Pre GE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
He CCM iyokata kodi mtu mwenye mshahara chini ya laki mbili ila wao waendeshe ma V8 ndo Wana akili?
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Kwani ccm na serikali yake wanapata wapi pesa, si ni tozo, kodi, nk za wanyonge?
Au wewe ulifikiri kuna mgodi wanapata pesa?
Una chuki kubwa sana dhidi ya Chadema!!
 
Wajinga ndio waliwao, sasa unafikiri chama kitaendeshwa kwa biashara gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…