Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hao Ndio wanatumbocrasia was Karne hii🥱CCM hawawezi kukubali kirahisi mabadiliko ya kikatiba yatayohatarisha uwepo wao madarakani.
Yaani hawa ndugu zetu kila kitu wanakipa bad name, sasa hata kama watakuwa na substance nobody will be ready to listen to...Kila mtu rubbish, what is that bin where rubbish is being thrown in?Kunywa maji kwanza mkuu.
Bila wanasiasa kuwa na interests na dola na ushindani ulio sawa.. hayo maendeleo bunafsi mtaendelea kusimuliana mkisafiri tuYaani hiyo ripoti ya mkandala wewe hujaisikiliza?ukaenda kusikiliza tafsiri ya ripoti Kwa katibu mkuu wa chama cha siasa ..cha upinzani akatafsiri Kwa mujibu wa alivyoelewa yeye na wewe ukafikia conclusion?..
Mbona hapa alie rubbish ni wewe sasa?..
Hujui kuwa Mnyika kwake ajenda kuu ni kuitoa CCM?na wa sio katiba mpya yenye manufaa Kwa kila mtu?..
Unamsikiliza Mnyika kuelewa Jambo ulilotakiwa kuelewa bila kutafsiriwa. A wanasiasa wenye agenda?
PhD ya MchongoNchi imejaa wanafiki waliopata degree, masters na PhD kwa kukariri madesa.
Na huo ndio ukweli !!CCM hawawezi kukubali kirahisi mabadiliko ya kikatiba yatayohatarisha uwepo wao madarakani.
Tuwekee mkeka wake ili na sisi tuone kilichomo.Baada ya kusikiliza press conference ya Katiibu Miuu Chadema Hon. John Mnyika, nimeconclude kuwa ripoti ya the so called Prof Mkandara Ni another Professorial rubbish output of the year 2022.
Mungu wa mbinguni tuepushe na Rubbish Professors with their Professorial rubbish outputs.maana wanaongezeka kila uchao.
Yaani wewe mwenyewe huna uwezo wa kuona "professional rubbish" mpaka umsikilize mtu mwingine kwanza. Kwa hiyo John Mnyika angesema ripoti hiyo ni "professional gold" basi na wewe ungr"conclude" hivyo. You seem to be a blind follower.Baada ya kusikiliza press conference ya Katiibu Miuu Chadema Hon. John Mnyika, nimeconclude kuwa ripoti ya the so called Prof Mkandara Ni another Professorial rubbish output of the year 2022.
Mungu wa mbinguni tuepushe na Rubbish Professors with their Professorial rubbish outputs.maana wanaongezeka kila uchao.
Game saa ngap mkuu?Nawasubiri Makolo hapo Lupaso
11 Juu ya alamaGame saa ngap mkuu?
Bila kutumia nguvu ya umma hawatabadilikaCCM hawawezi kukubali kirahisi mabadiliko ya kikatiba yatayohatarisha uwepo wao madarakani.
Nimekusikia, nitakuja kwako laterKunywa maji kwanza mkuu.
🍴🍽️👈🏿 Au Umma upi?nguvu ya umma
umemaliza kazi!Tusubiri mwaka uishe,huenda hii ikazidiwa na rubish nyingine ya funga mwaka
wa Chadema!🍴🍽️👈🏿 Au Umma upi?