Hapana siyo lazima cyber ihusike ila kwa kiswahili ni Uchunguzi wa Kitaalamu ambao unaweza kutumika Mahakamani kama ushahidi Wakati Forensic Accounting ni Ukaguzi wa Mahesabu wa Kitaalamu na wala si lazima ufike mahakamani.Hapo kwenye forensic umechanganya, ninavyojua forensic investigation lazima cyber ihusike.anayejua zaid atueleze