Pre GE2025 CHADEMA kimekosa mvuto kwa Wananchi masikini kushinda uchaguzi 2024 na 2025

Pre GE2025 CHADEMA kimekosa mvuto kwa Wananchi masikini kushinda uchaguzi 2024 na 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
Garbage AKA Gabeji in Gabeji out.
 
Utumbo mtupu! Katafute mvuto kwenye familia yako!
Chadema kimebaki na wapumbavu kama huyu...awapendi tena kusikia ukweli ni dalili.kamili ya chama mfu
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
Umetambua kwa nini uzi wa asubuhi saa moja una wachangiaji 11?Haujui hali halisi za Watanzania kiuchumi na wanayoyapitia.Siku nyingine ni vema ukatuliza kiuno chako na kuacha kupapatikia ujingaujinga.
 
Nimeishi Mkoa wa pwani kwa zaidi ya miaka mitano (5) sijawai ona kitu kinaitwa Chadema, zaidi zaidi ni historia ya watu wa mikoani waliofika na kushawishi then walipoteaa..

CHADEMA wanakazi kubwa ya kurejesha itikadi na imani kwa wanachi..
Mfano: Mh Tundu Lixu akiwa anazungumza kwenye hadhara hana jipya, zaidi huzungumzia alivyopigwa risasi tu... still anamzungumizia mwendazake ambae saivi kapumzika mbele za haki.. But

Yapo mengi ya kukusoa serikali Mfano: Watanzania wengi ni wafanya biashara na wakulima , kwenye Biashara kinacho tuumiza wengi ni Kodi.
Kodi zimezidii, maafisa TRA wanajisifia kwa kukusanya kodi kila kukicha na wengine wanapeana Tuzo 😄. Bila kujua tunaumia sana Watanzania wachini, Kunabiashara nilipata hasara lkn bado nilishikiliwa kodi hadii kooni..

Kwenye maandamano ya Kodi Mwaka jana pale kariakoo, sikusikia chama pinzani kimetumia mwanya kuhamasisha wanachi kusimama kidete Kwenye Kodi.. Vyama pinzani Huwa wanapiga porojo za kisiasa tu.

Nawengine wanamshukuru Mh na kutoa sifa kedekede, nawengine walishona sare zikiwa na picha ya Mh Xa100. Hatukatai kushukuru ila mmnavuka mipaka,

Kwenye zoezi la uandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa pwani, Mawakala wa CHADEMA sijui walikuwa wapii? Binafsi sikuwaona

Mjitafakari
 
Labda niwakunbushe tu mwandishi anaitwa Gabeji ( not sure maana yake ni takataka au kabeji chakula )
 
Chadema kimebaki na wapumbavu kama huyu...awapendi tena kusikia ukweli ni dalili.kamili ya chama mfu
Usingekuwa mpumbavu ungejitoa kuwa mbwa mpumbavu!
 
Nimeishi Mkoa wa pwani kwa zaidi ya miaka mitano (5) sijawai ona kitu kinaitwa Chadema, zaidi zaidi ni historia ya watu wa mikoani waliofika na kushawishi then walipoteaa..

CHADEMA wanakazi kubwa ya kurejesha itikadi na imani kwa wanachi..
Mfano: Mh Tundu Lixu akiwa anazungumza kwenye hadhara hana jipya, zaidi huzungumzia alivyopigwa risasi tu... still anamzungumizia mwendazake ambae saivi kapumzika mbele za haki.. But

Yapo mengi ya kukusoa serikali Mfano: Watanzania wengi ni wafanya biashara na wakulima , kwenye Biashara kinacho tuumiza wengi ni Kodi.
Kodi zimezidii, maafisa TRA wanajisifia kwa kukusanya kodi kila kukicha na wengine wanapeana Tuzo 😄. Bila kujua tunaumia sana Watanzania wachini, Kunabiashara nilipata hasara lkn bado nilishikiliwa kodi hadii kooni..

Kwenye maandamano ya Kodi Mwaka jana pale kariakoo, sikusikia chama pinzani kimetumia mwanya kuhamasisha wanachi kusimama kidete Kwenye Kodi.. Vyama pinzani Huwa wanapiga porojo za kisiasa tu.

Nawengine wanamshukuru Mh na kutoa sifa kedekede, nawengine walishona sare zikiwa na picha ya Mh Xa100. Hatukatai kushukuru ila mmnavuka mipaka,

Kwenye zoezi la uandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa pwani, Mawakala wa CHADEMA sijui walikuwa wapii? Binafsi sikuwaona

Mjitafakari
Chawa kama wewe huwezi kuona uchafu kwani ndiyo maisha yako!
 
Kwahiyo aliowafanya wananchi kuwa maskini ni chadema!!?

Halafu kwanini umaskini ni sifa ya kwetu ccm kuchaguliwa!!?

Siku JWTZ IKIZINDUKA KWENYE USINGIZI WA PONO NA KUFANYA MAPINDUZI NITAWASAIDIA KWA KUWAPA WALAU SODA TANO ZA FANTA!!

CHAMA CHETU KIMEKUA CHA AJABU SANA!

ETI UMASKINI NI SIFA YA KUCHAGULIWA NA KUSHIKA DOLA!
 
Ww chama gani, Toa maoni yako
Mimi ni Mtanzania ninayehitaji ushindani wa haki na huru wa vyama vya siasa. Nakemea vikali kudhalilisha vyama vya upinzani ambavyo vipo kisheria!
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
✌🏽✌🏽✌🏽💥💥 2025 ndyo utajua kwann ya uchaguz mkuu wanagu lile dude hata kama ulikuwa unampango wakwenda kupga kura ukisikia tu chadema! Chadema! Chadema! Pps powers iiiiiii dai hak yako mtanzania ..... aiseee wacha kabsaaa 😭😭😭 forever live long life chadema! Long life chadema! Long life chadema your my destiny in our Nation I❤️✌🏽
 
✌🏽✌🏽✌🏽💥💥 2025 ndyo utajua kwann ya uchaguz mkuu wanagu lile dude hata kama ulikuwa unampango wakwenda kupga kura ukisikia tu chadema! Chadema! Chadema! Pps powers iiiiiii dai hak yako mtanzania ..... aiseee wacha kabsaaa 😭😭😭 forever live long life chadema! Long life chadema! Long life chadema your my destiny in our Nation I❤️✌🏽
Huo wimbo ukingekuwa unaimbiwa mpaka kijijni ,ingekuwa people's power halisi,
 
Mimi ni Mtanzania ninayehitaji ushindani wa haki na huru wa vyama vya siasa. Nakemea vikali kudhalilisha vyama vya upinzani ambavyo vipo kisheria!
Mtu anapo washauli anadhilisha CHAMA, nioneshe nilipofanya hivyo mkuu,
 
Kwahiyo aliowafanya wananchi kuwa maskini ni chadema!!?

Halafu kwanini umaskini ni sifa ya kwetu ccm kuchaguliwa!!?

Siku JWTZ IKIZINDUKA KWENYE USINGIZI WA PONO NA KUFANYA MAPINDUZI NITAWASAIDIA KWA KUWAPA WALAU SODA TANO ZA FANTA!!

CHAMA CHETU KIMEKUA CHA AJABU SANA!

ETI UMASKINI NI SIFA YA KUCHAGULIWA NA KUSHIKA DOLA!
Umelewa vibaya mkuu ,soma vizuri, wanainchi hataki kuona gape kubwa sana Kati yao na viongozi, wao kuwepo angalau, ubinafsi kutoka vyama vyote ndio unaotafuna taifa letu
 
Nimeishi Mkoa wa pwani kwa zaidi ya miaka mitano (5) sijawai ona kitu kinaitwa Chadema, zaidi zaidi ni historia ya watu wa mikoani waliofika na kushawishi then walipoteaa..

CHADEMA wanakazi kubwa ya kurejesha itikadi na imani kwa wanachi..
Mfano: Mh Tundu Lixu akiwa anazungumza kwenye hadhara hana jipya, zaidi huzungumzia alivyopigwa risasi tu... still anamzungumizia mwendazake ambae saivi kapumzika mbele za haki.. But

Yapo mengi ya kukusoa serikali Mfano: Watanzania wengi ni wafanya biashara na wakulima , kwenye Biashara kinacho tuumiza wengi ni Kodi.
Kodi zimezidii, maafisa TRA wanajisifia kwa kukusanya kodi kila kukicha na wengine wanapeana Tuzo 😄. Bila kujua tunaumia sana Watanzania wachini, Kunabiashara nilipata hasara lkn bado nilishikiliwa kodi hadii kooni..

Kwenye maandamano ya Kodi Mwaka jana pale kariakoo, sikusikia chama pinzani kimetumia mwanya kuhamasisha wanachi kusimama kidete Kwenye Kodi.. Vyama pinzani Huwa wanapiga porojo za kisiasa tu.

Nawengine wanamshukuru Mh na kutoa sifa kedekede, nawengine walishona sare zikiwa na picha ya Mh Xa100. Hatukatai kushukuru ila mmnavuka mipaka,

Kwenye zoezi la uandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa pwani, Mawakala wa CHADEMA sijui walikuwa wapii? Binafsi sikuwaona

Mjitafakari
Chadema huwa hataki kusikia ukweli mkuu kabisa, ukiona watu wanawashauli mjue watu wanataka mabadiliko ndani ya inchi, kuwepo na ushindani mkubwa, kwa mfano huku MOROGORO SIJAWAI SIKIA chadema, karibuni wilaya zote,angalau mikumi.
 
Umetambua kwa nini uzi wa asubuhi saa moja una wachangiaji 11?Haujui hali halisi za Watanzania kiuchumi na wanayoyapitia.Siku nyingine ni vema ukatuliza kiuno chako na kuacha kupapatikia ujingaujinga.
Mm sipo kuangalia wachangiaje mkuu, lengo la uzi nikufikisha ujembe,kama ww ulivyo pata.
 
Back
Top Bottom