n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Baraza kuu la saccos ya mwenyekiti faru John.Hii ndio Taarifa ya Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe au waweza kumuita Mtemi Isike aliyoitoa kwa waandishi wa habari , alipokuwa kanda ya Magharibi katika ziara yake ya Operesheni Haki.
Amesema baada ya vikao vya Baraza Kuu ratiba ya Mikutano ya hadhara nchi nzima itapangwa.
View attachment 1808796