CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama

CDM kweli wamefulia, yaani mkutano una mic tatu tu!! Kama kuna dhambi mlitenda huko nyuma mkatubu
View attachment 1927787
Chama_cha_Demokrasia_na_Maendeleo_(Chadema),_kimesema_hakipo_tayari_kukutanishwa_na_jeshi_la_p...jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani enzi za dk Slaa ukisikia chadema wana press ujue kuna bomu litalipuliwa huko la hatari litatokisa hadi mitaa ya magogoni pale. Na uzi wake hapa lazima ufikishe coments zaidi ya elfu 1.

Leo hii chadema wanafanya press alafu inashia ufipa tu?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani enzi za dk Slaa ukisikia chadema wana press ujue kuna bomu litalipuliwa huko la hatari litatokisa hadi mitaa ya magogoni pale. Na uzi wake hapa lazima ufikishe coments zaidi ya elfu 1.

Leo hii chadema wanafanya press alafu inashia ufipa tu?
Hawa Chadema ambao hawana madhara kwa CCM kwanini mnawaandamana na majeshi ya ulinzi na Usalama kwenye mikutano Yao?Mngewaacha tu manake wameshajifia!
 
Lowasa ni Mtanzania, ni mwana siasa, alikuwa waziri mkuu wa Tanzania, Wewe ni Nani Mama D? Mchepuko wa mwana siasa?!

Na mbowe alishiriki kumwita kibaka, tena akawashangaeni kwanini hamjamchoma moto!. Unalijua hilo au wewe bendera tuu?

20210724_195112.jpg
 
Blah blah blah za waropokaji na wapayukaji wa mtaa wa ufipa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zamani enzi za dk Slaa ukisikia chadema wana press ujue kuna bomu litalipuliwa huko la hatari litatokisa hadi mitaa ya magogoni pale. Na uzi wake hapa lazima ufikishe coments zaidi ya elfu 1.

Leo hii chadema wanafanya press alafu inashia ufipa tu?
Hapa ulipo ni ufipa ?
 
Jamani mbona hamji huku vijijini kuongea na sisi wananchi tukawaeleza matatizo na mahitaji yetu ili myaongelee? Chadema ile ya zamani walikuwa wanafanya hivyo.
Nyie kila siku ni kuongea na wandishi wa habari tu!
 
Jamani mbona hamji huku vijijini kuongea na sisi wananchi tukawaeleza matatizo na mahitaji yetu ili myaongelee? Chadema ile ya zamani walikuwa wanafanya hivyo.
Nyie kila siku ni kuongea na wandishi wa habari tu!
Hujui kwamba CHADEMA hawaruhusiwi kufanya mikutano ya hadhara na kuongea na wananchi, tangu awamu ya 5?!
 
Umekariri ujinga tu, kwa sababu ya ufinyu wa akili!

Mlichofanya nyie kuua chama kwa kununuliwa na Lowasa ni ujinga uliopitiliza ila kwa wajinga grade1 kama wewe mnaona ni bonge la deal
 
Mlichofanya nyie kuua chama kwa kununuliwa na Lowasa ni ujinga uliopitiliza ila kwa wajinga grade1 kama wewe mnaona ni bonge la deal
Sawa, Wewe unaye tafuta cheo kwa kugawa uroda, ni mjanja!
 
Sawa, Wewe unaye tafuta cheo kwa kugawa uroda, ni mjanja!

Sasa kama nagawa kwa starehe yangu kwanini wewe uumie?? Au ndio ushamtamani rijali wangu🤣🤣
Bahati nzuri huwa hafanyi hiyo michezo yako
 
Sasa kama nagawa kwa starehe yangu kwanini wewe uumie?? Au ndio ushamtamani rijali wangu🤣🤣
Bahati nzuri huwa hafanyi hiyo michezo yako
Sawa ila Lowasa amefika alipo kwa njia tofauti na hizo zako!
 
Back
Top Bottom