CHADEMA kukosa neno, utawala wa Sheria Migomo Marekani; ni Pigo kwa Chama, na pia kwa Ukombozi!

CHADEMA kukosa neno, utawala wa Sheria Migomo Marekani; ni Pigo kwa Chama, na pia kwa Ukombozi!

Taja hiyo broken English niliyoandika?Kiingereza pia hujui ndio maana huwezi kutofautisha counsel na council.Mwenye kujua kiingereza angejua ni maneno tofauti.
Unaruka ruka tu kama bisi kwenye micro wave.Weka ushahidi wa madai yako hakuna aliyekuambia kwamba unaandika kiingereza kukwepa hoja .Au una double personality hujui hata unachoandika.Dumb head.
 
To be honestly wenyewe wana mambo mengi sahiz, why wahangaike na marekani wakati hapa nyumbani mambo hayaeleweki?

1. Kumbe kina Nyerere, Mandela, Castro, Che Guevara na wa namna hiyo hawakuwa na ya kufanya?

2. Ninakazia:

3. Kwamba CHADEMA chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii kipo kimya?! Siku yakiwakuta kwenye harakati za ukombozi kama ilivyokuwa enzi za "nabii jiwe," kwa hakika mkale mliko peleka mboga!

4. Siku yakiwakuta, mkale mliko peleka mboga.

5. Kama manyani endeleeni kukenua miti inapoungua.

FuzzZy9akAEOIva.jpeg


6. Kwa hiyo sasa hIvi tuko busy na ruzuku au maridhiano?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Taja hiyo broken English niliyoandika?Kiingereza pia hujui ndio maana huwezi kutofautisha counsel na council.Mwenye kujua kiingereza angejua ni maneno tofauti.
Unaruka ruka tu kama bisi kwenye micro wave.Weka ushahidi wa madai yako hakuna aliyekuambia kwamba unaandika kiingereza kukwepa hoja .Au una double personality hujui hata unachoandika.Dumb head.

1. imhotep kunahitajika mrejesho huku:

2. Kwamba Kuna Chadema anakenua haki ya kujieleza inakiukwa?

3. Yakitukuta tujipange kwenda kula ilikopelekwa mboga.

4. hIvi kweli tumefikia kutoliona Hilo? Kumbe hili Chama kilipo kinasimamia Nini?
 
1. Kumbe kina Nyerere, Mandela, Castro, Che Guevara na wa namna hiyo hawakuwa na ya kufanya?

2. Ninakazia:

3. Kwamba CHADEMA chama tegemeo kwa ukombozi wa nchi hii kipo kimya?! Siku yakiwakuta kwenye harakati za ukombozi kama ilivyokuwa enzi za "nabii jiwe," kwa hakika mkale mliko peleka mboga!

4. Siku yakiwakuta, mkale mliko peleka mboga.

5. Kama manyani endeleeni kukenua miti inapoungua.

View attachment 2978484

6. Kwa hiyo sasa hIvi tuko busy na ruzuku au maridhiano?
Hahaha wabongo ni jamii ya ajabu sana. Wanashadadi ya nje wakati ya kwao tu yanawashinda. Pambaneni na vya kwenu kwanza
 
Unafuatilia habari wewe au ni mmoja wa wale wasoma magazeti ya Shigongo? Kuna fedha zimepigwa panga, japo mtu kama wewe unaweza usione uhusiano wa moja kwa moja. Jambo jingine: Kwenye diplomasia kuna mambo mengi yanafanyika background.

1. Hii siyo Ile: si mseme tu crdb wamekuja kuchukua Lori lao?

IMG_20240501_164705.jpg


2. Kwamba huyu yuko jikoni:

IMG_20240501_164741.jpg


3. Ila Allen Kilewella na wewe waisiraeli kamili ndiyo wajuaji?

IMG_20240501_164900.jpg


4. hIvi Kwa kumwona je nani?

IMG_20240501_164939.jpg


5. Kwamba ilipo Chadema Sasa inasimamia nini? Ruzuku? au?

6. Kumbe kikinuka hapa cha nabii jiwe kimbilio litakuwa Moscow?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Hii mada imelewa na mwandishi kalewa pia.

Kupenda ama kuchukia sana ni aina ya ulevi!!
 
Hahaha wabongo ni jamii ya ajabu sana. Wanashadadi ya nje wakati ya kwao tu yanawashinda. Pambaneni na vya kwenu kwanza

1. Mkuu ungejiangalia vyema kama kichwa ungali nacho.

2. Yawezekana kichwa huna!

3. Azory, Ben, Lijenje, Mawazo nk wamepotea kisa uhuru wa kujieleza.

4. Kwenye viroba kulijaa watu.kisa utawala wa sheria.

5. Yanayotekea marekani sasa ni mashambulizi kwa uhuru wa kujieleza na utawala wa sheria Kwa pamoja.

6. Kwamba wewe ni kamanda mwenye maandamano ya kupata katiba mpya na ulipo unakenua waandamanaji wanaopinga kukandamizwa haki zao wanapigwa kipigo cha mbwa Koko?!

7. Hii sasa itakuwa Yako ni akili? Au matope?

8. Kamanda Lissu kokote aliko atakuwa anaumia sana kuwaveti nawe ni kamanda.

9. Bure kabisa!
 
Hii mada imelewa na mwandishi kalewa pia.

Kupenda ama kuchukia sana ni aina ya ulevi!!

1. Hivi ukiulizwa kalewa kwa kipimio gani utasema je ndugu?

2. Kwamba wewe ni nabii, Yesu, Mungu, Jini, malaika au shweitwani kunisemea miye nini safarini Kizimkazi huku kumsalimia ndugu yangu Zawadini?

3. Kwamba umelewa wewe, hujui kulia au kushoto, juu au chini? Si lazima na sisi wengine pia! Huyo ni wewe!

4. Kichwa kingalipo kweli ndugu? Isije kuwa ulishaliwa kichwa?

5. Kamanda uchwara linapokenua wadai haki wakipewa kibano cha mbwa Koko na Muroto, Lissu atakuwa analia machozi ya damu!

6. Na Watu kama nyie ukombozi haupo! Kwa hakika johnthebaptist Yuko sahihi. Hakuna chama hapa!

7. Tunakuwa je chama kimoja na bumunda wewe?!

8. Wengine fursa na maokoto si vipaumbele?

Bure kabisa!
 
Tar 7 Hamas walikua na hoja zipi ostaz?

Wewe, kina MK254, na WA aina zenu mtaelimika lini ndugu?

1. Mimi siyo ostaz wala si mwislam lakini nitakomaa nanyi. Wengine haki ni pekee tuiaminiyo. Bila kuangaliana usoni hukomaa na kila bazazi bila kujali ni
nani.

2. Mandela au Nyerere hawakuwa waislam:

IMG_1567.jpg


3. Huyu mwamba si mwislam:

IMG_20240502_064431.jpg


3. Aliyeandika haya pia si mwislam:

IMG_20240502_064527.jpg


4. Huyu si mwislam:

IMG_20240426_001337.jpg

IMG_20240426_001427.jpg


5. Hapa karibu upate "full dose" ndugu bumunda!

IMG_20240502_065026.jpg


IMG_20240502_065102.jpg


IMG_20240502_065157.jpg


IMG_20240502_065235.jpg


6. Kwani wewe umepoteza nduguzo wangapi huko ndugu?
 
Hahaha wabongo ni jamii ya ajabu sana. Wanashadadi ya nje wakati ya kwao tu yanawashinda. Pambaneni na vya kwenu kwanza

1. Hii si ndiyo ya wajinga kuwa werevu na wenye akili zao ni wajinga?

2. Hivi unajua kupotea au kuuwawa kwa Ben, Lijenje Azory, Mawazo au wengi wa waliokuwa kwenye viroba ni ukiukwaji wa misingi ya utawala wa sheria na uminywaji wa uhuru wa kujieleza hapa nchini?

3. Kuwa huoni mada hii inahusika na utawala wa sheria na pia uhuru wa kujieleza kama jambo lisilokuwa na mjadala katika jamii iliyostaarabika?

4. Hivi unajua maana ya jamii iliyostaarabika na jamii isiyostaarabika au ya mahayawani porini?

5. Kwamba misingi ya utawala wa sheria, au uhuru wa kujieleza unapokuwa majaribuni Marekani kumbe mtanzania wewe haukuhusu? Looh!

6. Hapo #5 utakuwa mtanzania uliyehitimu darasa la ngapi ndugu?

7. Ya kuwa wewe ni kama nyani anayekenua miti porini ikiteketea, mbona aibu naona miye?

8. Ama kweli utawala wa CCM utatuhusu sana Kwa miaka mingi to come.

9. Kufikia hapa ninaona kuwiwa kuandika uzi: fully fledged kuwaangazia mabumunda kama nyie!

10. Ama kweli ungali funga mdomo wako tu, tusingejua hujitambui kiasi gani.

Bure kabisa!
 
Hivi Chadema si waliandika barua ya "malalamiko " na wakaikabidhi UN?Mbona hawawapi wanachama wao mrejesho?Wamejibiwa nini?UN imechukua hatua gani?Kuishi kwa kiki ni hatari sana.

1. Zinaitwa siasa za kimachale machale, ujanja ujanja, wizi wizi nk. Huku:

Mbowe, Lissu wafundeni wafuasi Falsafa ya Chama

2. Tulikuwa nao sana hawa ndugu zetu wa damu (wa aina ya CHADEMA , John Mnyika, JokaKuu, Proved, Elli, Rabbon, imhotep, denoo JG, Allen Kilewella na wengine) kabla ya kuanza kuadimika magomani kama Vicky.

3. Vicky na Jabali la Muziki:

"Vicky mtoto wa mama?
Vicky mbona umaeadimika?
Vicky mbona huonekani?

Hata kwenye magoma hutaki kufika?" 🎶🎼🎵
 
Tanzania kuna uhuru mkubwa wa kujieleza kuzidi Marekani na Ulaya Tanzania kina Mbowe wameandamana mpaka wamechoka tena wanpewa na ulinzi. Sasa hivi Marekani ni marufuku kusema Yesu aliuliwa na Wayahaudi unaenda jelq.
 
Wewe, kina MK254, na WA aina zenu mtaelimika lini ndugu?

1. Mimi siyo ostaz wala vsi mwislam lakini nitakomaa nanyi. Wengine haki ni pekee tuiaminiyo. Bila kuangaliana usoni hukomaa na kila bazazi bila kujali ni
nani.

2. Mandela au Nyerere hawakuwa waislam:

View attachment 2978639

3. Huyu mwamba si mwislam:

View attachment 2978638

3. Aliyeandika haya pia si mwislam:

View attachment 2978640

4. Huyu si mwislam:

View attachment 2978641
View attachment 2978642

5. Hapa karibu upate "full dose" ndugu bumunda!

View attachment 2978643

View attachment 2978645

View attachment 2978646

View attachment 2978647

6. Kwani wewe umepoteza nduguzo wangapi ndugu?
Jibu swali duara ww unaleta porojo gn? Umesema Dunia ya Sasa ni ya kujenga hoja sio kubeba zana za vita, nimekuuliza tar 7 Hamas walikuja na hoja zipi?
 
Da. Uelewa wako ni mdogo kabisa. Maskini umekariri vile vikao vya General Assembly na Security counsel. Kukosa exposure na kusoma shule za kata ni janga. Wewe unadhani UN inafanya kazi kwa kutegema hivi vikao viwili tu? Nimelewa bila kunywa.

Ujuaji ni ugonjwa mbaya sana, na labda kuliko hata ukoma!

"Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote,' haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana, ila yale ya kwao tu. Kwamba 'elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;' havina maana yoyote kwao."
 
Jibu swali duara ww unaleta porojo gn? Umesema Dunia ya Sasa ni ya kujenga hoja sio kubeba zana za vita, nimekuuliza tar 7 Hamas walikuja na hoja zipi?

1. Mbona zipo kwenye full dose?!

2. Hebu soma tena "full dose," #6 mwishoni chini mwa post hii.

3. Usipoziona itakuwa "kiinglish" ni mgogoro. Hata hivyo usikonde unakaribishwa kwa ushauri, nasaha na tafsiri hata kama MK254 kasusa kasusia au kama Vicky kwenye magoma hataki kufikia.

4. Vicky na Jabali la Muziki

"Vicky mtoto wa mama?
Vicky mbona umaeadimika?
Vicky mbona huonekani?
Hata kwenye magoma hutaki kufika?" 🎶🎼🎵


5. kutoka kwa Myahudi mhanga wa mzozo huko, #6 ni "full dose." Kwani ndugu Mpaji Mungu, wewe umefiwa nduguzo wangapi huko?

6. Full dose kulikoni Oct. 7:

IMG_20240502_065026.jpg

IMG_20240502_065102.jpg

IMG_20240502_065157.jpg

IMG_20240502_065235.jpg
 
1. Mbona zipo kwenye full dose?!

2. Hebu soma tena "full dose," #6 mwishoni chini mwa post hii.

3. Usipoziona itakuwa "kiinglish" ni mgogoro. Hata hivyo usikonde unakaribishwa kwa ushauri, nasaha na tafsiri hata kama MK254 kasusa kasusia au kama Vicky kwenye magoma hataki kufikia.

4. Vicky na Jabali la Muziki

"Vicky mtoto wa mama?
Vicky mbona umaeadimika?
Vicky mbona huonekani?
Hata kwenye magoma hutaki kufika?" 🎶🎼🎵


5. kutoka kwa Myahudi mhanga wa mzozo huko, #6 ni "full dose." Kwani ndugu Mpaji Mungu, wewe umefiwa nduguzo wangapi huko?

6. Full dose kulikoni Oct. 7:

View attachment 2978703
View attachment 2978704
View attachment 2978705
View attachment 2978706
Nyege za kidini zitakuua sheikh
 
Back
Top Bottom