisa ccm mpaka mbinu zao zimeshindikana ana majibu yote kuhusu haki na harakati za kudai haki anajua vitu vingi mpaka kuelezea uchumi wetu ana maswaliii magumu hakuna atakae weza kujajibu ata kama barabara na madaraja yamejengwaa mwaka huu tutaona mchuano mzuri wa siasa tunaomba mauaji yasitokee tuu
 
Kumsimamisha Nyalandu? Aisee huyu hachomoki hata mgombea Ccm akiwa Jumanne Kishimba
 
Back
Top Bottom