CHADEMA kumwomba Rais Samia aingilie kati kesi ya Mbowe ni kutaka Katiba ya JMT ivunjwe. Nchi hii ina mihimili mitatu iliyo na mamlaka kamili

Kama nchi inaendeshwa kisheria rejea kauli ya jaji mkuu mstaafu juu ya vimemo vinavyopelekwa kwa majaji kutoka kwz viongozi kuhusu maamuzi ya kesi.
Wabunge 19 wasio na chama wanafanyanini Bungeni? Swli hili limekuwa likiulizwa na viongozi wa CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…