Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?

Kwenye serikali za kidikteta kila kikwazo cha watawala huondolewa bila kujali ipo sababu ama haipo. Kwa hiyo usishangae hilo kuwezekana....!

Ila sisi huku nje, tunaweza kujadili na kujiuliza swali hili; JE, IPO SABABU GENUINE YA KUFUTA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI?

Kama ipo ni ipi hiyo ambayo ikisemwa mbele ya watu wenye ufahamu wanaweza kuelewa na kukubali kwa urahisi?

As far as I am concerned, mpaka sasa mimi naona kuwa kinachoendelea kwa sasa ni "COVID-19 ya kisiasa" tu ambayo ktk uhalisi wake haipo, isipokuwa Corona hii ya kisiasa inachofanya ni kujenga hofu ya kisiasa miongoni mwa wafuasi na wapenzi wa siasa za mageuzi ili ikiwezekana ingalau wafe tu kwa "hofu hiyo kisiasa tunayoweza kuiita POLITICAL COVID-19 "...

Dalili za POLITICAL COVID-19 YA KISIASA INAYOSAMBAZWA NA KITENGO CHA PROPAGANDA CHA SERIKALI NA CCM NI;

å Kuamini kuwa Mbowe ni mwizi na mfujaji wa pesa za taasisi

å Kuamini kuwa Mbowe hufanya ngono na wanawake wabunge wote wa CHADEMA ili " eti wapate ubunge"

å Kuamini kuwa eti Mbowe hujikopesha pesa za chama na kuzitumia kulimia mashamba yake Morogoro...!!

å Kuamini kuwa ndani ya CHADEMA kuna mgogoro na ndiyo maana baadhi ya wabunge wanakihama...

å Kuamini kuwa, Mbowe kama m/kiti wa chama taifa ni mbabe haswa na "eti hutoa amri tu" kwa wabunge wake za "kushoto geuka....!, kulia geuka....!, mbele tembea....! nk na wao kutii bila shuruti...

å Kuamini kuwa ndani ya CHADEMA kuna ubaguzi wa kikabila unaosimamiwa na Mbowe kama "mchaga" na kwa hiyo CHADEMA ni chama cha kichagga....!!

Mtu akiona dalili hizi, "HOFU YA IMANI YA KISIASA KWA CHADEMA" imtawala na kumla kwelikweli....

Kinachofuata ni "ROHO WA MAUTI", pepo la kutwaa uhai wa vyama ambaye hapa ni "MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA" anaanza taratibu kusogea na kujenga uhalali wa "kukifuta" ama "kukiua" chama chochote....

Ndivyo ilivyokuwa kwa CUF ORIGINAL ambacho hakikufutwa, lakini kimeuwawa hicho, hakina nguvu tena na akifa Lipumba leo na ndiyo kifo rasmi cha CUF....

Lakini kwa CHADEMA naona kabisa kuwa SERIKALI na CCM wanahitaji mkakati madhubuti zaidi ya huu wanautumia sasa. CHADEMA ilishashinda "POLITICAL COVID-19 FEAR" na wanaielewa serikali hii IN and OUT....

Kama ile hukumu ya kifungo cha gerezani ya viongozi karibu wote wa CHADEMA ili back fire, ni nini kingine kinaweza kuisambaratisha CHADEMA??

Aisee, binafsi sioni unless MAGUFULI aithibitishie dunia na ulimwengu kuwa yeye ni dikteta kweli na anaweza kufanya lolote ili mradi anakuwa madarakani....!!!

In my opinion, CHADEMA ni fire, itashinda na itaingia ktk uchaguzi huu wa 2020 ikiwa as more powerful than it was in 2015...

Hii ndiyo HOFU ya CCM na MAGUFULI. Wanasumbuliwa na uginjwa wa "FEAR OF UNKNOWN"..

Go CHADEMA Go 2020!!
 
yani uweke amani mashakani kwa ajili ya chadema? mana sioni hata mbunge mmoja wa upinzani aliyefanya maendeleo kwenye jimbo lake, kazi kutwa kuchwa kwenye mitandao ya kijamii kulalama ovyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haramu kwako kama ambavyo wengine chadema au upinzani ni haramu.
Vitabu vyote vya dini vimeikataa CCM tena vinasema tusiisogelee haramu(CCM) wewe ni Nani Hadi upingane na vitabu vitakatifu?
 
Muwe mnavichunguza vyama iwapo mna mapenzi ya vyama,siyo kuvishabikia tu bila kujua kua ni vyama vya wahuni tu
Wewe bila shaka ni mpumbavu kuna chama cha kihuni kama ccm?
 
Kwenye serikali za kidikteta kila kikwazo cha watawala huondolewa bila kujali ipo sababu ama haipo. Kwa hiyo usishangae hilo kuwezekana....!

Ila sisi huku nje, tunaweza kujadili na kujiuliza swali hili; JE, IPO SABABU GENUINE YA KUFUTA CHAMA KIKUU CHA UPINZANI?

Kama ipo ni ipi hiyo ambayo ikisemwa mbele ya watu wenye ufahamu wanaweza kuelewa na kukubali kwa urahisi?

As far as I am concerned, mpaka sasa mimi naona kuwa kinachoendelea kwa sasa ni "COVID-19 ya kisiasa" tu ambayo ktk uhalisi wake haipo, isipokuwa Corona hii ya kisiasa inachofanya ni kujenga hofu ya kisiasa miongoni mwa wafuasi na wapenzi wa siasa za mageuzi ili ikiwezekana ingalau wafe tu kwa "hofu hiyo kisiasa tunayoweza kuiita POLITICAL COVID-19 "...

Dalili za POLITICAL COVID-19 YA KISIASA INAYOSAMBAZWA NA KITENGO CHA PROPAGANDA CHA SERIKALI NA CCM NI;

å Kuamini kuwa Mbowe ni mwizi na mfujaji wa pesa za taasisi

å Kuamini kuwa Mbowe hufanya ngono na wanawake wabunge wote wa CHADEMA ili " eti wapate ubunge"

å Kuamini kuwa eti Mbowe hujikopesha pesa za chama na kuzitumia kulimia mashamba yake Morogoro...!!

å Kuamini kuwa ndani ya CHADEMA kuna mgogoro na ndiyo maana baadhi ya wabunge wanakihama...

å Kuamini kuwa, Mbowe kama m/kiti wa chama taifa ni mbabe haswa na "eti hutoa amri tu" kwa wabunge wake za "kushoto geuka....!, kulia geuka....!, mbele tembea....! nk na wao kutii bila shuruti...

å Kuamini kuwa ndani ya CHADEMA kuna ubaguzi wa kikabila unaosimamiwa na Mbowe kama "mchaga" na kwa hiyo CHADEMA ni chama cha kichagga....!!

Mtu akiona dalili hizi, "HOFU YA IMANI YA KISIASA KWA CHADEMA" imtawala na kumla kwelikweli....

Kinachofuata ni "ROHO WA MAUTI", pepo la kutwaa uhai wa vyama ambaye hapa ni "MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA" anaanza taratibu kusogea na kujenga uhalali wa "kukifuta" ama "kukiua" chama chochote....

Ndivyo ilivyokuwa kwa CUF ORIGINAL ambacho hakikufutwa, lakini kimeuwawa hicho, hakina nguvu tena na akifa Lipumba leo na ndiyo kifo rasmi cha CUF....

Lakini kwa CHADEMA naona kabisa kuwa SERIKALI na CCM wanahitaji mkakati madhubuti zaidi ya huu wanautumia sasa. CHADEMA ilishashinda "POLITICAL COVID-19 FEAR" na wanaielewa serikali hii IN and OUT....

Kama ile hukumu ya kifungo cha gerezani ya viongozi karibu wote wa CHADEMA ili back fire, ni nini kingine kinaweza kuisambaratisha CHADEMA??

Aisee, binafsi sioni unless MAGUFULI aithibitishie dunia na ulimwengu kuwa yeye ni dikteta kweli na anaweza kufanya lolote ili mradi anakuwa madarakani....!!!

In my opinion, CHADEMA ni fire, itashinda na itaingia ktk uchaguzi huu wa 2020 ikiwa as more powerful than it was in 2015...

Hii ndiyo HOFU ya CCM na MAGUFULI. Wanasumbuliwa na uginjwa wa "FEAR OF UNKNOWN"..

Go CHADEMA Go 2020!!
Siku hizi uswaiba wa le profesele na mtungi haupo kabisa sababu ashamaliza kazi.Kama wote wameshindwa si propaganda,si DPP, mahakama,msajili, wasiojulikana,polisi, manunuzi,TISS,yaani nguvu za kuzimu zote zimeshindwa kipi kitakachoweza? Hizi zote ni propaganda tu
 
We ni kichaa nakwambia, mpumbavu kabisa,una ukipofu na siku ukija kupona muda utakua umeshakuishia huku duniani
Punguani pekee ndiye anaweza shabikia upumbavu unaofanywa na Jiwe ili kuua vyama vya upinzani bila kujuwa kuwa hawezi kuua upinzani na wapumbavu kama wewe ndio mnampoteza anasahau hata wanaomlinda kuna wengine ni wapinzania.endeleeni kuwa wapumbavu nipo serikalini toka mwaka 2008 ninaelewa ninachosema!
 
Punguani pekee ndiye anaweza shabikia upumbavu unaofanywa na Jiwe ili kuua vyama vya upinzani bila kujuwa kuwa hawezi kuua upinzani na wapumbavu kama wewe ndio mnampoteza anasahau hata wanaomlinda kuna wengine ni wapinzania.endeleeni kuwa wapumbavu nipo serikalini toka mwaka 2008 ninaelewa ninachosema!
Well said mkuu. Bora upinzani rasmi wa kisheria uwepo.CCM wajifunze kidogo hata saga la Waitara na Bwire jana.Japo wote ccm wameanza kusigana, sio wote wataongea kwa hofu mtashangaa wengine hata kukodi majambazi kuwazima mahasimu wao.
 
Hakuna nguvu yoyote inayotumika hapa. Zaidi ya kuonyesha kile ambacho mnajifanya hamkioni

Ni kweli kabisa boss, ila ukweli tunaujua japo inatumika nguvu nje ya uhalisia kufikia hilo hitimisho lako.
 
Punguani pekee ndiye anaweza shabikia upumbavu unaofanywa na Jiwe ili kuua vyama vya upinzani bila kujuwa kuwa hawezi kuua upinzani na wapumbavu kama wewe ndio mnampoteza anasahau hata wanaomlinda kuna wengine ni wapinzania.endeleeni kuwa wapumbavu nipo serikalini toka mwaka 2008 ninaelewa ninachosema!
Wewe ni mpumbavu sana.kumbe upo hapa na hasira za kuminywa wizi wenu?mimi sina chama we mwanamke isipokua naujua ukweli shenzi type we.na mminywe hivyo hivyo mmesha tuibia sana wananchi pumbavu zako,ukiona nchi haikufai hama uondoke..kumbe we ni jizi,maana hakuna mtumishi wa kweli akapingana na Magufuli juu ya jitihada alizonazo kuikomboa nchi kiuchumi,sasa nyie ndo mlio tusababisha tuwe hivi shenzi ungekua karibu ningekupiga hata na mwichi mgongoni,wewe utakua ni kati ya wale mliofungiwa mirija ya kutuibia na sasa mna hasira utadhani mlikua na haki ya kutuibia sisi..una bahati uko jf sikuoni kwa macho
 
Back
Top Bottom