LGE2024 Chadema kitashinda uchaguzi wa mitaa? Lissu anatumia muda mwingi akiponda raha Belgium, hajishughulishi na lolote

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nadhani chama kimekata tamaa, kimegawanyika. Nadhani sasa vyama vingine vizibe ombwe hili. Wenzetu wakija kuchochea vurugu, uharibifu wa amani, wana pa kukimbilia, kwa wajomba zao Canada na Ulaya, sisi kwetu ni hapahapa, tupatunze
Your browser is not able to display this video.
 
Nimeacha siasa lkn sijaacha kuandika siasa.
Acha ujinga na utoto na kujidhihilisha tu hapa.au ulifikiri kuna wakukubembeleza? Acha hata sasa uone kama mambo yatakwama.zaidi wewe ndio utakufa kwa msongo wa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…