ACT haina ubavu huo! weka kwenye kumbukumbu yako haya maandishi!hii ni ajenda ya zitto na ACT yake!
tafuteni ajenda yenu mlikua bize na ukuta mkasahau mambo ya msingi kama haya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACT haina ubavu huo! weka kwenye kumbukumbu yako haya maandishi!hii ni ajenda ya zitto na ACT yake!
tafuteni ajenda yenu mlikua bize na ukuta mkasahau mambo ya msingi kama haya!
Lowasa aliikataa katiba na mkampa uongozi.....hapo ukawa ndio ukaenda mramaUnajua maana ya UKAWA na ilianza lini.
Muasisi wake ni Lipumba.Sawa tu ilimradi lina maslahi kwa taifa.Ila ikumbukwe hili vuguvigu lina waasisi wake ambao ni UKAWA hata kabla ya ACT.
Acha propaganda, katiba ya Chenge ndio katiba pendekezwa, huyo Mashinji ni mzigo kama hajui hata info za muhimu kama hizi.Ile ya chenge ilikiwa ni yawananchi? Jiongeze
Lowasa aliikataaKwenye katiba mpya ile ya Warioba tutaandamana pamoja kuidai.
Ukawa bila Cuf haiwez survive!Unajua maana ya UKAWA na ilianza lini.
Kwani mumeo [emoji90] [emoji216] hajakwambia?duh, kusema hvyo hata mm naweza! UKUTA lini?
Maana ulikuwepo wakati anapigaLowasa aliikataa rasimu ya katiba....alipiga kura ya hapana
Wewe ndio mwenyekiti niniUkawa bila Cuf haiwez survive!
na haipo mpaka sasa
Mwenyekiti kwan humjui?Wewe ndio mwenyekiti nini
Unajitia uandazimu sasa.Maana ulikuwepo wakati anapiga
Wakati kakimbilia Rwanda UKAWA ilikufa?Mwenyekiti kwan humjui?
na hakubalian na kitu kinachoitwa Ukawa kwa sasa
Sasa ye ndio mwenyekiti Chadema haina uwezo wa kumwendesha profesa!Wakati kakimbilia Rwanda UKAWA ilikufa?
Tuliongeza majimbo bila Lipumba,
Tumeshinda umeya bila Lipumba, in short kuwa na Lipumba ni hasara.
Jitafakari kisha ujiongeze kidogoUnajitia uandazimu sasa.
CHADEMA?! Mchakato wa katiba mpya!Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kinaanza mchakato wa kudai katiba mpya katiba pendekezwa ya wananchi kwani ndio suluhu ya mambo yote yanayoendelea na figisufigisu zilizoendelea huko nyuma hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa CHADEMA huko Mkuranga Pwani kwenye Harambe ya Ujenzi wa ofisi ya CHADEMA.
Katibu Mkuu Dkt. Mashinji kwa niaba ya ofisi yake amechangia sh. 3,000,000 (milioni 3) cash kuchangia ujenzi wa ofisi ya Chadema wilaya ya Mkuranga.
Jumla ya ahadi ya fedha katika harambee ya kuchangia ofisi ya Chadema wilaya ya Mkuranga ni Tsh. 9,900,000
Pesa Taslim (Cash) 4,700,000