Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Tetesi: CHADEMA kufutwa?

From brother Julius S. Mtatiro

Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini, familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Hadithi ya baba yangu mzazi, inatukumbusha mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.

And you know what? Baba hakuwahi kumpigia mama hii stori, hadi mimi nilipomsimulia mama.

Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!
Ni kweli kabisa.
 
Mwelekeo upi? Kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi na sasa mmewapelekea Takukuru wakati Ndungai katafuna bilion 12 lakini Takukuru hawakuthubutu kwenye hata kumsalimia tu
Umewahi ona wapi takukuru wakafanya kazi bila maagizo.
Wamejipa jukumu lisilo lao kisheria ile ni kazi ya CAG wao wasubirie rushwa.
 
Chadema ilishajifuta yenyewe tayari October wakipata hata mbunge mmoja wakatambike!
Mawaziri wenu wameanza kushushiwa kipigo majukwaani. Na hilo sasa ni mwendo mdundo hadi octoba.
Muwe mnatembea na kundi la askari, kipigo kikianza wanapiga mabomu.
Ndio mtajua maana ya kukubalika.
 
Kama DPP,polisi, mahakama,msajili, wasiojulikana, manunuzi,chaguzi marudio,kina bashite,musiba wamesalenda yaani wameshindwa nini cha kuweza.
 
Ni jambo la ki puuzi kwasasa kuamini kuwa chadema ni mashindani halisi wa CCM, CCM kwa sasa inajiandaa kupata ushindani kutoka ndani yake, kama alivyokua kipindi cha nyuma na ulikua ushindani halisi kwakua wanafahamiana vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimekosa nini hata kifutwe?
Kanuni ya adhabu kwa kosa lake inasemaje, inapatikana kwenye sheria ipi?
CAG alikagua vizuri akatoa hati safi kwa chadema lakini CAG alikagua Serikali akakuta trilion 1.5 imepotea lakini Takukuru hawakwenda kuchunguza hata TFF ya sasa Takukuru wapo kugelesha tu kwani mwenyekiti wa TFF karia ni kada wa CCM ni vigumu akitwe na hatia ndivyo hivyo hivyo kwa zile bilion 12 za Ndungai ambazo Takukuru hawathubutu kugusa
 
Mawaziri wenu wameanza kushushiwa kipigo majukwaani. Na hilo sasa ni mwendo mdundo hadi octoba.
Muwe mnatembea na kundi la askari, kipigo kikianza wanapiga mabomu.
Ndio mtajua maana ya kukubalika.
View attachment 1461371
Ona unavyohangaika na viclip ukifikiri vitakusaidia kupunguza stress zako za Chadema kukataliwa na watz. Poleni.
 
CAG alikagua vizuri akatoa hati safi kwa chadema lakini CAG alikagua Serikali akakuta trilion 1.5 imepotea lakini Takukuru hawakwenda kuchunguza hata TFF ya sasa Takukuru wapo kugelesha tu kwani mwenyekiti wa TFF karia ni kada wa CCM ni vigumu akitwe na hatia ndivyo hivyo hivyo kwa zile bilion 12 za Ndungai ambazo Takukuru hawathubutu kugusa
Tofautisha Auditing na Forensic Investigation! Auditing anaangalia utaratibu kama umefuatwa ama la wakati Forensic Investigation wanaangalia fraud kama imefanyika.
 
CAG alikagua vizuri akatoa hati safi kwa chadema lakini CAG alikagua Serikali akakuta trilion 1.5 imepotea lakini Takukuru hawakwenda kuchunguza hata TFF ya sasa Takukuru wapo kugelesha tu kwani mwenyekiti wa TFF karia ni kada wa CCM ni vigumu akitwe na hatia ndivyo hivyo hivyo kwa zile bilion 12 za Ndungai ambazo Takukuru hawathubutu kugusa
Work ni mfungwa wa hiari kanunuliwa kwa kwa vipande 12 bn akienda kinyume faili la uhujumu uchumi dpp analiandaa rejea ilipokumbushiwa ile gharama za matibabu alipopigwa mkwara akawa mpole so tumuonee huruma Mateka huru.Ushalamba za watu ni lzm wakutumie watakavo.
 
Ni jambo la ki puuzi kwasasa kuamini kuwa chadema ni mashindani halisi wa CCM, CCM kwa sasa inajiandaa kupata ushindani kutoka ndani yake, kama alivyokua kipindi cha nyuma na ulikua ushindani halisi kwakua wanafahamiana vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo jambo la kipuuzi kwa sababu kama CCM wangekuwa hawawaogopi chadema wasingekuwa wanahaha kutwa kuwahujumu kuwadhoofisha kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi na sasa kuwapelekea Takukuru wakati Ndungai kapiga bilion 12 hakupelekewa Takukuru
 
Nani kakuambia wabunge ndio chama? Kumbe IQ yako ni ndogo mno!
Wewe ndito IQ yako ni ndogo sana! Unajua kuwa wabunge wamechaguliwa na wananchi hivyo mbunge ana wananchi kibao walioko nyuma yake! Sasa wewe endelea kujidanganya. Kwa taarifa yako Mbowe vijana na wazee.wa Hai hawamtaki hata kumsikia.
 
kwa mujibu wa sheria Chama hakiwezi kufutwa Mwaka wa Uchaguzi. Puuza hayo mambo
Msajili wa vyama anaweza asikifute kwenye usajili wa kisheria. Lakini wananchi wakakifuta kwenye mioyo yao. Na tayari wananchi hawana imani nacho.
 
Upinzani unajifuta wenyewe kwa matendo yake ambayo wananchi hawayapendi.
Kuwabambikia kesi wapinzani ni matendo ambayo wananchi hawayataki hakuna upinzani kujifuta wenyewe hakuna mwananchi mwenye Akili timamu anaamini upinzani utajifuta wenyewe, watanzania wanajua CCM ndiyo inakazana kufuta upinzani wapate kurejesha mfumo wa chama kimoja
 
Back
Top Bottom