Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndio siku ya kukumbuka mauaji na ufufuko wa Tundu LissuHaya!
Nadhani mnataka kumjibu mh Jaji Mutungi!
Saa 6 mchana huuLete muda kamili Erythrocyte tukutane mitaa ya ufipa kwa habari kamili, maswali na majibu
Mmm! Mpaka saa hizi karandinga hazijajazana kwenye mtaa!
Mrudisheni halima awasaidie kupiga mkwara
Hasara waliyoipata wazazi wako haipimiki !Waandishi wa habari au vile viTV uchwara vya YouTube?
Covid yule hana jipyaMrudisheni halima awasaidie kupiga mkwara
Mungu ibariki CHADEMA
Katika ubora wakoHaya!
Nadhani mnataka kumjibu mh Jaji Mutungi!
Hivyo vinatosha. Wapigania uhuru hawakuwa na support ya redio wala TV. Ndulu na miluzi vilitosha kumtoa mkoloni. Kwa hiyo CCM atatolewa kwa ndulu na miluzi bila ya TBC na maTV yako.Waandishi wa habari au vile viTV uchwara vya YouTube?
Mkuu samaki ujanja wake akiwa ndani ya maji tuSijui nini kilimpata JJ Mnyika? sio yule wa Bungeni enzi zile. Kwa lugha rahisi tu ni kwamba jamaa anapwaya sana.