Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 60 ya uhuru bado hakuna vifaa vya uokoaji? Unashabikia ohhh nani hajajipanga oh siasa ni kujipanga?nadhan hekima na busara ingekuelekeza kupeleka mchango wako wa hoja na mapendekezo kwenye hoja mahususi kuhusu hilo..
ni bahati mbaya mihemko na ghadhabu zako zimekuchochea kuonyesha makasiriko yako pasipohusika.
Halafu gentleman,
kama unafahamu Mungu ni wa wote una mbwelambwela na kubaika nini sasa aise 🐒
Magufuli mwenyewe ana laana ya wapenda haki ndo mana akafa kibudu pale mzena. Kwani yeye ni munguChadema wana laana ya Magufuli
Unadhani ni nani kati ya viongozi waandamizi wa Chadema ndiyo hasa chimbuko la ombwe la uongozi lililopo na matatizo mengine makubwa ya kinidhamu na ubinafsi, yanaoonekana bayana kabisa hivi sasa na yanayochochea migawanyiko na kutoheshimiana miongoni mwao?
Je, ujuaji mwingi, ujeuri na ubinafsi baina ya viongozi wake waandamizi kutumia platforms za Chadema kuzungumzia masuala yao binafsi yasiyo na hata chembe ya maslahi kwa Chadema kuna ashiria nini?
Hivi sasa wana Chadema wako dilemma, hawaelewi wamuamini au kumsikiliza nani na wengine wako standby wanasubiri kauli ya mwisho kutoka kwa muandamizi mkuu ili hatimae wajua wamfuate au kutekeleza maagizo ya nani, na muhimu zaid kuamua hatma ya uanachama wao chadema.
Je, wewe ndugu mdau wa siasa za Chadema upo, upande wa Chadema ipi kati ya pande zilizojitokeza kulumbana hadharani mpaka sasa?🐒
Mungu Ibariki
Chadema apewe Lissu uenyekiti atangaze vita wanachama wachinjane na ccm kuleta heshima.Unadhani ni nani kati ya viongozi waandamizi wa Chadema ndiyo hasa chimbuko la ombwe la uongozi lililopo na matatizo mengine makubwa ya kinidhamu na ubinafsi, yanaoonekana bayana kabisa hivi sasa na yanayochochea migawanyiko na kutoheshimiana miongoni mwao?
Je, ujuaji mwingi, ujeuri na ubinafsi baina ya viongozi wake waandamizi kutumia platforms za Chadema kuzungumzia masuala yao binafsi yasiyo na hata chembe ya maslahi kwa Chadema kuna ashiria nini?
Hivi sasa wana Chadema wako dilemma, hawaelewi wamuamini au kumsikiliza nani na wengine wako standby wanasubiri kauli ya mwisho kutoka kwa muandamizi mkuu ili hatimae wajua wamfuate au kutekeleza maagizo ya nani, na muhimu zaid kuamua hatma ya uanachama wao chadema.
Je, wewe ndugu mdau wa siasa za Chadema upo, upande wa Chadema ipi kati ya pande zilizojitokeza kulumbana hadharani mpaka sasa?🐒
Mungu Ibariki
Mkuu, mbona kipo kingine kimepoteza ramani kabisa ya kutufikisha KANANI.chama kimepoteza dira nahii imechangiwa na tamaa ya madaraka na ubinafsi.
wa kulaumiwa hapa si mwingine zaidi ya mr konyagi