IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,182
- 7,839
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Good move katika kujitakasa. Sasa subiria sarakasi zitakazopigwa na Tume ya Uchaguzi. Hakuna nakala wala nini watakachokipata toka tume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Good move katika kujitakasa. Sasa subiria sarakasi zitakazopigwa na Tume ya Uchaguzi. Hakuna nakala wala nini watakachokipata toka tume.
Kamuulize Wasira, ndiye wa kwanza kukiombea kifo hiki chama, akafa yeye kisiasa...Chama kinaenda kufa.
Umekaa jikoni unasubiri ugali huku unachati, ingia ulingoni ukapambane tukuone...Wanaume kukaa kushindana na mademu [emoji706][emoji706] badala ya kupambana na CCM itoke magogoni
We kweli kibwengo ,mgetaka wanaume wapambane na CCM msingewaibia kura halafu mkutane bungeniWanaume kukaa kushindana na mademu [emoji706][emoji706] badala ya kupambana na CCM itoke magogoni
Hatuna mahakama tena tuna matawi ya CCMMahakama zenye majaji wa kipuuzi kama za Tanzania ni vema kutambua tu anayepelekewa hiyo kesi Magufuli mwenyewe
Watapewa! IlaDar es Salaam. CHADEMA imeanza kutumia nguvu ya mahakama kupinga mchakato wa uteuzi wa wabunge 19 wa viti maalumu na mtu aliyesaini fomu zao kwa nafasi ya katibu mkuu.
Chama hicho kilistahili kupata wabunge wa viti maalum kutokana na kupata idadi ya kura za wabunge inayozidi asilimia tano, lakini kinadai hakukuwa na kikao kilichopitisha majina ya wanachama na kupeleka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya uteuzi.
Lakini Noveemba 24, makada 19 walijitokeza viwanja vya Bunge na kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu katika utaratibu mpya unaomruhusu Spika kufanya kazi hiyo bila ya kuwepo na mkutano wa chombo hicho cha kutunga sheria, kitendo kilichosababisha Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana Novemba 27 kuamua kuwavua uanachama.
Pamoja na kustahili viti hivyo, Chadema ilishatangaza kutotambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, ikidai kwamba uchaguzi huo ulitawaliwa na ukiukwaji wa sheria na taratibu.
Mkurugenzi wa itikadi, uenezi, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema alisema mchakato huo unaendelea na tayari katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika ameiandikia barua NEC.
Katika barua hiyo kwa NEC, alisema Chadema inataka kupatiwa nakala ya barua iliyowasilisha majina pamoja na fomu namba 8D ambazo katibu mkuu anatakiwa kujaza ili ijulikane aliyeijaza na hivyo aunganishwe kwenye kesi hiyo.
Mwananchi
serikali imeshikwa pabaya
Kwa mtizimo wangu mie naona ni afadhali wale waliofukuzwa uanachama ndio wao waende mahakamani kupinga kufukuzwa kwao kuliko chama kutangulia huko.Dar es Salaam. CHADEMA imeanza kutumia nguvu ya mahakama kupinga mchakato wa uteuzi wa wabunge 19 wa viti maalumu na mtu aliyesaini fomu zao kwa nafasi ya katibu mkuu.
Chama hicho kilistahili kupata wabunge wa viti maalum kutokana na kupata idadi ya kura za wabunge inayozidi asilimia tano, lakini kinadai hakukuwa na kikao kilichopitisha majina ya wanachama na kupeleka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya uteuzi.
Lakini Noveemba 24, makada 19 walijitokeza viwanja vya Bunge na kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu katika utaratibu mpya unaomruhusu Spika kufanya kazi hiyo bila ya kuwepo na mkutano wa chombo hicho cha kutunga sheria, kitendo kilichosababisha Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana Novemba 27 kuamua kuwavua uanachama.
Pamoja na kustahili viti hivyo, Chadema ilishatangaza kutotambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, ikidai kwamba uchaguzi huo ulitawaliwa na ukiukwaji wa sheria na taratibu.
Mkurugenzi wa itikadi, uenezi, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema alisema mchakato huo unaendelea na tayari katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika ameiandikia barua NEC.
Katika barua hiyo kwa NEC, alisema Chadema inataka kupatiwa nakala ya barua iliyowasilisha majina pamoja na fomu namba 8D ambazo katibu mkuu anatakiwa kujaza ili ijulikane aliyeijaza na hivyo aunganishwe kwenye kesi hiyo.
Mwananchi
Good move katika kujitakasa. Sasa subiria sarakasi zitakazopigwa na Tume ya Uchaguzi. Hakuna nakala wala nini watakachokipata toka tume.
Hivyo unataka useme nini katika hili tafadhali 🤔Kila kitu wewe unawaza ni movies braza? Basi lipe jina la movies katika zile Trillion 1.5 ambazo CAG alisema?
Na zile Trillion mbili za mabeberu nazo zitatoka hiyo 2025. Wazungu wametuweka kona mbaya amjui tuuMyika ajiandae kuachia ngazi, sema majibu yatatoka 2025.
Yes. We need to know. NEC will tell the court who did it. This will be the end of the controversy.Dar es Salaam. CHADEMA imeanza kutumia nguvu ya mahakama kupinga mchakato wa uteuzi wa wabunge 19 wa viti maalumu na mtu aliyesaini fomu zao kwa nafasi ya katibu mkuu.
Chama hicho kilistahili kupata wabunge wa viti maalum kutokana na kupata idadi ya kura za wabunge inayozidi asilimia tano, lakini kinadai hakukuwa na kikao kilichopitisha majina ya wanachama na kupeleka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya uteuzi.
Lakini Noveemba 24, makada 19 walijitokeza viwanja vya Bunge na kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu katika utaratibu mpya unaomruhusu Spika kufanya kazi hiyo bila ya kuwepo na mkutano wa chombo hicho cha kutunga sheria, kitendo kilichosababisha Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana Novemba 27 kuamua kuwavua uanachama.
Pamoja na kustahili viti hivyo, Chadema ilishatangaza kutotambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, ikidai kwamba uchaguzi huo ulitawaliwa na ukiukwaji wa sheria na taratibu.
Mkurugenzi wa itikadi, uenezi, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema alisema mchakato huo unaendelea na tayari katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika ameiandikia barua NEC.
Katika barua hiyo kwa NEC, alisema Chadema inataka kupatiwa nakala ya barua iliyowasilisha majina pamoja na fomu namba 8D ambazo katibu mkuu anatakiwa kujaza ili ijulikane aliyeijaza na hivyo aunganishwe kwenye kesi hiyo.
Mwananchi
sarakasi hizo za TUME FEKI zitasaidia CDM kusonga mbele kutokana na tumeFEKI kusita kutoa ushahidi huo wakijua ni wao wenyewe ndio wamecheza sinema hiyo. hivo CDM waelekee mahakani kupata ufafanuzi kihaki ili sheria ichukue mkondo wake.Good move katika kujitakasa. Sasa subiria sarakasi zitakazopigwa na Tume ya Uchaguzi. Hakuna nakala wala nini watakachokipata toka tume.
Huyo ni "day dreaming sadist".Kinakufa kwa kudai wapewe barua ambayo NEC waliipata toka kwa Katibu Mkuu wa CHADEMA au kuna sababu nyingine?
Chama kinaenda kufa.
Hasara anapata nani ya kubeba Wabunge maruaniWatapewa! Ila
Wajinga ndio waliwao! Hyo kesi kuisha ni 2025 chadema wanajua kila kitu.
Shida Yao ni nn Tena?Dar es Salaam. CHADEMA imeanza kutumia nguvu ya mahakama kupinga mchakato wa uteuzi wa wabunge 19 wa viti maalumu na mtu aliyesaini fomu zao kwa nafasi ya katibu mkuu.
Chama hicho kilistahili kupata wabunge wa viti maalum kutokana na kupata idadi ya kura za wabunge inayozidi asilimia tano, lakini kinadai hakukuwa na kikao kilichopitisha majina ya wanachama na kupeleka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya uteuzi.
Lakini Noveemba 24, makada 19 walijitokeza viwanja vya Bunge na kuapishwa kuwa wabunge wa viti maalumu katika utaratibu mpya unaomruhusu Spika kufanya kazi hiyo bila ya kuwepo na mkutano wa chombo hicho cha kutunga sheria, kitendo kilichosababisha Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana Novemba 27 kuamua kuwavua uanachama.
Pamoja na kustahili viti hivyo, Chadema ilishatangaza kutotambua matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, ikidai kwamba uchaguzi huo ulitawaliwa na ukiukwaji wa sheria na taratibu.
Mkurugenzi wa itikadi, uenezi, mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema, John Mrema alisema mchakato huo unaendelea na tayari katibu mkuu wa chama hicho, John Mnyika ameiandikia barua NEC.
Katika barua hiyo kwa NEC, alisema Chadema inataka kupatiwa nakala ya barua iliyowasilisha majina pamoja na fomu namba 8D ambazo katibu mkuu anatakiwa kujaza ili ijulikane aliyeijaza na hivyo aunganishwe kwenye kesi hiyo.
Mwananchi