CHADEMA: Kikosi Kazi kiliundwa ili kuchelewesha mchakato wa Katiba Mpya

Huo ndio ukweli.
 
Nchi hii ina shida mingi sana... na nyingi zinaletanizwa na uchu wa mafaraka wa wana CCM wachache.

Wanajua fika kwamba Katiba mpya ndiyo msumari wao wa mwisho..hawatakubali kamwe.
Kweli
 
Mama kaonja asali sasa anataka kuchonga mzinga. Madaraka ya kulevya.
 
Cha msingi hakuna Tena watu wasiojulikana..,tujifunze kuona unafuu katika maisha haya..,Lile kundi lilikuwa hatari Sana mpaka watu tuliogopa kuweka maoni yetu katika mitandao ya kijamii..,hakuna serikali iliyokamilika asilimia mia Moja.., tujifunze kuwa na shukrani

Binafsi naona wale wanaoendelea kuisakama serikali ya rais Samia hata kwa makosa madogomadogo tu , wanasahau shida na mateso tuliyopewa na yule fashisti dikteta mwendakuzimu wa chato..,mungu katuokoa na kutuondolea Lile dubwana lakini lawama haziishii..,tuna kuwa kama Wana wa islaer katika safari ya nchi ya ahadi[emoji848]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Pia Katibu Mkuu Mnyika ameitaka serikali kuweka wazi gharama ambazo kikosi kazi hicho kimetumia ili kukamilisha kazi yake .

Hela za umma zinapaswa kufahamika jinsi zinavyotumika
Kama haitoshi vile Mpokea taarifa anasema wataunda tume nyingine ndogo kushirikiana na baadhi ya waliokuwepo humo kuona wapi wafanye kazi. Huu ni upigaji wa Hela za walipa Kodi! Washauri wa mheshimiwa mwambieni hii sio sawa! Nini kinachoogopesha kutoifuata rasimu ya Warioba ambayo imechukua maoni nchi mzima na Kwa weledi na yeye mwenyewe akiwa mojawapo.
 
Duh!! Sasa John John Mnyika amekuwa CAG anafanya value-for-money audit? Leo anakishambuliaje KK huku CHADEMA walikataa kujiunga nacho wala kutoa maoni? Na anasifia Tume ya Warioba, why, si CHADEMA walitoka nje na kina mariasarungi? Manati ni pale anapotaka Bunge hili tulikwepe, eti lilikuwa ni Uchafuzi, na huku anamtaka Rais aanzishe mchakato. What a collection of rats, to be sure!
 
Mama naona anaweza kutumia Imani yetu kwake na kutibia pesa nyingi sana kuliko zile 2.4T za jpm.
 
Mnyika ameongeza kuwa maoni ya wananchi kuhusu Katiba yalikusanywa na Tume ya Warioba, hivyo hakukuwa na haja ya kuundwa kwa Kikosi Kazi zaidi ya kurudi kwenye kitabu cha Maoni ya Mananchi kilichoandaliwa na Tume ya Jaji Warioba
Mtu yeyote anayekwepa ukweli huu atakuwa mnafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…