CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Wanabodi,
Baadhi ya mabandiko yangu sio mabandiko ya average mind ni mabandiko ya deep thinkers, moja ya mabandiko hayo ni Bandiko hili Ushauri wa Bure: Ukijikwaa ukaanguka, usiangalie tu pale ulipoangukia, bali angalia pale ulipojikwaa

Maadam Mahakama Kuu imetupilia mbali kesi ya kina Mdee, hiki nilicho andika kwenye bandiko hili, sasa ndio kinakwenda kutokea!. It will be very devastating and disturbing!.

Wale ambao sio average mind, wana uwezo to connect the dots, baada ya Chadema kumtimua Zitto kwa dhulma, there are bad things that happed to Chadema na wahusika wa kadhia ya Zitto, but no one connected the dots and linked the consequences, hivyo sasa baada ya Chadema kuwatimua hawa Wabunge 19, naombeni sasa watch closely what will happen to Chadema and the main players and connect the dots.

God forbids!.
P.
 
Angalia mkuu usijikute una halalisha kila uovu utakaoelekezwa kwa Cdm kwa ku-uhusisha na 'karma'.
zitto junior Tindo JokaKuu
 
Mayala ungependa Cdm ilee uvunjifu wa uadilifu chamani ?!

Kitakuwa chama ambacho kila mtu anajiamulia !!. Hujihoji mahabusu alitokaJe usiku kuwahi kiapo asubuhi ?!

Unanivunja moyo
 
Ramli zimekosa wasikilizaji. Cdm ya baada ya zlZitto ni imara kuliko ya kabla ya Zitto. Ndivyo itakavyokuwa pia kwa covid 19
 
Mkuu karma ni natural huwezi husisha Lissu kupingwa risasi au Mbowe kuporwa mashamba eti karma ya Zitto!! Mbona zitto huyo huyo alifiwa na mama yake mara tu baada ya kutimuliwa CHADEMA ila hamkusema ni karma? Vp zitto kuanguka uchaguzi wa 2015 kwa kuambulia kura laki 1 nchi nzima?? Vipi alikimbiwa na Kamati kuu karibu yote kuanzia kitila mpaka mghwira nayo sio karma??

Tuache subjective analysis!! The winner of this saga was Mbowe and Lissu tena kwa sasa Wana working relationship na CCM tegemea Mdee kufutika au kupewa kesi ya uhujumu uchumi kwa kufoji sign!!!
 
Shame on you kubwa jinga
 
Mmmh...!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…