CHADEMA: Kikosi Kazi kiliundwa ili kuchelewesha mchakato wa Katiba Mpya

CHADEMA: Kikosi Kazi kiliundwa ili kuchelewesha mchakato wa Katiba Mpya

Yaani hiyo ripoti ya mkandala wewe hujaisikiliza?ukaenda kusikiliza tafsiri ya ripoti Kwa katibu mkuu wa chama cha siasa ..cha upinzani akatafsiri Kwa mujibu wa alivyoelewa yeye na wewe ukafikia conclusion?..


Mbona hapa alie rubbish ni wewe sasa?..

Hujui kuwa Mnyika kwake ajenda kuu ni kuitoa CCM?na wa sio katiba mpya yenye manufaa Kwa kila mtu?..
Unamsikiliza Mnyika kuelewa Jambo ulilotakiwa kuelewa bila kutafsiriwa. A wanasiasa wenye agenda?
 
Kunywa maji kwanza mkuu.
Yaani hawa ndugu zetu kila kitu wanakipa bad name, sasa hata kama watakuwa na substance nobody will be ready to listen to...Kila mtu rubbish, what is that bin where rubbish is being thrown in?
 
Yaani hiyo ripoti ya mkandala wewe hujaisikiliza?ukaenda kusikiliza tafsiri ya ripoti Kwa katibu mkuu wa chama cha siasa ..cha upinzani akatafsiri Kwa mujibu wa alivyoelewa yeye na wewe ukafikia conclusion?..


Mbona hapa alie rubbish ni wewe sasa?..

Hujui kuwa Mnyika kwake ajenda kuu ni kuitoa CCM?na wa sio katiba mpya yenye manufaa Kwa kila mtu?..
Unamsikiliza Mnyika kuelewa Jambo ulilotakiwa kuelewa bila kutafsiriwa. A wanasiasa wenye agenda?
Bila wanasiasa kuwa na interests na dola na ushindani ulio sawa.. hayo maendeleo bunafsi mtaendelea kusimuliana mkisafiri tu
 
ilikua mwaka 2017 , huyu jamaa alitoa speech flani pale kwa residence yake UD, kipindi icho bado ni Vice

aisee, nilimshangaa sana, akiwa-himiza wale PhD holders waje na 'research za mwisho' hata za kuunga unga ili wapate 'fedha' watajirike, speech nzima aliongelea kuhusu 'fedha'

jamaa ana akili za kitoto sana, hii ikanipa picha hawa ma-Prof wote walio Tz jinsi akili zao zilivyo/zinavyofikiria, Profs wa michongo,

kama ni u-rubbish ameanza kitambo sana
 
Baada ya kusikiliza press conference ya Katiibu Miuu Chadema Hon. John Mnyika, nimeconclude kuwa ripoti ya the so called Prof Mkandara Ni another Professorial rubbish output of the year 2022.

Mungu wa mbinguni tuepushe na Rubbish Professors with their Professorial rubbish outputs.maana wanaongezeka kila uchao.
Tuwekee mkeka wake ili na sisi tuone kilichomo.
 
Baada ya kusikiliza press conference ya Katiibu Miuu Chadema Hon. John Mnyika, nimeconclude kuwa ripoti ya the so called Prof Mkandara Ni another Professorial rubbish output of the year 2022.

Mungu wa mbinguni tuepushe na Rubbish Professors with their Professorial rubbish outputs.maana wanaongezeka kila uchao.
Yaani wewe mwenyewe huna uwezo wa kuona "professional rubbish" mpaka umsikilize mtu mwingine kwanza. Kwa hiyo John Mnyika angesema ripoti hiyo ni "professional gold" basi na wewe ungr"conclude" hivyo. You seem to be a blind follower.
 
Back
Top Bottom