Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki ndo chama kikiitisha press, vyombo vya usalama vinatetemeka, tiss police jwtz wote Wanasubiri kea hamu kusikia chama makini kinataka kuwambia nini watz
Mama D unaifagilia Sana cdmLete muda kamili Erythrocyte tukutane mitaa ya ufipa kwa habari kamili, maswali na majibu
CHADEMA haikwepekiMama D unaifagilia Sana cdm
chama makiniHiki ndo chama kikiitisha press, vyombo vya usalama vinatetemeka, tiss police jwtz wote Wanasubiri kea hamu kusikia chama makini kinataka kuwambia nini watz
Ukweli mchungu, lazima upate mhaho hadi tumboni.Ungekua umebakishiwa japo hata microgram moja ya ubongo usingepost huu uharo wako. Hasara kwa wazazi wako bora dingi wako angepiga nieto.View attachment 1927666
Hivi unamsikiliza Chongolo ili iweje ?Jana chongolo ameitisha press hakuna mtu ameifuatilia, sijui aliongea utopolo gani?
Alichukizwa na ujio wa fisadi Lowassa, alitaka kusepa akabembelezwa sana ili kuokoa jahazi, since then hajawa sawaSijui nini kilimpata JJ Mnyika? sio yule wa Bungeni enzi zile. Kwa lugha rahisi tu ni kwamba jamaa anapwaya sana.
Nyie mnapigania uhuru au kushibisha matumbo yenu? Huko mmejaa wapiga dili tu hamna lolote, Magu na Samia wamegoma kuwatumia mnahahaHivyo vinatosha. Wapigania uhuru hawakuwa na support ya redio wala TV. Ndulu na miluzi vilitosha kumtoa mkoloni. Kwa hiyo CCM atatolewa kwa ndulu na miluzi bila ya TBC na maTV yako.
Halafu mezani unakuta mic moja ya youtube ya wale jamaa waliomtukana Majaliwa hahaHiki ndo chama kikiitisha press, vyombo vya usalama vinatetemeka, tiss police jwtz wote Wanasubiri kea hamu kusikia chama makini kinataka kuwambia nini watz
Mama D unaifagilia Sana cdm
Siku hizi Tanzania Press Conferences ndiyo zimegeuka kuwa Mtindo wa Maisha kiasi kwamba Mtu akishiba tu au Kuvimbiwa Maharage yake anawaza Kuifanya?
Huyu bibi alikuwa anajua anachokifanya
CHADEMA hawajahi kupoa sema polisi ndiyo kikwazoNatamani muujiza utokee siku moja wasimame na kuwa chama bora cha upinzani kama ilivyokua 2005 kurudi nyuma
Ila walivyo wabishi sasa.....🙄🙄🙄🙄 ngoja tuendelee kuwaombea
Erythrocyte anajua😆😆
Lete mambo wenye nchi nje ya ikulu. Tunawasikiliza nyie.
Tangu Lini CCM ukampenda Mnyika?Sijui nini kilimpata JJ Mnyika? sio yule wa Bungeni enzi zile. Kwa lugha rahisi tu ni kwamba jamaa anapwaya sana.
Polisi watawaruhusu?. Polisi haitaki kusikia kitu kinachoitwa wapinzani!.Haya!
Nadhani mnataka kumjibu mh Jaji Mutungi!