Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Badala ya kununua wapiga kura mnanunua wanaopigiwa kura,mlipata wapi ushauri usio na tija Kama huu au ni wa yule marehemu alioutumia ili azipige helaWewe ndito IQ yako ni ndogo sana! Unajua kuwa wabunge wamechaguliwa na wananchi hivyo mbunge ana wananchi kibao walioko nyuma yake! Sasa wewe endelea kujidanganya. Kwa taarifa yako Mbowe vijana na wazee.wa Hai hawamtaki hata kumsikia.
Spika Ndugai alihudumiwa kwa kufuata utaratibu unaokubalika siyo Chadema mnanunua gari kupitia tax exemption ya mbunge!! Huo ni wizi wa mchana kweupe sasa huyo mbunge mmeshamponza akipatikana na hatia hataruhusiwa kugombea uongozi kwa muda wa 5 or 10 years.Siyo jambo la kipuuzi kwa sababu kama CCM wangekuwa hawawaogopi chadema wasingekuwa wanahaha kutwa kuwahujumu kuwadhoofisha kuwabambikia kesi, kuwapiga risasi na sasa kuwapelekea Takukuru wakati Ndungai kapiga bilion 12 hakupelekewa Takukuru
Kama hawana imani nao why mnaogopa chaguzi Hadi watendaji wanazikimbia ofisi kwa maagizo?Msajili wa vyama anaweza asikifute kwenye usajili wa kisheria. Lakini wananchi wakakifuta kwenye mioyo yao. Na tayari wananchi hawana imani nacho.
Duuh, imenitia uchungu mwingi na kunigusa Sana, halafu unakuja kujua baadaye kwamba, hata uliyekuwa ukitaabika kumsomesha Kwa shida nyingi, amekuwa jambazi, amekuwa muuza dawa za kulevya, amekuwa Malaya anajiuza, amekuwa msaliti wa Taifa lake, amekuwa mtukanaji wa watu, wa viongozi wa dini n.kFrom brother Julius S. Mtatiro
____________________
Wakati fulani nikisoma shule ya Sekondari, baba alikuja kunitembelea shuleni, nikashangaa kwa nini amekuja kwa miguu na ana mavumbi mengi miguuni?
Akanikabidhi TZS 12,000/= yani 10,000/= ya kulipia hostel na 2,000/= ya matumizi. Nikamuuliza mbona leo huna baiskeli? (mara zote alikuwa akiendesha baiskeli 40kms kuja shuleni). Akanijibu "...nimekuja kwa basi", nikaamini ni kweli!
_
Miaka mitano baadaye, nikiwa Chuo Kikuu, wakati nimerudi likizo nyumbani, nikawa nimekaa nje saa za usiku mnene, niko na baba akinipigia stori za vita za Uganda, Msumbiji nk.
Ghafla akanipigia stori iliyomkuta miaka 5 iliyopita, kwamba alikuwa na shilingi 12,000 tu ndani, akapata taarifa kuwa wanafunzi wanarudishwa kwa kutolipa hela za hostel. Akafunga safari ya baiskeli kuja shuleni kwetu (alikuwa anaanza safari zake saa 8 au 9 usiku), ili kuniletea ile pesa, safari ya kilomita 40.
Alipofika kilomita 13 baiskeli ikaharibika, "tyre tube" ya nyuma ikapasuka, ikawa haifai. Akaamua kuacha baiskeli kwa wenyeji na kuanza safari ya saa nyingi kwa mguu hadi shuleni kwetu, zaidi ya kilomita 27.
Akafika ametabasamu ana furaha mno, akanikabidhi zile pesa na akaanza safari nyingine ya kilomita 27 + 13, ananiambia alifika nyumbani kesho yake.
Usiku nilipojua safari ile ya Mzee wangu nililia sana, sikulala, ilinipasa nijitafakari juu ya huyu mtu anayeitwa BABA, ambaye yuko tayari kufa na kutokwa jasho la damu kwa ajili ya familia yake.
_
Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini, familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Hadithi ya baba yangu mzazi, inatukumbusha mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.
And you know what? Baba hakuwahi kumpigia mama hii stori, hadi mimi nilipomsimulia mama.
Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!
Subiri October!Kuwabambikia kesi wapinzani ni matendo ambayo wananchi hawayataki hakuna upinzani kujifuta wenyewe hakuna mwananchi mwenye Akili timamu anaamini upinzani utajifuta wenyewe, watanzania wanajua CCM ndiyo inakazana kufuta upinzani wapate kurejesha mfumo wa chama kimoja
Wakati spika Ndungai anawafuta wabunge kibao wa CUF hakujua kuwa wanachaguliwa na wananchi? Mbona Ndungai hawatamtaki mpaka alipiga bakora na sasa kapiga bilion 12 lakini yupo?Wewe ndito IQ yako ni ndogo sana! Unajua kuwa wabunge wamechaguliwa na wananchi hivyo mbunge ana wananchi kibao walioko nyuma yake! Sasa wewe endelea kujidanganya. Kwa taarifa yako Mbowe vijana na wazee.wa Hai hawamtaki hata kumsikia.
Hakuna gharama za matibabu duniani zenye kufikia hio amount labda Kama mlitumia kutakatishia Kodi zetuSpika Ndugai alihudumiwa kwa kufuata utaratibu unaokubalika siyo Chadema mnanunua gari kupitia tax exemption ya mbunge!! Huo ni wizi wa mchana kweupe sasa huyo mbunge mmeshamponza akipatikana na hatia hataruhusiwa kugombea uongozi kwa muda wa 5 or 10 years.
Haya!Badala ya kununua wapiga kura mnanunua wanaopigiwa kura,mlipata wapi ushauri usio na tija Kama huu au ni wa yule marehemu alioutumia ili azipige hela
Mh...hilo sina ushahidi nalo. Maana kama watendaji walikimbia ofisi kulikuwa na haja ya kuweka pingamizi mahakani ili kila chama kipate haki.Kama hawana imani nao why mnaogopa chaguzi Hadi watendaji wanazikimbia ofisi kwa maagizo?
Watakifuta kwenye makaratasi lakini sio mioyoni mwetu... CHADEMA is 4EVERKuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Hata wakiifuta chadema bado watakuwa hawajafanikiwa kwa lolote...zaidi zaidi wanaenda kutengeneza vikundi vya ugaidi...Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Kumbe wewe ni minyoo ? Sikujua nachati na minyoo! Basi nimeshindwa kuchati na minyoo!Wakati spika Ndungai anawafuta wabunge kibao wa CUF hakujua kuwa wanachaguliwa na wananchi? Mbona Ndungai hawatamtaki mpaka alipiga bakora na sasa kapiga bilion 12 lakini yupo?
Tusubiri baada ya October 2020 tutajua kama kweli Chadema iko moyoni mwa watz ama la!Watakifuta kwenye makaratasi lakini sio mioyoni mwetu... CHADEMA is 4EVERView attachment 1461381
Jr[emoji769]
Akili zako zimejaa minyoo. Yaani bil 12 zitumike kwa matibabu?Wakati spika Ndungai anawafuta wabunge kibao wa CUF hakujua kuwa wanachaguliwa na wananchi? Mbona Ndungai hawatamtaki mpaka alipiga bakora na sasa kapiga bilion 12 lakini yupo?
Akili za mendeMbona Chadema imeshajifuta yenyewe tu boss?
Wananchi wa wapi hao?au wananchi familia yako ya CCM pekee? Tambua kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho, watanzania wanajua CCM wanaihujumu chadema , CCM inaidhoofisha chadema inawabambikia kesi, wananchi wanajua chadema inaonewa inateswa na CCM hawawezi kuwa na mawazo kama yako na familia yakoMsajili wa vyama anaweza asikifute kwenye usajili wa kisheria. Lakini wananchi wakakifuta kwenye mioyo yao. Na tayari wananchi hawana imani nacho.
Chadema kila inapogusa inaangukia pua wamejaribu kwenye Covid-19 wakaangukia pua sasa wanatafuta tukio jingine! Poor Chademaaaa!!Akili za mende
Kwa hiyo unadhani wananchi wanapenda Chadema ilipe madeni hewa kwa mmiliki wa Chadema?Ambae alikikooesha chama bil 2Wananchi wa wapi hao?au wananchi familia yako ya CCM pekee? Tambua kuwa watanzania siyo wajinga kiasi hicho, watanzania wanajua CCM wanaihujumu chadema , CCM inaidhoofisha chadema inawabambikia kesi, wananchi wanajua chadema inaonewa inateswa na CCM hawawezi kuwa na mawazo kama yako na familia yako
Kwani ukusikia waliitwa kupewa maagizoMh...hilo sina ushahidi nalo. Maana kama watendaji walikimbia ofisi kulikuwa na haja ya kuweka pingamizi mahakani ili kila chama kipate haki.