G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,625
- 8,639
Muwe mnavichunguza vyama iwapo mna mapenzi ya vyama,siyo kuvishabikia tu bila kujua kua ni vyama vya wahuni tu
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?