CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Wanabodi,

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.
P
 

December 2000 ndo hili andiko uliandika, 2 years baadae Kati yako na wewe nani reputation yake inapotelea?
 
Full pumba poti.
 
Wanabodi,

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo,
P
Good news Chadema wameuacha ujinga huu wa kutoyatambua matokeo, sasa wameyatambua matokeo not expressly but impliedly sasa wanapokea ruzuku ya wale wabunge 19.
Wanaukumbi.

CHADEMA sasa kupokea RUZUKU, chanzo chetu ndani ya CHADEMA kimetudokeza kwamba CHADEMA wanaendelea kupokea RUZUKU za serikali kwa vyama vya siasa.

RUZUKU wanazopokea CHADEMA sasa zinatokana na matokeo ya Uchaguzi wa 2020.
Hii ni habari Njema, nawapongeza Chadema kuupokea ushauri huu CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
 
Where did you get this information?

Where is the proof?

Unaweza kuweka hapa?
Sisi jf tuna tabia ya kuaminiana sisi kwa sisi, hivyo proof yangu ni taarifa hii ya mwana JF huyu CHADEMA kupokea ruzuku ya Shilingi milioni 102 kwa mwezi?

Ukiachia taarifa hiyo, sababu kuu ya Chadema kususia ruzuku ni kutoyatambua matokeo ya uchaguzi ule na kuuita uchafuzi, hivyo wakawa hawamtambui Samia na hawalitambui Bunge!. Japo Chadema hawajasema expressly kumtambua Samia, actions speaks lauder than words!, Chadema wanamtambua Samia, wanalitambua Bunge, na hii sii mara ya kwanza kwa Chadema kujidai kususa kuwa hawamtambui rais!, walimfanyia hivyo JK, walipoitwa Ikulu ni ... naomba nisimalizie... CHADEMA yakubali yaishe! yamtambua Rais, yampongeza Rais
P
 
Siku zinakwenda, mambo mengi yanabadilika, watanzania wanabadilika lakini hatari ni kwamba mifumo na miongozo ya vyama vingi vya siasa inabaki ileile ya kufanya mambo kwa mazoea.
Mkuu mama D , naunga mkono hoja, umeshauri jambo kubwa sana la msingi.
Naunga mkono hoja, they have to come with something new
Naunga mkono hoja, kahutubieni lakini jengeni local capacity ili hayo mnayohubiri yawe na muendelezo, sustainable, hivyo hata excuse ni umasikini wa chama, tugawane tuu hivyo hivyo huo umasikini, ruzuku ya Chadema ni zaidi ya TZS 100m monthy, then tugawane umasikini!.
Hii inaitwa SMART politics ni hoja zinazotekelezeka, with smart objectives.
Hakuna nchi nyepesi kuongoza na ngumu kuongoza kama Tanzania, ila kizuri na rahisi ni kwamba wepesi wa kuwaongoza watanzania unatokana na mahusiano ya kidugu mtakayokuwa mmeyajenga .
Hili neno!.
Msikurupuke mkawageza chama tawala CCM. Wenzangu hawa wana pa kusimamia tena sio padogo.... hawa wana cha kusemea sababu ndio wenye serikali na ndio watekelezaji wa mipango ya serikali.
Hili ni somo kubwa sana kwa wapinzani, CCM sio wenzao, CCM ndio wenye nchi na ukifika wakati wa uchaguzi, CCM wana cha kuonyesha, hili nililisema ile 2020 Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises? halafu huyu mtu mwenye empty promises asiye na chochote cha kuonyesha, anashindwa, anawahamasisha wafuasi wake kuwa alishinda akaibiwa ushindi!, hivyo hawakubali matokeo, hawamtambui rais, hawalitambui Bunge, hawapeleki majina ya viti maalum!. Mashujaa 19 wakagomea ujinga huu, majina yakapelekwa. Ikawa taabu!
Ingieni gharama kujenga vyama vyenu leo na baadae vyama hivi vitawajenga ninyi.
Ushauri huu niliwapa ile 2010 kwenye CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga! niliwashauri

Halafu msilalamike kwamba hamna pesa ya kufanya mambo ya msingi sababu hata hayati Mwalimu Nyerere na Karume hawakuwa na pesa lakini walieweza kujenga vyama imara vilivyowaondoa wakoloni na vinavyowasumbua wapinzani hadi leo
Hili neno!
Kama kweli mko kwaajili ya maendeleo ya taifa Amkeni ndugu zangu. Mkiendelea kufanya kilekile kinachowakoseshaga kila uchaguzi mtaendelea kukosa ushindi milele.
Hili neno!
Rais wetu na mwenyekiti wa chama tawala ameshawaambia msisubirie msisubirie 2025 anzeni sasa. Mkumbuke pia na yeye ameshaanza kutetea kiti

Upinzani kwa afya ya taifa💥

Mungu ibariki Tanzania😍🇹🇿🤝
Naunga mkono hoja, Chadema wana mtindo wa kupuuza ushauri!, labda sasa watakusikia na kuzingatia ushauri
Hongera sana kuwashauri wapinzani.
P
 
Update
Hatimaye Chadema wameacha kushupaza shingo na wamekubali matokeo!, kwa kuufuata ushauri wa bandiko hili CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Nimepokea taarifa, hii kutokea twitwani Kisha nikasoma na bandiko hili humu JF Tundu Lissu: CHADEMA tumeanza kupokea Ruzuku

Chadema wameufuata ushauri wa bandiko hili, waneacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo ya uchaguzi wa 2020!, sasa wameacha kushupaza shingo, wameyatambua matokeo kimya kimya!, wamewasamehe mashujaa hawa kimya kimya msamaha ambao utatangazwa rasmi siku ya Jumatano tarehe 8 Machi na Mwenyekiti wa Chadema, mbele ya Rais Samia!.

Iliwa kusemwa kuwa hakuna mkate mgumu wowote mbele ya chai!, tayari Chadema imeisha anza kupokea ruzuku hivyo sasa ita survive!. Na ile kesi ya kina Halima Mdee na wale 19 iliyopo mahakamani itafutwa!.

Hongera sana Chadema, for doing the right thing!, mtabarikiwa, viongozi wenu watabarikiwa, chama chenu kitabarikiwa na Tanzania Itabarikiwa!.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki CCM kwa kukubali reconciliation
Mungu ibariki Tanzania
Paskali
 
Unaweza usipate teuzi kwa vile hujaandikiwa lakini unaweza kuwa mshauri mzuri sana kwa kiongozi wa nchi,mengi husema na hutokea kweli.
 

Vipi kuna msamaha ulitolewa wa mashujaa?
 
Vyanzo vyako vya habari vilikulisha matango pori kuhusu kusamehewa kwa Covid-19.
Shit happens.
 
Adui mkubwa wa CDM alikua hayati Dk John Joseph pombe magufuli.Mungu alimtwaa Kwa namna ya peke sana.mama anatuunganisha,tusimuangushe.hasa nyie chawa na wapiga ramli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Adui mkubwa wa CDM alikua hayati Dk John Joseph pombe magufuli.Mungu alimtwaa Kwa namna ya peke sana.mama anatuunganisha,tusimuangushe.hasa nyie chawa na wapiga ramli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakika ni maneno ya busara sana.
Kwa yeyote anayebeza juhudi za Mama Samia na mh Mbowe huyo siyo mtanzania.
 
Haya wajameni, hukumu ndio hiyo,
Chadema has two choices, kusuka ama kunyoa!. Niliwashauri msishupaze shingo!, sasa endeleeni kushupaza, 2025 hiyo...!.
Nimeisoma hukumu, 1. Mahakama zetu zinarudia makosa yale yale ya ukosefu wa kutenda haki kwa sababu ya legal technicalities, kuwa Mahakama haiwezi kutoa uamuzi wa kitu ambacho hakikuombwa!.
2. Wabunge hawa 19 wa Chadema, walivuliwa uanachama wao kinyume cha katiba ya JMT na kinyume cha haki kwa kutokusikilizwa, kinyume cha katiba ya Chadema kwa kukiuka sheria, taratibu na kanuni!.
3. Kikao cha CCM ya Chadema, kilichowatimua kilikaa kama a kangaroo court na kutoa maamuzi ya kikangaroo!.
4. Katiba ya Chadema inasema mwanachama kabla hajafutwa uanachama, kwanza atatumiwa hati ya mashitaka kwa maandishi by despatch, kisha atapewa siku 14 za kujibu mashitaka. Chadema hawakuandaa hati zozote za mashitaka!. Hili Mahakama ilipaswa ilione!.
5. Baada ya watuhumiwa kupewa hati ya mashitaka, ndipo kikao cha CC kinaitishwa kama mamlaka ya nidhamu, kusoma majibu ya mashitaka, na ndipo kinawaita washikiwa na kuwasikiliza. Hili halikufanyika!.
6. Baada ya wabunge 19 wa Chadema kuapishwa, hapa Chadema waliposwa kufanya kitu kinachoitwa a due process ya nidhamu na sio zile Zimamoto za kikangaroo!. There was no emergency of whatsoever!. Mahakama ilipaswa ilione hili!.
7. Uthibitisho wa hakukuwa na any emergency ya kuitisha CC, ni the time taken, kuitisha kikao cha Baraza Kuu!.
8. Baada ya kuitishwa kikao cha Baraza Kuu, kitu cha kwanza kwa Baraza Kuu Chadema kuangalia ni uhalali wa kikao cha CC, pili jee katiba, sheria, taratibu na kanuni za mamlaka ya nidhamu ya Chadema zilifuatwa?.
8. CC ya Chadema ni mamlaka halali ya nidhamu ya wabunge wa Chadema, lakini CC ya Chadema sio mamlaka ya nidhamu ya Halima Mdee ambaye ni Mwenyekiti wa Bawacha!, Mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka ya kumtimua Halima Mdee?!. Kikao cha Baraza Kuu kilipaswa hili kukuona!.
9. Japo kikao cha Baraza Kuu Chadema kiliitishwa kihalali kama mamlaka ya rufaa ya wabunge wa Chadema, lakini kitendo cha kikao hicho kubariki uamuzi wa CC kuwatimua bila kufanya mapitio yoyote, ni uthibitisho wa Chadema bado ni chama kichanga, mfano kingechukua nchi ile 2015!, it would have been disastrous!.
10. Kitendo cha Baraza Kuu kubariki maamuzi ya kikangaroo ya CC ya Chadema, kilifanya niyaite maamuzi yale pia ni ya kikangaroo, na kitendo cha Mahakama Kuu kuyabari maamuzi ya kikangaroo, Mahakama Kuu yetu nayo has joined the team!.
A Way Forward
1. Kwa vile Chadema imefanikiwa kuwatimua hao 19 sasa Chadema isikate tena rufaa, kupinga uamuzi huu, bali iitishe kikao cha Baraza Kuu , ASAP, kifanye a due process, hili la wabunge 19 liishe, wabunge hao 19 wavuliwe ubunge wao, Chadema wapeleke majina 19 mengine, wateuliwe waapishwe, tuwe na Bunge la vyama vingi!.

2. Chadema wakifanya tuu dillydalling kukaa rufaa, inakula kwao!. By the time rufaa inasikilizwa, ndipo kifuate kikao cha Baraza Kuu, I'm afraid the time left before the next election is too little too late, ikibaki muda wa chini ya miezi 12 kabla ya muda wa uhai wa Bunge kuisha, hakuna uchaguzi wowote wala uteuzi wowote wa wabunge wapya!.
3. Tena nashauri kikao hicho cha Baraza Kuu, pia sasa ndio kimtimue Halima Mdee, kikifuatiwa Mkutano Mkuu kuthibitisha. Hapa najua changamoto ni fedha!, kule kwenye kile chungu, zilikopatikana zile fedha za kugharimia Baraza Kuu lile, kile chungu bado kipo, kitagharimia vikao vyote viwili, na Chadema inaweza kupiga ndege wawili kwa jiwe moja kwa mtu kupumzishwa kwa heshima na dereva mpya kupatikana!.
Paskali.
 
Wanabodi,

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.
Leo mwana JF huyu, kaibua hoja hii
Mkuu Rabbon , kiukweli huyu jamaa yenu, anawazeveza tuu, kujifanya hajui!. Kama sio huyu Mama, Chadema saa hizi ingekuwa RIP long time ago, kama nilivyo andika hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao kama sio Samia, Chadema would have been long dead kwa ukata!.

Baada ya Chadema kutotambua matokeo, ikawatimua kina Mdee, wakakata rufaa Baraza Kuu, kutokana na ukata, Chadema ilishindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu, mpaka kiliposhikwa mkono na fulani!. Ina maana Lissu hakujua fedha za kuitisha Baraza Kuu zilitoka wapi?.

Viongozi wakuu wa Chadema, walifanya ziara nje ya nchi, chama kikiwa hoi bin taaban kiuchumi!, Lissu hakushangaa pesa zimetoka wapi ndio anajifanya kushangaa sasa!.

Kilichokuja kutokea, Chadema iliyatambua matokeo, ikalitambua Bunge na kumtambua rais, sasa wanalamba ruzuku ya wale wabunge wao 19!

Msikilize hapa JJ Mnyika
View: https://youtu.be/x5yFws4dc1U?si=8Xs0--sIxjLls1Qw.

P.
 
CHADEMA iko kwenye mioyo ya watu haiko kwenye pesa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…