Pre GE2025 CHADEMA kuna jimbo la bure kule kwa babu tale wekeni mtu makini 2025

Pre GE2025 CHADEMA kuna jimbo la bure kule kwa babu tale wekeni mtu makini 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
zidumu milele fikra za mwalimu Nyerere 😃😃😃😃😃😃
 
Babu Tale ni mchawi hatari, alimtoa mkewe kafara kwenye uchaguzi mkuu wa 2020.

Kufuatia kafara hiyo wagombea wa vyama vingine wakianza kuota ndotto kuwa wamekufa, wakajitoa.

Aliyeng'ang'ana mpk siku ya mwisho ya kurejesha fomu yalimkuta mazito:- alioga vizuri akavaa na kisha akaanza kuzipangilia vema fomu zake alizojaza ili aondoke.

Alipigwa usingizi mzito huku akiota anavua nguo, na akawa anavua kweli, mpk akabakia uchi pale sebuleni kwake.
 
Jimbo la bure kabisa lile mkiweka mtu makini mchana kweupe mnalipata lile jimbo.

Wekeni kichwa haswa pale, mbunge wa sasa wa pale ni mweupe peeee kichwani.
Jamaa kawahonga wajumbe wa nyumba 10 elfu 50 kila mmoja, halafu wao wakachomoa buku buku kumchangia fomu, wamebakiwa na elfu 49!
 
Ni hadi tutakapojua kwamba SIASA NI MAISHA ndipo tutakapokuwa serious kwenye kuchagua watu wa kutuwakilisha BUNGENI
 
Babu Tale yeye amezoea mambo ya mziki nadhani siasa kama inamshinda
Hao Ni Moja Ya Wabunge Waliopewa Hisani Na Mzilankende
Sasa Siasa Za Haki Hoja, Ushawishi Hana Zaidi Aliweza Kununua Udokta
 
Back
Top Bottom