Umavuta bangi? Mbona unayo yaandika ni kama umevuta bangi?Ikiwezekana kifutwe tu ni uchafu tu unaoendelea humo Sacco's ya DJ makengeza kula michango ya wabunge kuzini na viti maalumu wabunge wawili wa kike wanasagana laana juu ya laana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umavuta bangi? Mbona unayo yaandika ni kama umevuta bangi?Ikiwezekana kifutwe tu ni uchafu tu unaoendelea humo Sacco's ya DJ makengeza kula michango ya wabunge kuzini na viti maalumu wabunge wawili wa kike wanasagana laana juu ya laana
maisha yako yanategemea isani ya mtawala upotayali kumuua mwenzio upewe kibaba cha ungaChadema ilishajifuta yenyewe tayari October wakipata hata mbunge mmoja wakatambike!
Chama cha AikaelKawadanganye wanachadema wenzako wasiojitambua
Tulishakuzoea na ngonjera zako!!Wewe juha huna unalojua subiri utaona yajayo
Hujui kitu na utabaki hivyo hivyo tu na lazima wahusika waburuzwe mahakamani.Kamdanganye Polepole! Hujui kaa kimya.
Labda Mutungi ajifute yeye na taasisi yake na sio CDM.Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu.
Je, hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Hapo kwenye forensic umechanganya, ninavyojua forensic investigation lazima cyber ihusike.anayejua zaid atuelezeTofautisha Auditing na Forensic Investigation! Auditing anaangalia utaratibu kama umefuatwa ama la wakati Forensic Investigation wanaangalia fraud kama imefanyika.
Inasikitisha sana sana..Hawa jamaa wamekuwa watu wa hovyo mnoo..Watu Wa kitengo wanahangaika Na msajili kuhakikisha wanatafuta mwanya Wa kudelete chadema huku vyama goigoi vikiachwa kama Tlp huku NCCR ikipatiwa nyenzo ya kununua wanachama Wa chadema.watawala wanakosa imani Na chadema
Tatizo lenu mnajiona mmeimaliza DuniaTulishakuzoea na ngonjera zako!!
Ni tetesi tu 😀Kimekosa nini hata kifutwe?
Kanuni ya adhabu kwa kosa lake inasemaje, inapatikana kwenye sheria ipi?
Kwa akili yako CAG office na TAKUKURU nani hasa anao wataalamu wa Forensic accounting?Hujui kitu na utabaki hivyo hivyo tu na lazima wahusika waburuzwe mahakamani.
pumbavu sana kwahiyo kila anayepinga huu utawala wa kiuni ni mwizi? pole sana kwa ujinga.Wewe ni mpumbavu sana.kumbe upo hapa na hasira za kuminywa wizi wenu?mimi sina chama we mwanamke isipokua naujua ukweli shenzi type we.na mminywe hivyo hivyo mmesha tuibia sana wananchi pumbavu zako,ukiona nchi haikufai hama uondoke..kumbe we ni jizi,maana hakuna mtumishi wa kweli akapingana na Magufuli juu ya jitihada alizonazo kuikomboa nchi kiuchumi,sasa nyie ndo mlio tusababisha tuwe hivi shenzi ungekua karibu ningekupiga hata na mwichi mgongoni,wewe utakua ni kati ya wale mliofungiwa mirija ya kutuibia na sasa mna hasira utadhani mlikua na haki ya kutuibia sisi..una bahati uko jf sikuoni kwa macho
pumbavu sana kwahiyo kila anayepinga huu utawala wa kiuni ni mwizi? pole sana kwa ujinga.
Mimi mwenyewe nashangaa sana kuona ccm inapambana na chama ambacho kilijifuta. Huu ni uzuzu. Chadema ilishajifia. Kwann ccm kila kukicha inahangaika na chama mfu?Chadema ilishajifuta tayari kwani hata huoni mwelekeo wa chama chenyewe?
Forensic Accounting ni tofauti na Forensic Investigation ka google kama hauelewi tofauti yake!Kwa akili yako CAG office na TAKUKURU nani hasa anao wataalamu wa Forensic accounting?
Forensic Accounting