Pre GE2025 CHADEMA kuingiza nchini magari mapya zaidi ya 25 kwa kazi maalumu kuelekea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Safari hii kuna kazi. Tunataka uchaguzi ulio HURU na wa HAKI.
huo ni dhahiri na bayana kabisaa uchaguzi huru,wa haki na wawazi, upo chini ya Dr.Samia Suluhu Hassan πŸ’

vyama vya siasa vinaamini hivyo, taasisi za dini na kiraia vinaamini hivyo, taasisi za kitaifa na kimataifa zinaamini hivyo, jumuiya ya kimataifa inaamini uchaguzi mkuu wa mwaka ujao ni uchaguzi Huru sana, wa Wazi sana na wa Haki sana kwakweliπŸ’
 
Chadema itawalaza na viatu mwaka huu, na bado sio mda mtaanza tembea mnaongea peke yenu, ndani ya chadema wakifarakana si ndo furaha kwa ccm sasa kinachowaumiza ni nini jamani , jengeni chama chenu ya chadema hayawahusu
 
Hivi zile za zamani kwenye uchaguzi zipo au wamegawana spea kama bado basi wanajitahidi sana kuwa waaminifu
 
Chadema itawalaza na viatu mwaka huu, na bado sio mda mtaanza tembea mnaongea peke yenu, ndani ya chadema wakifarakana si ndo furaha kwa ccm sasa kinachowaumiza ni nini jamani , jengeni chama chenu ya chadema hayawahusu
tusingependa kuona watu wanaumiza kwa mambo madogo madogo ingawa siasa ni kujipanga my friend πŸ’

naskia second in command anatarajia kumpiga ambush ya nguvu, kumtoa mwamba wa kaskazini kwenye kiti, ambush zaidi ya ile ya James mbatia alipigwa nccr mageuzi 🀣
 
Zile double Kebin mlizouziana zimeendaaa wapi hahahahahaaa
Kifoohakinahurumaaaa...
 
Hivi zile za zamani kwenye uchaguzi zipo au wamegawana spea kama bado basi wanajitahidi sana kuwa waaminifu
zile m4c zimebaki mbili tu pale HQ moja mbovu 🀣

zingine hazijulikani zilipo,
ingawa wanyetishaji wanasema zinaonekana kufanya kazi binafsi hususan za shamba na ujenzi kwa waandamizi kadhaa πŸ’
 
Zile double Kebin mlizouziana zimeendaaa wapi hahahahahaaa
Kifoohakinahurumaaaa...
ziko mbili tu pale HQ moja mbovu 🀣

zingine hazijulikani zilipo πŸ’
 
HIKI CHAMAA KIMELAAANIWA NDIO MAANA YANAZUKA VITUKOIIMKILA SIKU

SHIDAAA MLISHAAPQ MBELEEE YA WATANZANIA WAFUASI WENUU NA KIONGOZII WENY MKUBWAAA TU HAMTASHIRIKII UCHAGUZI WOWOTEE MPAKA MPATE KATIBAA MPYAA

HEEE GAAAA UCHAGUZI MDOGO ......MMO
MARA UCHAGUZI WA....MUMOOOOO

ILEE LAANA YA KUWADANGANYA WANANCHI HAIWAACHI VIONGOZI WARUDI WASEME TU ETENGEUA KAULI TUNASHIRIKI JAMAN CHAGUZI NJAA IMEZIDI HAKUNAJINSI SIMPLE
 
zile m4c zimebaki mbili tu pale HQ moja mbovu 🀣

zingine hazijulikani zilipo,
ingawa wanyetishaji wanasema zinaonekana kufanya kazi binafsi hususan za shamba na ujenzi kwa waandamizi kadhaa πŸ’
WALIGAIANAAAA MKUU ZINGINE ZIKOOSIA HUKU OOOOOOH MIINI SHULE VIJIJIN UPENDE MWEMYEWE
 
zile m4c zimebaki mbili tu pale HQ moja mbovu 🀣

zingine hazijulikani zilipo,
ingawa wanyetishaji wanasema zinaonekana kufanya kazi binafsi hususan za shamba na ujenzi kwa waandamizi kadhaa πŸ’
Nilitaka kushangaa kuwa kuna chama wanaangalia mali πŸ˜„ 🀣
Basi kote majizi
 
hayo magari yakifika watasema wanadaiwa wanaomba wtz wachangie chochote kitu kile walipe deni
it might be, πŸ’
because in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and executed in different ways to achieve specific political objectives πŸ’
 
hayo magari yakifika watasema wanadaiwa wanaomba wtz wachangie chochote kitu kile walipe deni
USINICHEKESHE MICHANGO YA YULE JAMAA SIJUI ANAITWA NANI WALI.WEKA NDAN WANAJUA ANAACHILIWA SOON IKAPITA SUFURIA GAAFLA JAMAA NJE

KUULIZWA MICHANGO MNAPELEKA WAPI SASA ATI KWA YATIMA NA WAJANE

NCHIHIII SIAMI NIKIAMA LABDA NIENDE πŸ‡ΊπŸ‡¦
 
it might be, πŸ’
because in politics nothing happens out of mere coincidence, everythings are normally well planned, organized and executed in different ways to achieve specific political objectives πŸ’
ila for chadema ni wizi mtupu ngoja tuone wanamichango as if serikali ya mtaa
 
USINICHEKESHE MICHANGO YA YULE JAMAA SIJUI ANAITWA NANI WALI.WEKA NDAN WANAJUA ANAACHILIWA SOON IKAPITA SUFURIA GAAFLA JAMAA NJE

KUULIZWA MICHANGO MNAPELEKA WAPI SASA ATI KWA YATIMA NA WAJANE

NCHIHIII SIAMI NIKIAMA LABDA NIENDE πŸ‡ΊπŸ‡¦
na je walipo peleka iyo michango kwa wajane waliita waandishi wa Habari kam walivyo fanya pindi wanaomba michango?
 
na je walipo peleka iyo michango kwa wajane waliita waandishi wa Habari kam walivyo fanya pindi wanaomba michango?
mambo ya pesa kwenye kuchangia tu ndio live, matumizi si muhimu sana kujulikana wala watu kujua πŸ’
 
mambo ya pesa kwenye kuchangia tu ndio live, matumizi si muhimu sana kujulikana wala watu kujua πŸ’
hawa nao ni kausha damu tu wakiona wana njaa hao kuanzisha michango zikiisha hela za ruzuku michango hiyo
 
umema ukweli gentleman,

Je, huoni hiyo itachochea mgawanyiko, kukimega na kukudhoofisha chama kama jambo hilo litakua intatained ? πŸ’
Ni mitazamo ya watu,(mind set),, huwezi jua huenda wanaishi km familia ambapo hata mimi siwezi, ila siasa Zina mengi ukiyafuatilia utakuwa chizi ama kupoteza rasilimali zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…