Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Akili zako zimejaa minyoo. Yaani bil 12 zitumike kwa matibabu?
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho na kipimo cha ubwege mbumbumbu ufala ujuha hapa jf huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, wewe Mbona ID yako ni ya kishamba sana lakini watu hawahangaiki nayo wapo busy na mada, acha kuvuta Bangi kuja kusumbua watu mitandaoni kama huna hoja kojoa ulale gheto uendelee kuvuta Bangi
 
Inajulikana lengo kuu la kuuwa upinzani ili Kodi zetu ziliwe bila kelele so chochote cha shetani akiwezifaulu
Sema Chadema ndiyo inakufa!! Vitatokea vyama vingine kuchukua nafasi hata Chadema ilichukua nafasi ya CUF sasa na Chadema imefika muda wake wa kufa kifo cha mende.
 
Thubuutuuuuuu wananzaje kwa mfano?
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
 
Kwa hiyo unadhani wananchi wanapenda Chadema ilipe madeni hewa kwa mmiliki wa Chadema?Ambae alikikooesha chama bil 2
Tatizo lenu watetezi wa CCM mitandaoni hamna kumbukumbu mmesahau kuwa watanzania wanajua jinsi CCM ilivyoifirisi Tanzania
 
Kawadanganye wanachadema wenzako wasiojitambua
Kama unadhani anachosema ni uongo ifuteni basi ili muamini kwamba chadema ni watu ni miyoyo ni dhamira ni itikadi.ifuteni hata leo muone.
 
Uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho na kipimo cha ubwege mbumbumbu ufala ujuha hapa jf huwa ni kuisengenya ID ya JF ambayo haitokani na ubatizo msikitini wala kanisani, wewe Mbona ID yako ni ya kishamba sana lakini watu hawahangaiki nayo wapo busy na mada, acha kuvuta Bangi kuja kusumbua watu mitandaoni kama huna hoja kojoa ulale gheto uendelee kuvuta Bangi
Ungekuwa na akili ungeandika uongo kama huo? Bil 12 zitumike matibabu yapi? Spika alifafanua ukweli juu ya hili suala lakini unalazimisha uongo. Spika alitibiwa 2015-2016. Nyie Chadema mkaleta kashfa za uongo 2017-2018.
 
Mambo ya siasa [emoji1908][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089] kimia kimia.

Apa kila mtu atatetea penye maslahi kwake, ata kama ndo mm, iwe CDM, CCM,
 
Tatizo lenu watetezi wa CCM mitandaoni hamna kumbukumbu mmesahau kuwa watanzania wanajua jinsi CCM ilivyoifirisi Tanzania
Kuna mwana Ccm mzalendo aliefurahia wizi kama wa Escrow? Suala la msingi leta mada yenye ukweli.
 
CCM hakuna msafi CCM hakuna malaika wa kuwanyoshea kidole chadema CCM wote kwa namna tofauti wa tuhuma zao mbalimbali
 
Actually mfumo wa vyama vingi Africa upo kwa nguvu ya wahisani/mabeberu tu.

Hata mchakato halali ukifuatwa wa kufuta upinzani kwa maana ya bill bungeni hamuwezi hata kuzuia chochote.
 
Mambo ya siasa [emoji1908][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089] kimia kimia.

Apa kila mtu atatetea penye maslahi kwake, ata kama ndo mm, iwe CDM, CCM,
Miaka 50 Nchi haina maendeleo wakati ina rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani kama siyo CCM leo Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa na hata Oman
 
Kama unadhani anachosema ni uongo ifuteni basi ili muamini kwamba chadema ni watu ni miyoyo ni dhamira ni itikadi.ifuteni hata leo muone.
Mbona kimeshafutika mkuu angalia hapa chini.
IMG-20200526-WA0013.jpg
 
Ikiwezekana kifutwe tu ni uchafu tu unaoendelea humo Sacco's ya DJ makengeza kula michango ya wabunge kuzini na viti maalumu wabunge wawili wa kike wanasagana laana juu ya laana
 
Actually mfumo wa vyama vingi Africa upo kwa nguvu ya wahisani/mabeberu tu.

Hata mchakato halali ukifuatwa wa kufuta upinzani kwa maana ya bill bungeni hamuwezi hata kuzuia chochote.
Bunge la Tanzania kwa sasa linaendeshwa kwa mujibu wa Sheria binafsi za Ndungai siyo kwa mujibu wa Sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania
 
Kuifanyia njama Chadema ni kujiingiza kwenye lawama ya kujitakia

Chadema inamafuta yake ya kujikaanga yenyewe, iachwe ili ijikaange yenyewe, swala la muda Tu

Mwenye akiri mbona atachomoka Tu mwenyewe bila hata hujuma za wapinzani wa Chadema?

Mafuta ambayo Chadema inayo Kwa ajiri ya kujikaangia, Ulaji wa pesa bila ya makubaliano" kuhoji vitu asivyovipenda bwana mkubwa ndani ya Chama, wabunge wengi wasiojua biashara iliyopo Kati ya wabunge wachache wenye Mali Yao (Chadema) kuchangishwa mipesa na wachache hao kuendelea kung'aa Kwa pesa za dhuruma, kufukuzwa fukuzwa pale bwana mkubwa anapoamka kakorofishana na Mpendwa wake au tu wale wafaidi Chama bia zinapozidi Sana kichwani, basi wanagonganishana cheers mwisho wa siku Lijuakali hatufai, basi tena inakuwa hivyo

Jamani msining'ate, nimenukuu maneno yoote kutoka Kwa Waitara na Lijualikali,. Hivyo, Chadema iachwe ijikaange yenyewe bhana
 
Kawadanganye wanachadema wenzako wasiojitambua
Kumbe unatambua kuna wana Chadema kama walivyo wana Ccm? Kwa hiyo vyama vyote vipo na havitakufa kama ilivyo Simba na Yanga. Uzushi wa kufuta Chadema ni propoganda za upande wa pili.
 
Aman ya Wana chadema Sio cc mkuu unafikir Kuna mtu anavutiwa na nyie Tena Tanzania
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
 
Back
Top Bottom