CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama

CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama

Sijui nini kilimpata JJ Mnyika? sio yule wa Bungeni enzi zile. Kwa lugha rahisi tu ni kwamba jamaa anapwaya sana.
Alichukizwa na ujio wa fisadi Lowassa, alitaka kusepa akabembelezwa sana ili kuokoa jahazi, since then hajawa sawa
 
Hivyo vinatosha. Wapigania uhuru hawakuwa na support ya redio wala TV. Ndulu na miluzi vilitosha kumtoa mkoloni. Kwa hiyo CCM atatolewa kwa ndulu na miluzi bila ya TBC na maTV yako.
Nyie mnapigania uhuru au kushibisha matumbo yenu? Huko mmejaa wapiga dili tu hamna lolote, Magu na Samia wamegoma kuwatumia mnahaha
 
Hiki ndo chama kikiitisha press, vyombo vya usalama vinatetemeka, tiss police jwtz wote Wanasubiri kea hamu kusikia chama makini kinataka kuwambia nini watz
Halafu mezani unakuta mic moja ya youtube ya wale jamaa waliomtukana Majaliwa haha
 
Mama D unaifagilia Sana cdm

Natamani muujiza utokee siku moja wasimame na kuwa chama bora cha upinzani kama ilivyokua 2005 kurudi nyuma
Ila walivyo wabishi sasa.....🙄🙄🙄🙄 ngoja tuendelee kuwaombea

Erythrocyte anajua😆😆
 
Back
Top Bottom