Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #61
huo ni dhahiri na bayana kabisaa uchaguzi huru,wa haki na wawazi, upo chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan 🐒Safari hii kuna kazi. Tunataka uchaguzi ulio HURU na wa HAKI.
vyama vya siasa vinaamini hivyo, taasisi za dini na kiraia vinaamini hivyo, taasisi za kitaifa na kimataifa zinaamini hivyo, jumuiya ya kimataifa inaamini uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ni uchaguzi Huru sana, wa Wazi sana na wa Haki sana kwakweli🐒