Pre GE2025 CHADEMA kimekosa mvuto kwa Wananchi masikini kushinda uchaguzi 2024 na 2025

Pre GE2025 CHADEMA kimekosa mvuto kwa Wananchi masikini kushinda uchaguzi 2024 na 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siipendi CCm kwasababu ndio madereva waliotuendesha tangu miaka hiyo hadi leo ambapo tunashangilia eti ujenzi wa zahanati na choo na huku tunasema mama samia ndie anaetoa pesa....ila tukija kwenye upande wa upinzani nako hakueleweki kabisa kiasi kwamba chadema imekosa mvuto kabisa
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.
Ni mpumbavu tu kama mleta mada huyu anayeweza kuandika upupu kama huu akijua fika CCM wameweka mazingira ya kishenzi. Huu sio uchaguzi bali ni upumbavu wa hali ya juu
 
Ni mpumbavu tu kama mleta mada huyu anayeweza kuandika upupu kama huu akijua fika CCM wameweka mazingira ya kishenzi. Huu sio uchaguzi bali ni upumbavu wa hali ya juu
Ni sahhi ,kama ccm wametengeneza mazingira ya figisu, CHAdema kimefanya nn? So what? Je watabaki kulaumu, au kulia lia, alafu wanainchi wafanye nn? ,Chadema watoe elimu ya kujitambua kwa wanainchi ,who is an enemy for Tanzania? Badala kulia kulia, na kulaumu.elimu elimu elimu.
 
Siipendi CCm kwasababu ndio madereva waliotuendesha tangu miaka hiyo hadi leo ambapo tunashangilia eti ujenzi wa zahanati na choo na huku tunasema mama samia ndie anaetoa pesa....ila tukija kwenye upande wa upinzani nako hakueleweki kabisa kiasi kwamba chadema imekosa mvuto kabisa
Kabisa mkuu, miaka 20 ya CHAMA kikuu,cha upinzani, bila ajenda, bila focus, bila itikadi. Bila elimu ya kiraia Sawa na bure
 
Kabisa mkuu, miaka 20 ya CHAMA kikuu,cha upinzani, bila ajenda, bila focus, bila itikadi. Bila elimu ya kiraia Sawa na bure
Mpumbavu kamwe hawezi kubadili mawazo yake! Kama kweli una akili timamu ni kweli kuwa Chadema iko mikoa mitano tu? Ujinga huo!

Kwamba wafanye mikutano yao ya ndani vichochoroni? Upumbavu wako mwingine huu!

Kwamba wabadilishe viongozi kama boxer yako? Ushenzi wako mwingine huu!

Kwamba viongozi waishi kifukara na uwezo wanao? Mnafiki mshenzi wewe?

Kwa kifupi wewe ni juha mnafiki!
 
Mpumbavu kamwe hawezi kubadili mawazo yake! Kama kweli una akili timamu ni kweli kuwa Chadema iko mikoa mitano tu? Ujinga huo!

Kwamba wafanye mikutano yao ya ndani vichochoroni? Upumbavu wako mwingine huu!

Kwamba wabadilishe viongozi kama boxer yako? Ushenzi wako mwingine huu!

Kwamba viongozi waishi kifukara na uwezo wanao? Mnafiki mshenzi wewe?

Kwa kifupi wewe ni juha mnafiki!
Asante sana
 
Nimeishi Mkoa wa pwani kwa zaidi ya miaka mitano (5) sijawai ona kitu kinaitwa Chadema, zaidi zaidi ni historia ya watu wa mikoani waliofika na kushawishi then walipoteaa..

CHADEMA wanakazi kubwa ya kurejesha itikadi na imani kwa wanachi..
Mfano: Mh Tundu Lixu akiwa anazungumza kwenye hadhara hana jipya, zaidi huzungumzia alivyopigwa risasi tu... still anamzungumizia mwendazake ambae saivi kapumzika mbele za haki.. But

Yapo mengi ya kukusoa serikali Mfano: Watanzania wengi ni wafanya biashara na wakulima , kwenye Biashara kinacho tuumiza wengi ni Kodi.
Kodi zimezidii, maafisa TRA wanajisifia kwa kukusanya kodi kila kukicha na wengine wanapeana Tuzo 😄. Bila kujua tunaumia sana Watanzania wachini, Kunabiashara nilipata hasara lkn bado nilishikiliwa kodi hadii kooni..

Kwenye maandamano ya Kodi Mwaka jana pale kariakoo, sikusikia chama pinzani kimetumia mwanya kuhamasisha wanachi kusimama kidete Kwenye Kodi.. Vyama pinzani Huwa wanapiga porojo za kisiasa tu.

Nawengine wanamshukuru Mh na kutoa sifa kedekede, nawengine walishona sare zikiwa na picha ya Mh Xa100. Hatukatai kushukuru ila mmnavuka mipaka,

Kwenye zoezi la uandikishaji wa uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mkoa wa pwani, Mawakala wa CHADEMA sijui walikuwa wapii? Binafsi sikuwaona

Mjitafakari
Nyie wananchi mnaoumizwa na kodi hamuwezi kujitetea hadi mtetewe na chama cha siasa? Au nyie ni maiti hai, mnasubiri kutetewa tu? Inabidi mjitafakari kwakweli.
 
Nyie wananchi mnaoumizwa na kodi hamuwezi kujitetea hadi mtetewe na chama cha siasa? Au nyie ni maiti hai, mnasubiri kutetewa tu? Inabidi mjitafakari kwakweli.
Ndio maana kukawepo na vyama vya siasa I'li viogonizi wanainchi kwa ajili ya kupigania haki, vinginevyo utaitwa kibaka
 
Ndio maana kukawepo na vyama vya siasa I'li viogonizi wanainchi kwa ajili ya kupigania haki, vinginevyo utaitwa kibaka
Ingekuwa vyama vya siasa ndio pekee vyenye wajibu wa kusemea wananchi, kungekuwa na sheria ya kulazimisha kila mwananchi lazima awe mwanachama wa chama kimojawapo.
 
Ingekuwa vyama vya siasa ndio pekee vyenye wajibu wa kusemea wananchi, kungekuwa na sheria ya kulazimisha kila mwananchi lazima awe mwanachama wa chama kimojawapo.
Ndio maana sheria ya mgombea binafsi ni muhimu sana, unakujua kwann,maana yake hao wanasiasa ccm wanaogopa kukosa wanachama.
 
Ingekuwa vyama vya siasa ndio pekee vyenye wajibu wa kusemea wananchi, kungekuwa na sheria ya kulazimisha kila mwananchi lazima awe mwanachama wa chama kimojawapo.
Elimu ni Muhimu sana
 
Chadema haijakosa mvuto na wala haitokuja kukosa mvuto ila ni watu wamechoshwa na freeman Mbowe

Kuna wananchi kukosa imani na Mbowe na siasa za mbowe
Ni tofauti na wanachi kukusa imani na mvuto na chadema

# Mbowe must go
 
CCM hamna chama humo, kwa sasa ni mkusanyiko wa wahuni wanaojaribu kila kukicha kuvuruga demokrasia katika Taifa letu - mfano hai ni namna wanavyovuruga huu uchaguzi serikali za mitaa wakiwatumia Tamisemi..yaani ni aibu tupu.

Hii ni ishara tosha kwamba hawa jamaa hawakubaliki.
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
MASKINI si walikuwa watu wa JIWE?
WAMEMUHAMA ?
 
ulevi wa waandamizi, ujuaji mwingi na kulalamika tu bila kua na mipango mikakati mbadala, ukata wa fedha, kutegemea hisia na huruma za wananchi kujiendesha ndiko kuimeifikisha chadema hapo ilipo..

haiaminiki tena, haikubaliki tena na wala haina ushawishi kabisa ndani ya jamii.

kutegemea ramli chonganishi, ushirikiana na kutoana kafara hakutawasaidia chochote, zaidi ya kumalizama tu wenyewe kwa wenyewe 🐒
Ukweli usiopingika mkuu..
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
Kitendo Cha kutambua uwepo wa watu wa hali ya chini ni ishara kwamba Chama chetu kimeshindwa kuiongoza Tanzania..
Tangu 5-2-1977 hadi leo bado Kuna masikini wa kutupwa,halafu unasema ni mtaji wa Chadema,swali,ni nani aliyezalisha Hawa masikini?
Nembo ya Chama changu Cha mapinduzi kina alama ya jembe na nyundo,maana ya jembe ni mkulima na nyundo ni mfanyakazi...hivyo hadi leo Nov 2024 tulitakiwa tuwe na matabaka mawili i.e tabaka la wakulima na la wafanyakazi,swali Je CCM imeweza kutengeneza mataba hayo? Sasa Kuna tabaka hadi la uchawa...hili limetoka wapi?
Kimsingi,ulichokiandika ni UHARO mtupu,samahani kwa kutumia hilo neno lakini kwa ulichokiandika Sidhani kama kina mbadala wa hilo neno.
 
Mh. Freeman Mbowe na John nyika wanasalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania! Bila shaka wote ni wazima wa afya njema.

Poleni na changamoto za kisiasa mnazokumbana nazo, kwa ajili ya kuwa tetetea na kuwapigiania watanzania wote.

Leo napenda kushare na nyie maabdhi ya mambo juu ya siasa zenu zidi ya ccm. Kwanza kabisa kwa maoni yangu mimi mwinjilist Gabeji naona kwa jicho tatu mmepoteza ushawishi na mvuto kutoka kwa wanainchi wa Tanzania hasa hawa masikini na wa chini kabisa ambao ndio mtaji wenu mkubwa juu ya ungwaji mkono, kwa sababu hawa ndio wengi na ndio wapiga kura wenu.

Kwanini mmepoteza ushawishi na mvuto?

1. Viongozi nyie wa juu mmeshindwa kujenga itikadi na imani yenu kwa wanainchi. Imani na itikadi ndio MSINGI mkuu wa "people's power" angalia mfano wa mandamano ya silanka mwaka juzi, ile ndio inaitwa people's power" kwa nini mmeshindwa ni kwa sababu hamtoi elimu elimu elimu elimu elimu ya kutosha juu ya misingi ya itikadi, imani na sela zenu kwa wanainchi wa chini kabisa,ikakaa mioyoni mwao sio kwa nadhalia bali kwa vitendo halisi.

Kwa mfano wanainchi wa chini wanaishi maisha ya kimasikini nyie mnaishi maisha ya kifahali kupitia fedha za wanainchi hao hao ,mnatebelea magari,ya bei kubwa sana, majumba mnaishi ya kifahali kubwa, mnalala kwenye mahoteli makubwa sana,ya nyota tano,

Mnafanya mikutano yenu kwenye mikumbi ya kifahali, ya nyota tano, mnatembelea chopa, maisha yenu kiufupi ni ya kifahali mnataka kufanana na maisha wanayoishi viongozi wa ccm CHAMA tawala.

Kiujumla wanachofanya ccm kuvuja mali za uma na nyie mnafanya. Kwa matiki hiyo ni ngumu sana tena sana kwa mwanainchi mwenyewe akili timamu kuwaunga mkono juu ya mamuzi ya jambo lolote lile.

Ndio maana mandamano sio people's power, kupiga kura sio people's power, kwa sababu mnachokihubili na kukosoa nyie hamkifanyi,( betrayal in the city) (hapocracy).

Nini kifanyanyike basi?
Kama kweli MKO siriasi kutaka kushinda uchanguzi na kuingia ikuru sio 2025 mchelewa sana,mjipange upya kwa ajili ya uchaguzi wa 2029 na 2030. Fanyeni haya kinyume na ccm kwa matendo na sio maneno.

1. Viongozi wote kuanzia juu mpaka chini muishi maisha ya kawaida sana tena sana hata kama mnauwezo wa kuishi maisha ya juu. Kuanzia magari yenu, nk, I'li kupata ungwaji mkono kwa wanainchi wa chini kabisa, hiyo ndio "people's power" you do what you preach, by any means.

2. Toeni elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu elimu juu ya uzalendo wa taifa letu, "do vise versa to your opponents" kwa mfano kama ccm ni mafisadi wa mali za uma, nyie nyie mnasimamia taifa kwanza, uzalendo kwanza.

3. Mjipange kisaikolojia kushinda uchaguzi wa serikali za mitaa 2029 na uchaguzi mkuu 2030, mwandae mikakati kuanzia chini vijijini huko, kuwe na misingi ya imani na itikadi ",the taller of building the deeper foundation".
Chadema ipo mikoa isiyozidi mitano tena ni mjini tu, kilimanjaro, arusha, mbeya dar es salaam, iringa na songwe kidogo sana, mjini tu.

4. Muwe na ajenda zenu thabiti endelevi. Na sio kuafuata matukio ya kila siku, ajenda hizi ziendae sambamba na sera zenu itikadi zenu na imani ziwafikie wanainchi wa huko ndani kabisa nambizo mbozi, ilolo iringa, misingwi, mtwala ndani huko uwe uwimbo wa kwa wanainchi kila mtu aimbe juu ya sera zenu.

5. Changa viongozi wa makabila mbalilmbali kila kona ya inchi hii,
Muwe na utaratibu wa kuandaa viongozi,hizo pesa za vikao, mavi8, chopa, mahoteli nyota tano, wapelkeni vijana kusoma inchi mbalilmbali juu ya itikadi, na sera zenu.

Sio kila mwaka Lema, Sugu, James, Mbowe, Mwakajoka, Mbowe, Lissu, Wenje, Heche, Pambalu, John Mnyika,. nk, kila mwaka hao hao, badilisheni ladha ya viongozi, ndio maana kosa" people's power" NB Katiba , tume huru ,polisi, tiss, hivyo vyote havin nguvu mbele ya people's power ya kweli kutoka kwa wanainchi. Nafanya haya yote kwa ajili ya masilai mapana ya taifa letu pendwa Tanzania.

Ninayo mengi sana ya kuwashauri ila kwa leo ngoja niishie hapa . Asanteni sana by mwinjilist Gabeji.
Lakini bado hamjiamini kwenye uchaguzi huru na haki na kua na mvuto mda wote.
 
I
Chadema haijakosa mvuto na wala haitokuja kukosa mvuto ila ni watu wamechoshwa na freeman Mbowe

Kuna wananchi kukosa imani na Mbowe na siasa za mbowe
Ni tofauti na wanachi kukusa imani na mvuto na chadema

# Mbowe must go
Unatenganisha vp chadema na mbowe
 
Back
Top Bottom